Waziri aagiza BASATA kushughulikia mgogoro wa uteuzi wa Steve Nyerere na Wasanii

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Ndo maana Diamond anawadharau maana hawajielewi kabisa hawa jamaa
 
Kama vipi huyu steve baada ya kumdrop wamchape viboko hata 12 tu kwa usumbufu huu
 
Steve mwenyewe anajinasibu eti alifatwa mara tatu kuchukua iyo nafasi akakataa,cha ajabu hatakiwa lakini bado kang'ang'ania.
 
Uwezo wa kujenga hoja F
Vision F
Mihemko A
Visasi na Vichambo A
Masihara A
Utunzaji Siri F (nilifuatwa mara 3 kushawishiwa kuwa kiongozi/msemaji wa SMT[emoji24])
Hafai kuwa kiongozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…