Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masikini ni wengi, watu wengi ni mtaji wa kura, ni mara chache sana mwanasiasa atasema ametoka familia ya kitajiri isiyojua shida ni nini ili akose kura.Hawa mawaziri wa TZ chenga sana sana...wanaona umaskini ni sifa wakati wao ndio wanausababisha.
Eeh ungambile stupid infront of public🤣🤣🤣🤣🤣Eliimu gani aliyonayo ya kururingishia,huku kwetu Bukoba mimi nina Phd saba na mastets kumi ,Yeye kadigrii kamoja anajiita nshomile stupid iwe bojo
Aisee kweli kuna mwamba humu anakwambia amesoma kuanzia vidudu yeye ni namba 1 tu mpaka Chuo kachumpa first Class GPA 5.0 ila mpaka sasa yupo street tu anasaga lami halafu kuna kijeba kinasimama kinasemaje?Duh aiseee
Hili nalo swali zuri sana. Maana mvja zinanyesha lakini jua kidogo utasiki mgao wa maji. Kama sie wa mororgoro tumechoshwa kabisa na hawa maengineerKwahiyo chuo cha maji wanasomea nini? Mbona Tanzania maji safi bado ni changamoto? Hao wanafunzi wakigraduate huwa wanaenda wapi?
Jinga sana huyo waziri kadigree kamoja ndio anajisifuAisee kweli kuna mwamba humu anakwambia amesoma kuanzia vidudu yeye ni namba 1 tu mpaka Chuo kachumpa first Class GPA 5.0 ila mpaka sasa yupo street tu anasaga lami halafu kuna kijeba kinasimama kinasemaje?
Wanaenda mtaani kusaga lami hakuna channel channel zote zinasoma Chenga tuKwahiyo chuo cha maji wanasomea nini? Mbona Tanzania maji safi bado ni changamoto? Hao wanafunzi wakigraduate huwa wanaenda wapi?
Bwana wee hatari sii mchezo jamaa alikuwa anabukua lakini mtaani ngoma nagu 🤣🤣🤣🤣🤣Aisee kweli kuna mwamba humu anakwambia amesoma kuanzia vidudu yeye ni namba 1 tu mpaka Chuo kachumpa first Class GPA 5.0 ila mpaka sasa yupo street tu anasaga lami halafu kuna kijeba kinasimama kinasemaje?
Piga kitabu hatari ila mtaani patupu mtu km huyu akisema bora angezaliwa paka ulaya msikilize mara 2 usimpuuzeBwana wee hatari sii mchezo jamaa alikuwa anabukua lakini mtaani ngoma nagu 🤣🤣🤣🤣🤣
Rizwani,Makamba,Mbowe watoto wa kishua ila huwa hawajisifu,sasa huyu mtoto wa mama nntilie kadigree kamoja kelele mlimani city yote,utafikiri umadikini ni sifaMasikini ni wengi, watu wengi ni mtaji wa kura, ni mara chache sana mwanasiasa atasema ametoka familia ya kitajiri isiyojua shida ni nini ili akose kura.
Elimu ni nini? Ametatua tatizo gani na hiyo elimu?Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, amezungumza na wahitimu kwenye Mahafali ya 48 ya Chuo cha Maji, yaliyofanyika leo tarehe 13 Novemba 2024, kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam, akiwa mgeni rasmi.
Akizungumza katika hafla hiyo, Aweso amesema: "Mimi familia yangu ni masikini, nimefikia uwaziri kutokana na elimu. Naamini kupitia elimu mtoto wa Mama Ntilie anaweza kuwa mhandisi tegemezi katika taifa hili. Katika nafsi yangu naamini mtoto wa maskini kabisa anaweza kuwa mkuu wa chuo cha maji kupitia elimu. Wazazi na walezi hamjakosea na hautapata hasara kuwekeza katika elimu. Leo mnaniita Waziri wa Maji, familia yangu ni masikini kabisa, mtoto wa Mama Ntilie, lakini nimesoma, nimekuwa mkemia, nimekuwa naibu Waziri, na leo nimekuwa Waziri kwa sababu ya elimu."
Soma, Pia: Waziri wa Maji Jumaa Aweso ameahidi kuendelea kuzitafutia ufumbuzi changamoto katika Chuo cha Maji
Yeah, hongera zakeHongera kwa kusoma...
Kabisa mzeya wala huwezi mlaumu kwa hali ilivyo. Akikumbuka alivyokuwa analoweka miguu kwenye beseni asime alafu mtaa i anaambulia patupu...inauma.Piga kitabu hatari ila mtaani patupu mtu km huyu akisema bora angezaliwa paka ulaya msikilize mara 2 usimpuuze
🤣 🤣 🤣Eliimu gani aliyonayo ya kururingishia,huku kwetu Bukoba mimi nina Phd saba na mastets kumi ,Yeye kadigrii kamoja anajiita nshomile stupid iwe bojo
🤝Kwanza miniseme tu....
Umasikini sio sifa na sio vyema kupenda kutumia historia ya umasikini ili kuonewa huruma.
Kama ni uwaziri ameupata sababu ya siasa na sio elimu.
🤣 🤣 🤣Rizwani,Makamba,Mbowe watoto wa kishua ila huwa hawajisifu,sasa huyu mtoto wa mama nntilie kadigree kamoja kelele mlimani city yote,utafikiri umadikini ni sifa
Haka kajamaa tangu kapo udsm na kudahiliwa Makirikiri kana Nyodo sanaWaziri wa Maji, Jumaa Aweso, amezungumza na wahitimu kwenye Mahafali ya 48 ya Chuo cha Maji, yaliyofanyika leo tarehe 13 Novemba 2024, kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam, akiwa mgeni rasmi.
Akizungumza katika hafla hiyo, Aweso amesema: "Mimi familia yangu ni masikini, nimefikia uwaziri kutokana na elimu. Naamini kupitia elimu mtoto wa Mama Ntilie anaweza kuwa mhandisi tegemezi katika taifa hili. Katika nafsi yangu naamini mtoto wa maskini kabisa anaweza kuwa mkuu wa chuo cha maji kupitia elimu. Wazazi na walezi hamjakosea na hautapata hasara kuwekeza katika elimu. Leo mnaniita Waziri wa Maji, familia yangu ni masikini kabisa, mtoto wa Mama Ntilie, lakini nimesoma, nimekuwa mkemia, nimekuwa naibu Waziri, na leo nimekuwa Waziri kwa sababu ya elimu."
Soma, Pia: Waziri wa Maji Jumaa Aweso ameahidi kuendelea kuzitafutia ufumbuzi changamoto katika Chuo cha Maji
Respect 🙌Hawa mawaziri wa TZ chenga sana sana...wanaona umaskini ni sifa wakati wao ndio wanausababisha.