Wazee wa UCHAGANI, mkumbusheni Rais Samia mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji

Wazee wa UCHAGANI, mkumbusheni Rais Samia mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji

Ipo wazi kisheria Kwa mujibu wa Sheria za Mamlaka za Serikali za Mitaa kwamba ili eneo la utawala litangazwe kuwa Jiji linatakiwa liwe na hadhi ya manispaa, eneo liwe ni makao makuu ya mkoa, liwe miundombinu ya kisasa kama huduma za afya, maji, mazingira, pia eneo lijitosheleze kimapato Kwa asilimia kubwa bila kutegemea sana Serikali kuu.

Vyote hivi Moshi imetimiza ila sijui kigugumizi kinatoka wapi wakati Tanga imetangazwa Jiji wakati kivigezo inazidiwa na Moshi. Hata Mbeya iko sawa na Moshi.
Moshi wa kuifananisha na tanga nenda huko
 
hata mimi hapa nilikuwa najiuliza sana ujue" huyu jamaa amepata wapi ujasiri wa kuifananisha Mbeya na Moshi? Moshi itasubiri sana kwa jiji la kijani (Green City)
Si ndo hapo ndugu yangu!!,Kweli mtu akutukanae hakuchagulii tusi.
 
Uchagani huyu ndiye rais wa mioyo yetu,hatusikii hatuambiwi,Acha kabisa lekha kabisa meku,Yaani huyu #samia ndiyo rais mpaka #2040 bhaba yangu,hata ufanyeje,na tumeanza kuipenda CCM ile mbaya,nadhani labda umeisemea #babati na chuki zao.
Hakuna mchaga mjinga kama wewe
 
Uko sahihi kila eneo makaburi hawataki kutoa maeneo hata ya kujenga stendi kubwa ya mabasi tu kila mtu kakomaa siuzi ardhi iwe kwa serikalia au mwekezaji au mchaga mwenzangu


Majiji yote ukiyaaangalia cha kwanza walichofanya in kuruhusu wenye pesa kununua ardhi toka popote kuindeleza mifano jiji LA Arusha,Dar es salaaam,Mwanza ,Mbeya,Kahama,Dodoma nk

Moshi wabahili na ardhi Lukuvi akiwa waziri wa Ardhi alijaribu kuwaelimisha kuwa toeni ardhi iendelezwe sio bure wakamtukana tena wazee wa kichaga wasomi wakamfokea kuwa hatutoi ardhi

Mji haupanuki kabisa kila MTU kashikilia ardhi haiendelezi wala kuwekeza yapo makaburi tu ambayo hataki hata yahame

Stendi kuu ya mabasi moshi mjini ni kama kituo cha daladala

Wachaga wazuri kuwekeza mikoa mingine sio kwao mapato ya Moshi mjini ni madogo mno hamna biashara za maana moshi mjini hata ukiangalia kwa macho tu unajua hamna biashara pale watu wanaganga njaa tu walale waamke asubuhi
Aridhi si ya serikali ikiamua kuichukua kwaajir ya maendeleo ya jamii utachukua na kuwalipa fidia
 
Uko sahihi kila eneo makaburi hawataki kutoa maeneo hata ya kujenga stendi kubwa ya mabasi tu kila mtu kakomaa siuzi ardhi iwe kwa serikalia au mwekezaji au mchaga mwenzangu


Majiji yote ukiyaaangalia cha kwanza walichofanya in kuruhusu wenye pesa kununua ardhi toka popote kuindeleza mifano jiji LA Arusha,Dar es salaaam,Mwanza ,Mbeya,Kahama,Dodoma nk

Moshi wabahili na ardhi Lukuvi akiwa waziri wa Ardhi alijaribu kuwaelimisha kuwa toeni ardhi iendelezwe sio bure wakamtukana tena wazee wa kichaga wasomi wakamfokea kuwa hatutoi ardhi

Mji haupanuki kabisa kila MTU kashikilia ardhi haiendelezi wala kuwekeza yapo makaburi tu ambayo hataki hata yahame

Stendi kuu ya mabasi moshi mjini ni kama kituo cha daladala

Wachaga wazuri kuwekeza mikoa mingine sio kwao mapato ya Moshi mjini ni madogo mno hamna biashara za maana moshi mjini hata ukiangalia kwa macho tu unajua hamna biashara pale watu wanaganga njaa tu walale waamke asubuhi
Kwaiyo hakuna maduka makubwa na showroom?
 
