Wazee wa UCHAGANI, mkumbusheni Rais Samia mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji

Wazee wa UCHAGANI, mkumbusheni Rais Samia mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji

Moshi ipewe hadhi ya JIJI so dhambi,ni fursa ya kujisimamia kwa maendeleo makubwa zaidi.
 
Wazee wa UCHAGANI, mkumbusheni Rais Samia. Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji.

Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji ili kuweza kule maendeleo Kwa mkoa na Taifa Kwa ujumla

Hi dhana Kwamba wachaga watakuja kuitawala TZ , ni mawazo ya kijamaa ambayo ni ujinga mtupu.

Huu ujinga umesababisha mkoa wa Kilimanjaro kudumaa kiuchumi. Hebu fikirieni mkoa wa Kilimanjaro ungekuwepo Kenya. Ungekuwa hivi ulivyo hapa TZ

Serikali ina Sera mbaya Sana, mbovu za maendeleo, utasema nchi haina wasomi waliobobea kwenye uchumi.
[emoji23][emoji23][emoji23]wachaga wenyewe huko twita wamekazana kudai uchagani hakuna chief Hilo lingine so kipaumbele
Na lingine huko bungeni Ni kudai kua Ni wezi na walevi
 
Siku chache alikataa kuupa hadhi ya jiji kwani kilichofanyika baada ya pale mbali ya kwenda kutambika kiko wapi.
 
Wakazi wa Moshi ndio wamekataa kua na jiji. Watu wa Mbwa haruki, Uchira, Sango na maeneo mengine walikataa kutoa mashamba yao na kua viwanja na hivyo kuunyima mji wao vigezo vya ku quality kuundwa kwa Jiji la Moshi. Msisingizie Rais wala Serikali,. Jilaumuni wenyewe
Uko sahihi kila eneo makaburi hawataki kutoa maeneo hata ya kujenga stendi kubwa ya mabasi tu kila mtu kakomaa siuzi ardhi iwe kwa serikalia au mwekezaji au mchaga mwenzangu


Majiji yote ukiyaaangalia cha kwanza walichofanya in kuruhusu wenye pesa kununua ardhi toka popote kuindeleza mifano jiji LA Arusha,Dar es salaaam,Mwanza ,Mbeya,Kahama,Dodoma nk

Moshi wabahili na ardhi Lukuvi akiwa waziri wa Ardhi alijaribu kuwaelimisha kuwa toeni ardhi iendelezwe sio bure wakamtukana tena wazee wa kichaga wasomi wakamfokea kuwa hatutoi ardhi

Mji haupanuki kabisa kila MTU kashikilia ardhi haiendelezi wala kuwekeza yapo makaburi tu ambayo hataki hata yahame

Stendi kuu ya mabasi moshi mjini ni kama kituo cha daladala

Wachaga wazuri kuwekeza mikoa mingine sio kwao mapato ya Moshi mjini ni madogo mno hamna biashara za maana moshi mjini hata ukiangalia kwa macho tu unajua hamna biashara pale watu wanaganga njaa tu walale waamke asubuhi
 
Kilimanjaro ni mkoa, hadhi ya jiji huwa haitolewi kwa mkoa...
 
Wazee wa UCHAGANI, mkumbusheni Rais Samia. Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji.

Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji ili kuweza kule maendeleo Kwa mkoa na Taifa Kwa ujumla

Hi dhana Kwamba wachaga watakuja kuitawala TZ , ni mawazo ya kijamaa ambayo ni ujinga mtupu.

Huu ujinga umesababisha mkoa wa Kilimanjaro kudumaa kiuchumi. Hebu fikirieni mkoa wa Kilimanjaro ungekuwepo Kenya. Ungekuwa hivi ulivyo hapa TZ

Serikali ina Sera mbaya Sana, mbovu za maendeleo, utasema nchi haina wasomi waliobobea kwenye uchumi.
Tanga ni jiji, Mbeya ni jiji, Dodoma nalo ni jiji
Maendeleo ya mahali hayaletwi na kubadilisha hadhi ya mji toka Manispaa kuwa Jiji, au Halmashauri Mji kuwa Manispaa, au Mji mdogo kuwa Mji
Nilitembelea Songea miaka miwili iliyopita na kujionea hali ya mji huo ambao nao unaitwa Manispaa, kwa kweli inasikitisha.
Kama tunataka maendeleo:
1. Tujikite kwenye kilimo na ufugaji wenye tija
2. Tuendeleze viwanda vya kuongeza thamani ya mazao ya kilimo
3. Tujifunze mahitaji ya masoko ya nje na tuyafanyie kazi haraka ili kuepuka mazao yetu kuuzwa na madalali wa nchi nyingine
4. Elimu ya ufundi kuhusu masuala ya kilimo bora
5. Tubadili land tenure sytem ili kuruhusu wawekezaji wakubwa wenye mitaji waje wawekeze kwenye kilimo
6. Suluhisho la umasikini nchi hii jamani ni kilimo, kwa mengineyo tutasubiri sana
 
Lete vigezo vinavyokufanya useme kwamba manispaa ya Moshi inatakuwa kuwa jiji. Bila kuleta vigezo vyako huu uzi utakuwa useless.
Wakati mwingine uwe unasafiri uone nchi ujue miji ilivyo....
 
