Kipimo cha serikali ilikuwa awamu ya kwanza. Baada ya Nyerere ilipaswa iwe mwisho wa CCM.Wazee wa UCHAGANI ,mkumbusheni chief hangaya.
Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji.
Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji ili kuweza kule maendeleo Kwa mkoa na Taifa Kwa ujumla
Hi dhana Kwamba wachaga watakuja kuitawala TZ , ni mawazo ya kijamaa , ambayo ni ujinga mtupu
Hu ujinga umesababisha mkoa wa Kilimanjaro kudumaa kiuchumi.
Hebu fikirieni mkoa wa Kilimanjaro ungekuwepo Kenya. Ungekuwa hivi ulivyo hapa TZ
Serikali ina Sera mbaya Sana ,mbovu za maendeleo , utasema nchi haina wasomi waliobobea kwenye uchumi
Lete vigezo vinavyokufanya useme kwamba manispaa ya Moshi inatakuwa kuwa jiji. Bila kuleta vigezo vyako huu uzi utakuwa useless.Wazee wa UCHAGANI ,mkumbusheni chief hangaya.
Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji.
Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji ili kuweza kule maendeleo Kwa mkoa na Taifa Kwa ujumla
Hi dhana Kwamba wachaga watakuja kuitawala TZ , ni mawazo ya kijamaa , ambayo ni ujinga mtupu
Hu ujinga umesababisha mkoa wa Kilimanjaro kudumaa kiuchumi.
Hebu fikirieni mkoa wa Kilimanjaro ungekuwepo Kenya. Ungekuwa hivi ulivyo hapa TZ
Serikali ina Sera mbaya Sana ,mbovu za maendeleo , utasema nchi haina wasomi waliobobea kwenye uchumi
Wazee wa UCHAGANI ,mkumbusheni chief hangaya.
Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji.
Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji ili kuweza kule maendeleo Kwa mkoa na Taifa Kwa ujumla
Hi dhana Kwamba wachaga watakuja kuitawala TZ , ni mawazo ya kijamaa , ambayo ni ujinga mtupu
Hu ujinga umesababisha mkoa wa Kilimanjaro kudumaa kiuchumi.
Hebu fikirieni mkoa wa Kilimanjaro ungekuwepo Kenya. Ungekuwa hivi ulivyo hapa TZ
Serikali ina Sera mbaya Sana ,mbovu za maendeleo , utasema nchi haina wasomi waliobobea kwenye uchumi
Iringa iko mbali sana ila vinyumba vya tofali za kuchoma waache kujenga sasa ni kama Mbeya tu pruuuuKamkoa kana vilabu vya pombe kibao 🤣🤣🤣lile jiji unaumwa na dengua we mtalalama sana kaangalie iringa
Mkoa unawezaje kuwa Jiji?Wazee wa UCHAGANI ,mkumbusheni chief hangaya.
Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji.
Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji ili kuweza kule maendeleo Kwa mkoa na Taifa Kwa ujumla
Hi dhana Kwamba wachaga watakuja kuitawala TZ , ni mawazo ya kijamaa , ambayo ni ujinga mtupu
Hu ujinga umesababisha mkoa wa Kilimanjaro kudumaa kiuchumi.
Hebu fikirieni mkoa wa Kilimanjaro ungekuwepo Kenya. Ungekuwa hivi ulivyo hapa TZ
Serikali ina Sera mbaya Sana ,mbovu za maendeleo , utasema nchi haina wasomi waliobobea kwenye uchumi
Mkoa mzima wa kilimanjaro uwe jiji? Unamaanisha nini bwashee?Wazee wa UCHAGANI ,mkumbusheni chief hangaya.
Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji.
Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji ili kuweza kule maendeleo Kwa mkoa na Taifa Kwa ujumla
Moshi wilaya huandikwa kwa herufi kubwa ya mwanzo, ila smoke moshi wa moto huandikwa kwa herufi ndogo katikati ya sentencing.hakuna hadhi hiyo... bora zanzibar sio kilimanjaro... au ulimaanisha moshi?
Mkoa huwa hauwu jiji,ni mjiWazee wa UCHAGANI ,mkumbusheni chief hangaya.
Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji.
Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji ili kuweza kule maendeleo Kwa mkoa na Taifa Kwa ujumla
Hi dhana Kwamba wachaga watakuja kuitawala TZ , ni mawazo ya kijamaa , ambayo ni ujinga mtupu
Hu ujinga umesababisha mkoa wa Kilimanjaro kudumaa kiuchumi.
Hebu fikirieni mkoa wa Kilimanjaro ungekuwepo Kenya. Ungekuwa hivi ulivyo hapa TZ
Serikali ina Sera mbaya Sana ,mbovu za maendeleo , utasema nchi haina wasomi waliobobea kwenye uchumi
Serikali ya chama Cha Mapinduzi haibagui watanzania..ipo madarakani na inapeleka maendeleo kuanzia kwa akina Mbowe mpaka kwa akina Zito na Sugu..Nmemwwlewa mwandishi anasema Kilimanjaro imetengwa kimaendeleo.
Kumbukeni jimbo la Lissu baada ya kuingia mtu wa chama tawala lilikuwaje..au wale waliokuwa wanaunga juhudi na wakagombea majimbo yaleyale baada ya kupata walifanya nn majimboni.
Mpishi mkuu anaamua sahani ipi ajaze manyama nyama na ipi aweke mlenda na maharage.
Na Professor Issa ShivjiWazee wa UCHAGANI, mkumbusheni Rais Samia. Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji.
Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji ili kuweza kule maendeleo Kwa mkoa na Taifa Kwa ujumla
Hi dhana Kwamba wachaga watakuja kuitawala TZ , ni mawazo ya kijamaa ambayo ni ujinga mtupu.
Huu ujinga umesababisha mkoa wa Kilimanjaro kudumaa kiuchumi. Hebu fikirieni mkoa wa Kilimanjaro ungekuwepo Kenya. Ungekuwa hivi ulivyo hapa TZ
Serikali ina Sera mbaya Sana, mbovu za maendeleo, utasema nchi haina wasomi waliobobea kwenye uchumi.
Amesema mkoa mzima si Manispaa ya moshi. Huyu hajui hata anataka niniLete vigezo vinavyokufanya useme kwamba manispaa ya Moshi inatakuwa kuwa jiji. Bila kuleta vigezo vyako huu uzi utakuwa useless.