Huku uchagani hatutaki hata kumuona huyu bibi
😂😂😂😂

Weee mmang'ati muiraqwi mtumwa wa mbowe, sasa umeanza kutamani kuwa mchagga😂😂😂😂

Mmerogewa nini aisee jamaa
 
Na Professor Issa Shivji

Kwani uchifu ni utamaduni wetu? Makabila mengi hawakuwa na wachifu. Waliwekwa na wakoloni kwa maslahi yao (km Wazanaki). Uchifu ulipigwa marufuku na sheria mnamo 1962. Machifu waliyokuwepo (km Adam Sapi, Fundikira, Kunambi nk) waliingizwa Serikalini katika nyadhifa mbalimbali.

Ufutaji wa uchifu ulitusaidia sana kujenga umoja wa kitaifa.Nchi zingine Za Afrika (kmNigeria, Ghana nk) wamepata shida kujenga umoja wa kitaifa. Sababu mojawapo ni machifu kulinda himaya zao kwa kukuuza ukabila badala ya utaifa. Tunachotakiwa kusisitiza ni utamaduni wa kitaifa.

View attachment 2091096
Uchifu uendelee hayo ni maoni yake. Huyu ni Mtanzania mhindi?
 
Wazee wa UCHAGANI, mkumbusheni Rais Samia. Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji.

Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji ili kuweza kule maendeleo Kwa mkoa na Taifa Kwa ujumla

Hi dhana Kwamba wachaga watakuja kuitawala TZ , ni mawazo ya kijamaa ambayo ni ujinga mtupu.

Huu ujinga umesababisha mkoa wa Kilimanjaro kudumaa kiuchumi. Hebu fikirieni mkoa wa Kilimanjaro ungekuwepo Kenya. Ungekuwa hivi ulivyo hapa TZ

Serikali ina Sera mbaya Sana, mbovu za maendeleo, utasema nchi haina wasomi waliobobea kwenye uchumi.

Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji au Mji wa Moshi unapaswa kuwa jiji?
Fafanua kwanza kisha tuchangie
 
Wachaga wajanja sana. Yaani kazi yao ni kwenda mikoa mingine kujazana tu huko na kununua Ardhi lakini kwao hawataki kuuza Ardhi. HII NI AKILI KUBWA KAMA WAYAHUDI. Nadhani vizazi vijavyo huko mbeleni ndio wataelewa na kuwapongeza babu zao
Hakuna kitu kama hicho. Dunia inaenda kuwa kijiji, kadri tunavyoenda mbele teknolojia inakua na mambo ya kijima yanapotea.

Hakuna siku itafika kwamba wachaga wote watarudi nyumbani kugawana ardhi wabaki hapo wapambane kufanya maendeleo.😂😂.

Msiposhirikiana na Watanzania wengine kuleta maendeleo kama wao walivyowaruhusu mpeleke maendeleo kwao uchagani kutaendelea hivyo hivyo mwishowe ardhi ya uchagani itabaki kuwa sehemu ya kuzikana na kutembelea mwezi wa 12.
 
Moshi iko vizuri sana sasa hivi. Barabara mjini nyingi kama siyo zote zina lami, majengo mengi ya ghorofa yamejengwa tofauti na zamani, kuna mpangilio mzuri wa barabara na majengo, na usafi wa hali ya juu. Morogoro ni kama imesimama hakuna maendeleo ya maana.
ukiondoa usafi hakuna kitu kingine moshi ilichoipita moro kuhusu majengo marefu moro ni babalao
 
Wakati mwingine uwe unasafiri uone nchi ujue miji ilivyo....
Jina la akaunti yako hapa jf linasadifu ulivyo shallow minded. Unajuaje kwamba sijasafiri hii Tanganyika au wewe ni mpiga lamri? Ili Manispaa ipewe hadhi ya jiji huwa kuna vigezo vingi tu vya msingi vilivyoainishwa kisheria. Sasa badala ya kutu-convince kwa kutuonyesha jinsi manispaa ya Moshi ilivyokidhi vigezo vyote/vingi vinavyotakiwa lakini inabaniwa na serikali kuwa jiji wewe una leta maneno matupu tena mbofumbofu. Kama ingekuwa ni rahisi hivyo basi Morogoro na Iringa zingekuwa zilisha kuwa majiji muda mrefu.
 
