suala la vigezo moshi ilishakuwa navyo kitambo. Kamuulize Jafo atakwambia hata yeye alishangaa kwa nini magufuli hakuipaisha moshi kuwa manispaa kwa sababu ya chuki zake za kisiasa akaipaisha dodoma ambayo mpaka sasa japo wamehamia huko bado haija kidhi. na wakati huo moshi ilishapeleka maombi lakini dodoma haikuwa imepeleka maombi iwe jiji.....it seems wewe ndiye uko shallow minded and less informed.
kwani morogoro na iringa zikipewa hadhi ya jiji kuna shida gani? Moshi, morogoro, Iringa au Tabora zimepungukiwa nini dhidi ya Tanga au Dodoma zilizopewa hadhi ya jiji?
you still need to learn a lot. nch