Wazee wa UCHAGANI, mkumbusheni Rais Samia mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji

Wazee wa UCHAGANI, mkumbusheni Rais Samia mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji

Lete vigezo vinavyokufanya useme kwamba manispaa ya Moshi inatakuwa kuwa jiji. Bila kuleta vigezo vyako huu uzi utakuwa useless.
Hakuna cha vigezo wala nini, Dodoma ilitangazwa na Jiwe kuwa jiji bila kutimiza vigezo. Njia iliyotumika kwa Dodoma kwa nini isitumike kwa Moshi?
 
Wachaga wajanja sana. Yaani kazi yao ni kwenda mikoa mingine kujazana tu huko na kununua Ardhi lakini kwao hawataki kuuza Ardhi. HII NI AKILI KUBWA KAMA WAYAHUDI. Nadhani vizazi vijavyo huko mbeleni ndio wataelewa na kuwapongeza babu zao
 
Wachaga wajanja sana. Yaani kazi yao ni kwenda mikoa mingine kujazana tu huko na kununua Ardhi lakini kwao hawataki kuuza Ardhi. HII NI AKILI KUBWA KAMA WAYAHUDI. Nadhani vizazi vijavyo huko mbeleni ndio wataelewa na kuwapongeza babu zao
Ila sasa huko kwao kunabakia mahame! Kumefubaaa kama nini? Kisha ujue hakuna ukabila lisilonunua ardhi! Sema ukabila wao ndo kikwazo!
 
Wazee wa UCHAGANI, mkumbusheni Rais Samia. Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji.

Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji ili kuweza kule maendeleo Kwa mkoa na Taifa Kwa ujumla

Hi dhana Kwamba wachaga watakuja kuitawala TZ , ni mawazo ya kijamaa ambayo ni ujinga mtupu.

Huu ujinga umesababisha mkoa wa Kilimanjaro kudumaa kiuchumi. Hebu fikirieni mkoa wa Kilimanjaro ungekuwepo Kenya. Ungekuwa hivi ulivyo hapa TZ

Serikali ina Sera mbaya Sana, mbovu za maendeleo, utasema nchi haina wasomi waliobobea kwenye uchumi.
Mkoa mzima unawezaje kuwa jiji?
Au unamaanisha makao makuu ya mkoa yaani Moshi.
Yaani bado kuna watu wanajua kutumia mitandao lakini hawafahamu vitu vingi vya msingi
 
Ipo haja kwa moshi kuwa na jiji la ma sky scrappers sio lazima jiji lisambae kila mahali as Kigali city pamoja na udogo wake

Unaota, yaani nani ajenge skyscrapers kwenye mji ambao buku unaitafuta kwa tochi
 
Ila kweli maendeleo hayaletwi na wazawa,Mara nyingi watu wa nje.

Waige mfano wa pwani, kanda ya ziwa, magharibi n.k. wao wameyakalia maviwanja ya mababu zao kujenga hawajengi,, msukuma akienda pale hauziwi, mwarabu hauziwi, mhaya hauziwi n.k. Mnakwama wapi wachagga
 
Wachaga wajanja sana. Yaani kazi yao ni kwenda mikoa mingine kujazana tu huko na kununua Ardhi lakini kwao hawataki kuuza Ardhi. HII NI AKILI KUBWA KAMA WAYAHUDI. Nadhani vizazi vijavyo huko mbeleni ndio wataelewa na kuwapongeza babu zao
KWANI HUFAHAMU CHAGA CUSTOMES ZINAFANANA NA JEWS KWA 95%.
 
Serikali ya chama Cha Mapinduzi haibagui watanzania..ipo madarakani na inapeleka maendeleo kuanzia kwa akina Mbowe mpaka kwa akina Zito na Sugu..
Acha hipzo, Magufuli is in record, ati ukichagua upinzani imekula kwako, hamna maendeleo yoyote.
 
Wazee wa UCHAGANI, mkumbusheni Rais Samia. Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji.

Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji ili kuweza kule maendeleo Kwa mkoa na Taifa Kwa ujumla

Hi dhana Kwamba wachaga watakuja kuitawala TZ , ni mawazo ya kijamaa ambayo ni ujinga mtupu.

Huu ujinga umesababisha mkoa wa Kilimanjaro kudumaa kiuchumi. Hebu fikirieni mkoa wa Kilimanjaro ungekuwepo Kenya. Ungekuwa hivi ulivyo hapa TZ

Serikali ina Sera mbaya Sana, mbovu za maendeleo, utasema nchi haina wasomi waliobobea kwenye uchumi.
Mkoa unakuwaje Jiji!?
 
Na Professor Issa Shivji

Kwani uchifu ni utamaduni wetu? Makabila mengi hawakuwa na wachifu. Waliwekwa na wakoloni kwa maslahi yao (km Wazanaki). Uchifu ulipigwa marufuku na sheria mnamo 1962. Machifu waliyokuwepo (km Adam Sapi, Fundikira, Kunambi nk) waliingizwa Serikalini katika nyadhifa mbalimbali.

Ufutaji wa uchifu ulitusaidia sana kujenga umoja wa kitaifa.Nchi zingine Za Afrika (kmNigeria, Ghana nk) wamepata shida kujenga umoja wa kitaifa. Sababu mojawapo ni machifu kulinda himaya zao kwa kukuuza ukabila badala ya utaifa. Tunachotakiwa kusisitiza ni utamaduni wa kitaifa.

View attachment 2091096
Bibi ushungi katapeliwa anadhani na huku ni Pemba
 
Wapare naona wanalikomesha jukwaa wanatwanga wanafikiri ni makande
 
Dawa ni Katiba mpya yenye muundo wa Serikali za majimbo.

Sent using Jamii Forums mobile app

hali itakuwa mbaya sana sehemu zisizo na rasilimali kama Kilimanjaro,
Mikoa kama Iringa na Mbeya na Njombe itapiga hatua sana,
Hata hivyo serikali za majimbo ni gharama sana kuziendesha, yaani kila jimbo linakuwa ni kama nchi ndani ya nchi, what a waste,
Tunaweza amend baadhi ya vipengele kwenye katiba kama kupunguza mamlaka ya rais but kufanya devolution ni mapema sana.
 
Back
Top Bottom