BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Kuna mtu wa karibu na huyu mrembo kaniambia ni COVID19.
Baba wa Nelly Mbilinyi RIP
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba wa Nelly Mbilinyi RIP
Malaika Mkuu arudie tena maombi ya siku tatu.Kuna mtu wa karibu na huyu mrembo kaniambia ni COVID19.
Malaika Mkuu arudie tena maombi ya siku tatu.
Pole Ngariba
Pole yetu sote mama DPole Ngariba
Ukiingia toi za MNHH unazidi kuumwaViongozi wengi hufia AGHA KHAN:-
1. Hawaiamini Muhimbili?
2. Hawataki wajulikane wanaumwa, kuna usiri flani pale Agha khan.?
3. Muhimbili haina madaktari wazoefu kama agha kahan?
4. Huduma bora zipo hospitali binafsi zaidi ya huko Serikalini?
NOTE: Viongozi wengi wanao ingia agha Khan wazima hutoka maiti, siwataji ila mna wajua.
Pale alishahama muda tuHuu Msiba mzito utakua Kimara Kona.
R.I.P
Nimepata habari kuwa Profesa Simon Mbilinyi amefariki dunia hospitali ya Agakhan. Marehemu aliwahi kuwa Waziri enzi za Mkapa kisha akajiuzulu.
Amewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho na pia amewahi kuwa Balozi Ubelgiji na Lexambourg kuanzia mwaka 1985 - 1989 alipokuja kubwagwa na Jenista Mhagama.
View attachment 1644634
Profesa Simon Mbilinyi enzi za uhai wake akiwa na Mkewe Profesa Marjorie Mbilinyi
RIP Prof Mbilinyi.
Pia soma
Ina maana hata Latemba alikua haji Tena?Pale alishahama muda tu
tusubiri MALIM SEIF akifanya ziara watarekebishaUkiingia toi za MNHH unazidi kuumwa