Wazijua siri za Vatican?

Pamoja na mavita yote ya dunia bado watu walishindwa kukisogelea hicho chumba? 1914-18 na 1939-44
 
Uyo mzee aliyekwambia itakuwa mliwa tigo kaa mbali nae,
 
Kuna Fr.mmoja Dr. Alishakuwa mkuu wa chuo fulani alibahatika kutujuza haya....bahati mbaya akawa alcoholic addict akapatiwa matibabu Uganda kwa siri..hatimae wakamfungia Tosamaganga...mpaka umauti ulipompata...ndiye aliyetujuza haya.
kama hukuthibitisha basi yawezekana ni uongo au alikuwa mgonjwa
 
Wewe ni MJINGA.
Mbea.
MUONGO.
MzNdiki
MPUMBAFU.
Huna AKILI.
Mchonganishi.

Heri wenye Moyo safi maana hao watamuona Mungu.
Mathayo 5:8.
 
kama hukuthibitisha basi yawezekana ni uongo au alikuwa mgonjwa
Mkuu nina uthibitisho mwingi mno.
Kwa kuanzia kama wewe ni msomaji tafuta kitabu...Banco Ambrosiano....
Halafu rudi nikupe data ambazo macho yatakuwasha.
 
Mkuu nina uthibitisho mwingi mno.
Kwa kuanzia kama wewe ni msomaji tafuta kitabu...Banco Ambrosiano....
Halafu rudi nikupe data ambazo macho yatakuwasha.
Umesema siri hizo ni kwa wenye miaka 75+, mimi sina. We toa hizo data nia yako si kutujuza yaliyofichwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…