Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Mkuu hii dunia ina mambo mengi usiyoweza ku define kwa jibu la moja kwa moja lililokamilika, hasa linapokuja suala la wanawake.Ameshafikia Menopause unapata nini sasa akikubalia,au ana kibunda?
Sio mimiAisee au nimesoma vibaya ? Miss_Mariaah
Hutaki nikutie moyo?Sio mimi
Kila nikisoma comments zako taswira inayonijia kichwani huwa nakuona kama yule 'Mzee wa TikTok'...πMkuu gari bovu huvutwa na zima
Yaani unataka na Uzee huu niendelee kudate na Mzee mwenzangu wa miaka 60?
Hata hivyo Wazee tuna mbinu, hapa nina azina ya mbinu 1000+
Hakika wewe ni matured.Hivi miaka 60 mkuu unaona ni mkongwe sana siyo?
Mungu akikuweka hai, umri huo ni miaka michache sana, unaipata bado mwili una nguvu za kufanya kila kitu.
Na unakupata bila mhusika kuelewa umri huo umeupataje, ila kama una maradhi, unakuwa ni mzee usiyeweza jambo lolote.
π€ sitii nenoShikamoo naitikia vizuuuri marhabaan....kimsingi namzungumzia mtu mzima mwenzangu 60+ ana mjukuu mkubwa kama wewe....Sina haja na vibinti a.k.a alfu mbili.....manake bado havijawiva.....vina harufu fedenge...π
Hahaha.................yule Mzee wa hovyo hawezi kuwa Mimi πKila nikisoma comments zako taswira inayonijia kichwani huwa nakuona kama yule 'Mzee wa TikTok'...π
Yaani mimi na miaka yangu 38 najionaga ni mtu mzima sana hapa jf kumbe Kuna wengine mna 60+ mmepga kimya tu.
Mbinu moja iliyo kuu ni kuhonga pakubwa, mbinu hii sawa na kukandika uso kwa makeup ili kuficha makunyanzi.Mkuu gari bovu huvutwa na zima
Yaani unataka na Uzee huu niendelee kudate na Mzee mwenzangu wa miaka 60?
Hata hivyo Wazee tuna mbinu, hapa nina azina ya mbinu 1000+
we mtongoze tu mbona mie natomgoza sana na ninawala sana tuHebu tupeane uzoefu kumtongoza mwanamke wa umri 60 +. Nini matokeo? Je, kuna uwezekano wa kupigwa kibuyu? Wazee wenzangu hebu tupeane mrejesho.
Kuna mzee mwenzangu nina hofu asije nitangaza akanivunjia heshima. Wasiwasi wangu wanawake huongea sana.πππ
Huyo hata kama bado ana genye ila hana muda mrefu atafikia tamati na mwanaume atayemuoa lazima utataka kuchepuka ili kutimiza haja zako,sasa hapo kuna nini tena mkuuMkuu hii dunia ina mambo mengi usiyoweza ku define kwa jibu la moja kwa moja lililokamilika, hasa linapokuja suala la wanawake.
Unamkumbuka Winnie Medekizela Mandela wa South Africa?
Wakati Mandela anatoka jela, alimkuta akiwa na umri gani?
Je unakumbuka ni 'saga' gani lililomfanya mzee Mandela aka give up?
Kama mtiririko wa kashifa hiyo unaukumbuka vizuri, basi mambo ya kina mama hayana majibu yenye kanuni sahihi.
Nimeshuhudia wanawake wenye umri huo wakiolewa ama kudai talaka.
Na mtu kukubali kuolewa si mpaka awe fit phisically?
Niishie hapo.
Mwandishi wa habari: Vipi mzee unaishi wapi ?Hahaha.................yule Mzee wa hovyo hawezi kuwa Mimi π
Unakupata bila kujua umekupataje kwa sababu wengi mliendekeza kula bata ukiwa unakula bata hutojua muda umesonga songa vipi .Hivi miaka 60 mkuu unaona ni mkongwe sana siyo?
Mungu akikuweka hai, umri huo ni miaka michache sana, unaipata bado mwili una nguvu za kufanya kila kitu.
Na unakupata bila mhusika kuelewa umri huo umeupataje, ila kama una maradhi, unakuwa ni mzee usiyeweza jambo lolote.
Kama una 78 bac wewe ni mzee wa hatari maana sio kwa ile mishundu unayopostigi kweny ule uzi wa "beautiful ladies"Dogo unazingua. Na kuanzia leo naitaka shikamoo yangu!
78yrs here and counting
Super blessed ππΏ