TANZIA Waziri Awamu ya Tatu na Balozi Mstaafu Profesa Simon Mbilinyi afariki dunia Hospitali ya Agha Khan

Na Kuna KIBADAMO Hotel pale makambako ni Nzuri kuliko hata ya ubungo.
 
Rest In peace.

Kuna wakati Kama alipatwa na kashifa, za kuponda Mali isiyo uma.
 
Kama zote ni hotel zake basi kawaacha "wana" vizuri...
Mwanae mmoja alichukua rangi ya baba yake i mean nyeusi walivyoenda vacation ulaya akaugua akafa ndugu wakadai mzungu kala njama kisa dogo mwesi .,tuache uzushi wabongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…