Wazijua siri za Vatican?

Wazijua siri za Vatican?

Nayajua Mengi san kuhusu Vatican Siku nikiwa na Muda mzuri nitatoa somo humu, na sitosema nimejuaje ila Vatican Imeficha vitabu vikubwa Zaidi ya 11,

ambavyo kam vikijulikana basi Waafrica Hawatotaman hata Kumuona Mtu mweupe na Waafrica hawatotaman hat kusikia tena neno Msikiti au kanisa,

Yule Papa anajua kila kitu Pamoja na viongozi wengne Wa ngazi ya Daraja la Kwanza Wanaujua Ukweli wote

NB: Hakuna Ikulu au Benki yoyote inayolindwa kuliko Chumba cha Siri cha Vatican Kilindwachwo 24/7 na watu wasiojua hata wanachokilinda ni kitu gani.
Kabla hata ya kuzijua hizo siri msikiti na kanisa ni drama tu ,ukitumia akili yako vizuri.
 
Nayajua Mengi san kuhusu Vatican Siku nikiwa na Muda mzuri nitatoa somo humu, na sitosema nimejuaje ila Vatican Imeficha vitabu vikubwa Zaidi ya 11,

ambavyo kam vikijulikana basi Waafrica Hawatotaman hata Kumuona Mtu mweupe na Waafrica hawatotaman hat kusikia tena neno Msikiti au kanisa,

Yule Papa anajua kila kitu Pamoja na viongozi wengne Wa ngazi ya Daraja la Kwanza Wanaujua Ukweli wote

NB: Hakuna Ikulu au Benki yoyote inayolindwa kuliko Chumba cha Siri cha Vatican Kilindwachwo 24/7 na watu wasiojua hata wanachokilinda ni kitu gani.
Acha kuongea kama umekatwa kichwa mkuu, uislamu hauna siri wala sisi hatuna maandiko yanayolindwa kuliko benki, Qur'an iko wazi na imejitosheleza hata watoto wa chekechea wanaisoma.

Na hatujuti wala hatutojuta kamwe kuwa waislamu, bali tunashukuru mno usiku na mchana kwa neema hii kubwa isiyolingana na neema yeyote.

Na mwisho utambue sisi tumekuwa waislamu na tuna uhakika asilimia trillion juu ya kile tulichopo juu yake, hatuna mashaka wala wasiwasi wala hatuna maneno ya ajabu kama "bora umuamini halafu usimkute kuliko usimuamini halafu ukamkuta" hayo ni maneno ya watu wapumbavu wasiojua nafasi yao wala thamani yao.


اللّهم لك الحمد كما ينبغي لجلال و جهك و عظيم سلطانك
 
Acha kuongea kama umekatwa kichwa mkuu, uislamu hauna siri wala sisi hatuna maandiko yanayolindwa kuliko benki, Qur'an iko wazi na imejitosheleza hata watoto wa chekechea wanaisoma.

Na hatujuti wala hatutojuta kamwe kuwa waislamu, bali tunashukuru mno usiku na mchana kwa neema hii kubwa isiyolingana na neema yeyote.
Muache.Hutaki atuelezee alichonacho hiyo siku moja?
 
Back
Top Bottom