TANZIA Waziri Awamu ya Tatu na Balozi Mstaafu Profesa Simon Mbilinyi afariki dunia Hospitali ya Agha Khan

Uongo wake umedhihirika na kwa kuwa anataka Watanzania waamini kwamba hakuna corona Nchini, sasa ugonjwa unafichwa kwa makusudi kitu ambacho ni hatari sana kwani Watanzania wengi hawachukui tahadhari husika. Na hii Xmas na mwaka itakuwa hatari tupu!
Malaika Mkuu arudie tena maombi ya siku tatu.
 
RIP Prof. Mbilinyi.

Mwaka huu unachujua washua wengi.

Prof. Mbilinyi
President Mkapa
Dr. Mahiga

Hao mabalozi wa zamani tu.
 
Ukiingia toi za MNHH unazidi kuumwa
 
R.I.P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…