Waziri anayetumia V8 kuchungia ng'ombe ni nani?

Waziri anayetumia V8 kuchungia ng'ombe ni nani?

View attachment 2881463

Yapo mambo yaliyoibuliwa kwenye haya Maandamano tunayoendelea nayo yanasisimua sana .

Imeibuka Taarifa kwamba yuko Waziri mwenye ng'ombe wengi sana , ambaye anatumia V8 kuchungia mifugo hiyo , yaani iko hivi , wachunga ng'ombe walioajiriwa na Mh huyo wamepewa V8 Kufuatilia ng'ombe hao huko porini , sijui kama mnanielewa ?

Yaani Nchi hii ambayo 90% ya Raia wake wanaitwa Wanyonge V8 inachungia ng'ombe !

Nakulilia Tanzania .
Sasa, kama ana pesa, zake, kwanini asichunge kwa kutumia hiyo ndinga, V8 kitu gani bro, 250M sio nyingi kiviiiiile, we, kama, huna, wenzio wanazo.
Tuache kusema watu vibaya, kama una ushahidi kaiba, nenda polisi,
 
Sasa, kama ana pesa, zake, kwanini asichunge kwa kutumia hiyo ndinga, V8 kitu gani bro, 250M sio nyingi kiviiiiile, we, kama, huna, wenzio wanazo.
Tuache kusema watu vibaya, kama una ushahidi kaiba, nenda polisi,
Matumizi ya Pesa ndio hayo ?
 
Maandamano yana lengo zuri tu makamanda,Ila tu-stick kwenye mada,,hizi fununu na stori za kimbea kwenye Mambo serious mnapoteza watu..
au kama unatoa stori kama hiyo toa na jina basi,,tutaanza kupiga umbea mwisho tutatoka kwenye reli.
 
Mbona naona kama watu wamevurugikiwa flan na kama wako na hasira yan sijaelewa leo watu wamekumbwa na nini?
 
Bila shaka nawe ni kutoka lile genge la vijana wa hovyo au nyumbu wa CHADEMA ambao kwao silaha yao kuu ni matusi tu kama vichaa.jibu hoja zangu nilizoziweka hapo katika andiko langu na siyo kuleta porojo zako tu hapa .
Unajuwa wewe Kwa ulivyo na tabia za kijinga saa nyingine mtu haoni hata haja ya kusoma ulichoandika. Mtu anachofanya ni kukujibu tu hivyo hivyo.
 
Back
Top Bottom