pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Mkuu, ni vyema uandike unachojua au kukifahamu, Moshi ya 2000 sio Moshi ya 2020 tambua hilo.Wewe kila kona unatukana watu! Hivi hiyo moshi ina nini cha maana haina mzunguko wa fedha,haina maendeleo imedumaa miaka nenda rudi pia imejaa ukabila!
Moshi ni kubwa na pana kuliko unavyofikiria, ukienda pembezoni vijijini unadhani uko 'vimji vidogo' kutokana na mpangilio na barabara kufika kwa kila kaya!
Moshi ni zaidi bro acha hizo.