Wazee wa Yanga hawataki mabadiliko klabuni

Wazee wa Yanga hawataki mabadiliko klabuni

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Wazee wa busara wanawasha moto hatari, kuna kikao kipo underway hapo utopoloni wale wazee ambao juzi walisema hawatapeleka team uwanjani kucheza na simba hawataki kusikia lolote kuhusu mabadiliko ya uendeshaji wa team hiyo.

Binafsi nawaunga mkono sana, Yanga ni team ya wananchi inakuwaje iwekwe mikononi mwa GSM, safi sana wazee wenye busara tupo nyuma yenu kwanza nyie ndo mlipigania uhuru wa nchi hii nyerere kule Marekani umoja wa mataifa walikuwa wameshamnyima uhuru wa tanganyika alipotaja jina la team ya yanga afrika wazungu wote walitetemeka wakatoa uhuru wa nchi.

Inakuwaje GSM mkataba wa jezi anatoa 1300 ths wakati yeye anauza 35,000 tunataka mahesabu ya mauzo ya jezi, team ya wananchi ibaki mikononi mwetu wenyewe kama vipi tutaiendesha kwa michango mbona tushafanya kabla.

Wazeee wa busara oyeeeee
 
Pale kuna mgogoro wa kimaslahi. Na kwa jicho la mbali, naona kuna mkono wa ‘Kanjibai’ ambaye yupo mjini kwa sasa.

Mbona mwanzoni hawakuwa na press nyingi za matamko kiasi hiki?
 
Pale kuna mgogoro wa kimaslahi. Na kwa jicho la mbali, naona kuna mkono wa ‘Kanjibai’ ambaye yupo mjini kwa sasa.
Mbona mwanzoni hawakuwa na press nyingi za matamko kiasi hiki?!
UTASIKIA TAMKO BAADAYE acha tukae pembeni tucheke we huoni hata GSM wanaongeza masifuri mbele bei za kununua wachezaji wanakuambia kambole ni billions 5 na Djuma Shaban ni bilion 1.2 hahahahaha kwenye jezi utopolo wanapewa 1,300 kila jezi na hata hiyo ndogo haionekani kuna beef kubwa kati ya msolla na engineer maana mapato ya jezi hayaeleweki
 
Uto walikuwa wakifurahia sana hali kwa Simba SC.

Sasa zamu ni yao. Hao Wazee mpaka wakuelewe, Simba SC Bingwa miaka 10 Mutawalia.
juzi wamewachekea ujinga wao wa kukataa mechi ya simba sasa subiri waone moto wa hivyo vizee hao ni wahuni waliozeeka tu siyo kila mzee ana busara wengine ujanani walikuwa wavuta bangi
 
Mimi japo ni mwamsimbazi lakini kwa kuthamini wazee na kuwaheshimu nawaungo mkono wazee mia kwa mia.
Wazee wa Yanga tuko pamoja.
Ili watucheleweshe s ndyo?

Mzee kilomoni alipoanza kuwasumbua mlimpinga hapa kuwa apuuzwe ila wazee wa yanga wasipuuzwe?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Wazee ni tunu ya taifa,hawa wazee wa yanga wasikilizwe tunaomba Takukukuru waingilie kati maana kuna viashiria vya rushwa ili mabadiliko ya kinyonyaji yapitishwe
Leo hii TAKUKURU iingilie kati? S nyie majuz tu hapa mlitaka huko wabunge waingilie na kuzibadilisha sheria za tume ya ushindan FCC kuwa inawahujumu Leo mnawaunga wazee wa yanga dah ?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Leo hii TAKUKURU iingilie kati? S nyie majuz tu hapa mlitaka huko wabunge waingilie na kuzibadilisha sheria za tume ya ushindan FCC kuwa inawahujumu Leo mnawaunga wazee wa yanga dah ?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
yanga ki asilia ni team ya wananchi na ndiyo iliyopigania uhuru baada ya nyerere na tanu kushindwa wazee wa yanga wakauleta uhuru ,team ya wananchi haiwezi kuendeshwa na matapeli wachache wa gsm ,simba ni story tofauti kwa hiyo wazee wetu wako sahihi kabisa
 