Uko sahihi kila eneo makaburi hawataki kutoa maeneo hata ya kujenga stendi kubwa ya mabasi tu kila mtu kakomaa siuzi ardhi iwe kwa serikalia au mwekezaji au mchaga mwenzangu


Majiji yote ukiyaaangalia cha kwanza walichofanya in kuruhusu wenye pesa kununua ardhi toka popote kuindeleza mifano jiji LA Arusha,Dar es salaaam,Mwanza ,Mbeya,Kahama,Dodoma nk

Moshi wabahili na ardhi Lukuvi akiwa waziri wa Ardhi alijaribu kuwaelimisha kuwa toeni ardhi iendelezwe sio bure wakamtukana tena wazee wa kichaga wasomi wakamfokea kuwa hatutoi ardhi

Mji haupanuki kabisa kila MTU kashikilia ardhi haiendelezi wala kuwekeza yapo makaburi tu ambayo hataki hata yahame

Stendi kuu ya mabasi moshi mjini ni kama kituo cha daladala

Wachaga wazuri kuwekeza mikoa mingine sio kwao mapato ya Moshi mjini ni madogo mno hamna biashara za maana moshi mjini hata ukiangalia kwa macho tu unajua hamna biashara pale watu wanaganga njaa tu walale waamke asubuhi
Uko sahihi
 
Lete vigezo vinavyokufanya useme kwamba manispaa ya Moshi inatakuwa kuwa jiji. Bila kuleta vigezo vyako huu uzi utakuwa useless.
Vigezo vipo kisheria na siyo kisiasa.

Upgrading from rural to urban level is purely legal but not political thoughts
 
Wamefufuka tena si walijifia kitambo, nahisi hao itakuwa ni Act Wazalendo au Wanaharakati.
Mkoa wa Kilimanjaro au Mji wa Moshi?! MACHADEMA mbona hamna akili kiasi hiki nyie?! Bumbafu sana.
 
Ipo wazi kisheria Kwa mujibu wa Sheria za Mamlaka za Serikali za Mitaa kwamba ili eneo la utawala litangazwe kuwa Jiji linatakiwa liwe na hadhi ya manispaa, eneo liwe ni makao makuu ya mkoa, liwe miundombinu ya kisasa kama huduma za afya, maji, mazingira, pia eneo lijitosheleze kimapato Kwa asilimia kubwa bila kutegemea sana Serikali kuu.

Vyote hivi Moshi imetimiza ila sijui kigugumizi kinatoka wapi wakati Tanga imetangazwa Jiji wakati kivigezo inazidiwa na Moshi. Hata Mbeya iko sawa na Moshi.
 
AISEEE KUMBE KIMAPATO MBEYA INACHUANA NA MOSHI DUUUH
Ipo wazi kisheria Kwa mujibu wa Sheria za Mamlaka za Serikali za Mitaa kwamba ili eneo la utawala litangazwe kuwa Jiji linatakiwa liwe na hadhi ya manispaa, eneo liwe ni makao makuu ya mkoa, liwe miundombinu ya kisasa kama huduma za afya, maji, mazingira, pia eneo lijitosheleze kimapato Kwa asilimia kubwa bila kutegemea sana Serikali kuu.

Vyote hivi Moshi imetimiza ila sijui kigugumizi kinatoka wapi wakati Tanga imetangazwa Jiji wakati kivigezo inazidiwa na Moshi. Hata Mbeya iko sawa na Moshi.
 
Ipo wazi kisheria Kwa mujibu wa Sheria za Mamlaka za Serikali za Mitaa kwamba ili eneo la utawala litangazwe kuwa Jiji linatakiwa liwe na hadhi ya manispaa, eneo liwe ni makao makuu ya mkoa, liwe miundombinu ya kisasa kama huduma za afya, maji, mazingira, pia eneo lijitosheleze kimapato Kwa asilimia kubwa bila kutegemea sana Serikali kuu.

Vyote hivi Moshi imetimiza ila sijui kigugumizi kinatoka wapi wakati Tanga imetangazwa Jiji wakati kivigezo inazidiwa na Moshi. Hata Mbeya iko sawa na Moshi.

Wewe ni chizi, unafananisha Moshi na Mbeya
 
Wazee wa UCHAGANI, mkumbusheni Rais Samia. Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji.

Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji ili kuweza kule maendeleo Kwa mkoa na Taifa Kwa ujumla

Hi dhana Kwamba wachaga watakuja kuitawala TZ , ni mawazo ya kijamaa ambayo ni ujinga mtupu.

Huu ujinga umesababisha mkoa wa Kilimanjaro kudumaa kiuchumi. Hebu fikirieni mkoa wa Kilimanjaro ungekuwepo Kenya. Ungekuwa hivi ulivyo hapa TZ

Serikali ina Sera mbaya Sana, mbovu za maendeleo, utasema nchi haina wasomi waliobobea kwenye uchumi.
Mara kumi Iringa town kuliko Moshi
 
Back
Top Bottom