TANZIA Waziri Awamu ya Tatu na Balozi Mstaafu Profesa Simon Mbilinyi afariki dunia Hospitali ya Agha Khan

Kumbe jenista mhagama kaanza kuwa mbunge Toka 1989
 
Poleni sana ndugu wafiwa Mungu awape nguvu ktk kipindi hiki kigumu
 
Miongoni mwa WASOMI WA NCHI YETU adhimu.

Kuna msemo usemao "aondokapo msomi,ni huzuni mpaka kwa MITI."

Rip msomi mzee Prof. S.Mbilinyi!

THE WORLD IS NOT OUR HOME.
Nadhani ni vyema wasomi kama hawa wakifa tujue mchango wao kwa taifa letu ili tuweze kuwaenzi.
Maana tumekuwa na watu ambao wanahadhi kubwa lakini ukiangalia michango yao kwa taifa hakuna.
 
kifo ni fundisho kubwa kwa sisi tulio hai tutende mema kwa binaadamu wenzetu kwani hujui utakufa saa ngapi...tuache chuki, majungu na fitina
 
Kifo kipo hayupo atakayeishi milele.

Kwaheri Mbilinyi.
 
Yaani Waziri mzima kafariki hakuna hata tangazo popote katika magazeti mpaka hapa JF, si hatari hii?
 
Kifo hakiepukiki, ila huyu jamaa alihusika serikali ya mkapa, kuua mashirika ya umma na kuuza mali za serikali
 
Viongozi wengi hufia AGHA KHAN:-

1. Hawaiamini Muhimbili?

2. Hawataki wajulikane wanaumwa, kuna usiri flani pale Agha khan.?

3. Muhimbili haina madaktari wazoefu kama agha kahan?

4. Huduma bora zipo hospitali binafsi zaidi ya huko Serikalini?


NOTE: Viongozi wengi wanao ingia agha Khan wazima hutoka maiti, siwataji ila mna wajua.
 
"Na mtaweweseka sana mwaka huu,wakina nadhir kalamagi,wakina mqapa,sumaye ,lowassa wote wezi,wapi IPTL,hawa watu wameiba hela lazima waende jela,mnalindana mnalindana kina ditopile wanaua halafu tupo nao mtaani,naongea kupitia sanaa khaaaaa"--Kalapina 2007 Masikini Akicheka

Poleni Ndugu,jamaa na marafiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…