yanga ki asilia ni team ya wananchi na ndiyo iliyopigania uhuru baada ya nyerere na tanu kushindwa wazee wa yanga wakauleta uhuru ,team ya wananchi haiwezi kuendeshwa na matapeli wachache wa gsm ,simba ni story tofauti kwa hiyo wazee wetu wako sahihi kabisa
Mamaee hahahaha ngoja tuutoe.ule mwiko nyuma ndio mtatujua sisi akina Nani?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
GSM ndio wanaoiongoza Yanga bila mabadiliko kufanyika.

Mkataba wa GSM na Yanga ulikuwa kwa ajili ya kuuza Jezi. Lakini sasa wanamiliki Timu kiasi kwamba Timu ikikosa Ubingwa tunaambiwa tuwaulize wao na sio viongozi wa Yanga.

Kama usajili unafanywa na GSM na sio uongozi wa kina Msola ni dhahiri hata kina Tonombo wakiuzwa fedha za mauzo ya wachezaji zitaenda GSM.

Hawa wazee wanajielewa.
 
Ili watucheleweshe s ndyo?

Mzee kilomoni alipoanza kuwasumbua mlimpinga hapa kuwa apuuzwe ila wazee wa yanga wasipuuzwe?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mzee Kilomoni hakuwa na hoja ila wazee wa Yanga wanahoja,kwanza Yanga ni timu ya wanachi,pili wanaotaka kuwekeza Yanga ni waongo waongo tu wanataka kuinyonya klabu kubwa ya Yanga yenye historia ya uhuru wa nchi hii.
Kuna mzee mmoja wa Yanga anasemaga hivi"ntu yeyote atakaeleta ukhanithi Yanga tu nvesha sanda" pingine sasa mveshwe sanda.
 
Mzee Kilomoni hakuwa na hoja ila wazee wa Yanga wanahoja,kwanza Yanga ni timu ya wanachi,pili wanaotaka kuwekeza Yanga ni waongo waongo tu wanataka kuinyonya klabu kubwa ya Yanga yenye historia ya uhuru wa nchi hii.
Kuna mzee mmoja wa Yanga anasemaga hivi"ntu yeyote atakaeleta ukhanithi Yanga tu nvesha sanda" pingine sasa mveshwe sanda.
Kwa hyo Simba n timu MWAMEDI

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mkude- amefuta picha zote instagram alizopiga akiwa na jezi ya simba nakubakiza picha 1 ya aliyekua mlimbwende/mpenzi wake barbara gonzalez


Source:livescore and espn reported
 
Wazee wa busara wanawasha moto hatari, kuna kikao kipo underway hapo utopoloni wale wazee ambao juzi walisema hawatapeleka team uwanjani kucheza na simba hawataki kusikia lolote kuhusu mabadiliko ya uendeshaji wa team hiyo.

Binafsi nawaunga mkono sana, Yanga ni team ya wananchi inakuwaje iwekwe mikononi mwa GSM, safi sana wazee wenye busara tupo nyuma yenu kwanza nyie ndo mlipigania uhuru wa nchi hii nyerere kule Marekani umoja wa mataifa walikuwa wameshamnyima uhuru wa tanganyika alipotaja jina la team ya yanga afrika wazungu wote walitetemeka wakatoa uhuru wa nchi.

Inakuwaje GSM mkataba wa jezi anatoa 1300 ths wakati yeye anauza 35,000 tunataka mahesabu ya mauzo ya jezi, team ya wananchi ibaki mikononi mwetu wenyewe kama vipi tutaiendesha kwa michango mbona tushafanya kabla.

Wazeee wa busara oyeeeee
Mambo ya Yanga hayawahusu
 
Hawa wazee wanachelewesha maendeleo dawa yao shaba za kichwa tu hawa mpk waishe...shenzzz sana hawa
 
Nawaunga mkono wazee wa yanga maana ndio wananchi wenyewe,ndio wenye timu.

Wazee komaeni sisi tunawaelewa mbona!
 
Back
Top Bottom