Ukifanya utafiti chanzo cha vifo vya mapema vya wanaume wengi ni stress za ndoa.
Mwanamke mmoja ukiishi nae anakuzoea anakuona sawa na mtoto mwenzake.
Majukumu ya nyumba wanaachiwa wadada wa Kazi, hata ukizeeka Wana ungana na watoto kuwa kitu kimoja baada ya kuwalisha sumu, hawatambui mchango wako ulivyo jinyima Ili wao wale wasome.
Zamani wazee walijua siri akikuzingua bi Mkubwa walikuwa awatoi talaka kimya kimya anaenda kwa bi mdogo huko napo akivurugwa uenda kwa Mdogo zaidi akivurugwa huko urudi kwa Mkubwa ambae anakuwa amemmiss mme wake KWA mzunguko huo huo.
Hii iliwasaidia Sana wasife mapema na maradhi ya moyo, au kuuana kisa mapenzi. Thus walifika hadi miaka 100 kwa amani afya tele.
Ni mzigo mzito Sana kuubeba mzigo wa malezi mabovu ya mwenzako wako.
Mzazi anamlea binti vibaya madhara anaenda pata atakaeishi nae kifuatacho ni stress, umasikini, stroke, kisukari, kupooza nk.
Men die too young
Mwanamke mmoja ukiishi nae anakuzoea anakuona sawa na mtoto mwenzake.
Majukumu ya nyumba wanaachiwa wadada wa Kazi, hata ukizeeka Wana ungana na watoto kuwa kitu kimoja baada ya kuwalisha sumu, hawatambui mchango wako ulivyo jinyima Ili wao wale wasome.
Zamani wazee walijua siri akikuzingua bi Mkubwa walikuwa awatoi talaka kimya kimya anaenda kwa bi mdogo huko napo akivurugwa uenda kwa Mdogo zaidi akivurugwa huko urudi kwa Mkubwa ambae anakuwa amemmiss mme wake KWA mzunguko huo huo.
Hii iliwasaidia Sana wasife mapema na maradhi ya moyo, au kuuana kisa mapenzi. Thus walifika hadi miaka 100 kwa amani afya tele.
Ni mzigo mzito Sana kuubeba mzigo wa malezi mabovu ya mwenzako wako.
Mzazi anamlea binti vibaya madhara anaenda pata atakaeishi nae kifuatacho ni stress, umasikini, stroke, kisukari, kupooza nk.
Men die too young