bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Unaotawala Dunia ni mfumo wa 666 na Sio VaticanSiri zipi tena zaidi ya kutawala dunia nyuma ya pazia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaotawala Dunia ni mfumo wa 666 na Sio VaticanSiri zipi tena zaidi ya kutawala dunia nyuma ya pazia?
Huyo 666 ndiyo nani?Unaotawala Dunia ni mfumo wa 666 na Sio Vatican
Alisema yeye ni Mungu na Sio watu walitunga.Hv vitabu ndio vinasema kuwa yesu sio mungu...wanaogopa watu wakijua watawasanua na kukosa mapato na ushawishi duniani...
Mfumo unaotawala Duniani Hawa ndio uipeleka Duniani watakavyo Leo watakuja na wimbo wa ugaidi, corona,ushoga nkHuyo 666 ndiyo nani?
Kabla hata ya kuzijua hizo siri msikiti na kanisa ni drama tu ,ukitumia akili yako vizuri.Nayajua Mengi san kuhusu Vatican Siku nikiwa na Muda mzuri nitatoa somo humu, na sitosema nimejuaje ila Vatican Imeficha vitabu vikubwa Zaidi ya 11,
ambavyo kam vikijulikana basi Waafrica Hawatotaman hata Kumuona Mtu mweupe na Waafrica hawatotaman hat kusikia tena neno Msikiti au kanisa,
Yule Papa anajua kila kitu Pamoja na viongozi wengne Wa ngazi ya Daraja la Kwanza Wanaujua Ukweli wote
NB: Hakuna Ikulu au Benki yoyote inayolindwa kuliko Chumba cha Siri cha Vatican Kilindwachwo 24/7 na watu wasiojua hata wanachokilinda ni kitu gani.
Vipi kama wakivaa suti nyeupe?Mfumo unaotawala Duniani Hawa ndio uipeleka Duniani watakavyo Leo watakuja na wimbo wa ugaidi, corona,ushoga nk
Na Dunia nzima inaenda huko.
Wazee wa suti nyeusi,
Giza na Nuru havikai pamojaVipi kama wakivaa suti nyeupe?
Giza na Nuru havikai pamoja
M-bongo anakwambia ni siri lakini huyo huyo anakuhadithia.Wewe umejuaje?
Kunguru Sio mfumoMbona kunguru ana rangi nyeusi na nyeupe na anaelea angani kwa maringo?
Hana hata mfumo wa chakula/mmeng'enyo? 🦅Kunguru Sio mfumo
Ndio nini dimensia?Dimensia.
Kwamba hakuna mtu anaejua alafu yeye anajua 😂M-bongo anakwambia ni siri lakini huyo huyo anakuhadithia.
Kwenye uzi huu ipo hii.Ndio nini dimensia?
Ngoja nichekKwenye uzi huu ipo hii.
Cheki naye!Ngoja nichek
Acha kuongea kama umekatwa kichwa mkuu, uislamu hauna siri wala sisi hatuna maandiko yanayolindwa kuliko benki, Qur'an iko wazi na imejitosheleza hata watoto wa chekechea wanaisoma.Nayajua Mengi san kuhusu Vatican Siku nikiwa na Muda mzuri nitatoa somo humu, na sitosema nimejuaje ila Vatican Imeficha vitabu vikubwa Zaidi ya 11,
ambavyo kam vikijulikana basi Waafrica Hawatotaman hata Kumuona Mtu mweupe na Waafrica hawatotaman hat kusikia tena neno Msikiti au kanisa,
Yule Papa anajua kila kitu Pamoja na viongozi wengne Wa ngazi ya Daraja la Kwanza Wanaujua Ukweli wote
NB: Hakuna Ikulu au Benki yoyote inayolindwa kuliko Chumba cha Siri cha Vatican Kilindwachwo 24/7 na watu wasiojua hata wanachokilinda ni kitu gani.
Muache.Hutaki atuelezee alichonacho hiyo siku moja?Acha kuongea kama umekatwa kichwa mkuu, uislamu hauna siri wala sisi hatuna maandiko yanayolindwa kuliko benki, Qur'an iko wazi na imejitosheleza hata watoto wa chekechea wanaisoma.
Na hatujuti wala hatutojuta kamwe kuwa waislamu, bali tunashukuru mno usiku na mchana kwa neema hii kubwa isiyolingana na neema yeyote.