Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitakaje? Waishi milele?View attachment 1644604
Lo!
Wazee wetu wanapotea.
RIP Prof Simon Mbilinyi, mume wa Prof Marjorie Mbilinyi(muzungu)
Ingependeza zaidi!Ulitakaje? Waishi milele?
Na Kuna KIBADAMO Hotel pale makambako ni Nzuri kuliko hata ya ubungo.Profesa Mbilinyi nakumbuka wakati akiwa Waziri wa Fedha naibu wake alikuwa Kilonzo Mpologomyi, Muha wa Kigoma mjanja mjanja hivi...
Jamaa alikuwa very smart hasa pale anapojibu maswali ya nyongeza Bungeni....
Rip, Mh Profesa Saimon Mbilinyi...
Inasemekana ile KIBADAMO Hotel pale Ubungo ni yake...
Ya Makambako iko vizuri.Na Kuna KIBADAMO Hotel pale makambako ni Nzuri kuliko hata ya ubungo.
Kama zote ni hotel zake basi kawaacha "wana" vizuri...Na Kuna KIBADAMO Hotel pale makambako ni Nzuri kuliko hata ya ubungo.
Huyo ni mtu mzima hakosi 75+so hajawahi wala hajachelewaWatu wema uwahi kufa
Mwanae mmoja alichukua rangi ya baba yake i mean nyeusi walivyoenda vacation ulaya akaugua akafa ndugu wakadai mzungu kala njama kisa dogo mwesi .,tuache uzushi wabongoKama zote ni hotel zake basi kawaacha "wana" vizuri...
Ila waovu watesaji uvuka hapo Ili wazidi umiza watuHuyo ni mtu mzima hakosi 75+so hajawahi wala hajachelewa
Nimeshangaa sanaUbalozi enzi hizo ulikuwa ukigombewa mpaka akabwagwa! Maajabu!
Deportivo la ........Alikuwa anaumwa ugonjwa gani