Hakuna cha vigezo wala nini, Dodoma ilitangazwa na Jiwe kuwa jiji bila kutimiza vigezo. Njia iliyotumika kwa Dodoma kwa nini isitumike kwa Moshi?
Kama tukijenga utamaduni wa namna hiyo wa Rais aliyeko madarkani kuacha kuzingatia vigezo na kufanya kwa mapenzi yake basi Manispaa zote zitakuwa majiji sasa. Nadhani kwa Dodoma japo kuna baadhi ya vigezo yawezekana vilikiukwa lakini yale maamuzi yaliendana na kuendeleza Dodoma kama makao mkauu ya nchi na ndiyo kazi inayofanywa sasa hivi ya kuijenga Dodoma. Hata Hivyo sikubaliani na kukiuka vgezo vya kisheria vya kifanya manispaa kuwa jiji. Dodoma ilitakiwa kuendelezwa kwanza ndiyo ipandishwe hadhi ya kuwa jiji.
 
Ikiwa Katiba yenyewe haifuatwi ndiyo itakuwa hivyo vigezo. Ule mkoa mpya unaopigiwa jaramba uanzishwe kule katikati ya Kitovu cha utalii una vigezo kushinda Tabora na Morogoro??
Hukumsikia Hangaaya akisema kwamba kama vigezo vikitimia ndio utafanywa kuwa mkoa? Hata huo aliyekuwa anataka kulazimisha kuufanya kuwa mkoa asingeweza kufanya hivyo bila vigezo kuwepo ndio maana alikuwa analazimisha baddi ya mambo kama airport, hospitali kubwa, taasisi za serikali kama vyuo n.k. Yote haya alikuwa anayafanya ili kutafuta vigezo vitimie.
 
Jina la akaunti yako hapa jf linasadifu ulivyo shallow minded. Unajuaje kwamba sijasafiri hii Tanganyika au wewe ni mpiga lamri? Ili Manispaa ipewe hadhi ya jiji huwa kuna vigezo vingi tu vya msingi vilivyoainishwa kisheria. Sasa badala ya kutu-convince kwa kutuonyesha jinsi manispaa ya Moshi ilivyokidhi vigezo vyote/vingi vinavyotakiwa lakini inabaniwa na serikali kuwa jiji wewe una leta maneno matupu tena mbofumbofu. Kama ingekuwa ni rahisi hivyo basi Morogoro na Iringa zingekuwa zilisha kuwa majiji muda mrefu.
suala la vigezo moshi ilishakuwa navyo kitambo. Kamuulize Jafo atakwambia hata yeye alishangaa kwa nini magufuli hakuipaisha moshi kuwa manispaa kwa sababu ya chuki zake za kisiasa akaipaisha dodoma ambayo mpaka sasa japo wamehamia huko bado haija kidhi. na wakati huo moshi ilishapeleka maombi lakini dodoma haikuwa imepeleka maombi iwe jiji.....it seems wewe ndiye uko shallow minded and less informed.

kwani morogoro na iringa zikipewa hadhi ya jiji kuna shida gani? Moshi, morogoro, Iringa au Tabora zimepungukiwa nini dhidi ya Tanga au Dodoma zilizopewa hadhi ya jiji?

you still need to learn a lot. nchi hii huijui wewe
 
suala la vigezo moshi ilishakuwa navyo kitambo. Kamuulize Jafo atakwambia hata yeye alishangaa kwa nini magufuli hakuipaisha moshi kuwa manispaa kwa sababu ya chuki zake za kisiasa akaipaisha dodoma ambayo mpaka sasa japo wamehamia huko bado haija kidhi. na wakati huo moshi ilishapeleka maombi lakini dodoma haikuwa imepeleka maombi iwe jiji.....it seems wewe ndiye uko shallow minded and less informed.

kwani morogoro na iringa zikipewa hadhi ya jiji kuna shida gani? Moshi, morogoro, Iringa au Tabora zimepungukiwa nini dhidi ya Tanga au Dodoma zilizopewa hadhi ya jiji?

you still need to learn a lot. nchi hii huijui wewe
Kwa hiyo serikali haitaki kwa makusudi kuifanya manispaa ya Moshi kuwa jiji? Weka hapa vigezo wacha mineno mingi! Otherwise just continue to live in your fantasies!
 
Back
Top Bottom