Waziri Aweso: Familia yangu ni masikini, nimepata Uwaziri kutokana na elimu

Hawa mawaziri wa TZ chenga sana sana...wanaona umaskini ni sifa wakati wao ndio wanausababisha.
Masikini ni wengi, watu wengi ni mtaji wa kura, ni mara chache sana mwanasiasa atasema ametoka familia ya kitajiri isiyojua shida ni nini ili akose kura.
 
Kwahiyo chuo cha maji wanasomea nini? Mbona Tanzania maji safi bado ni changamoto? Hao wanafunzi wakigraduate huwa wanaenda wapi?
Hili nalo swali zuri sana. Maana mvja zinanyesha lakini jua kidogo utasiki mgao wa maji. Kama sie wa mororgoro tumechoshwa kabisa na hawa maengineer
 
Masikini ni wengi, watu wengi ni mtaji wa kura, ni mara chache sana mwanasiasa atasema ametoka familia ya kitajiri isiyojua shida ni nini ili akose kura.
Rizwani,Makamba,Mbowe watoto wa kishua ila huwa hawajisifu,sasa huyu mtoto wa mama nntilie kadigree kamoja kelele mlimani city yote,utafikiri umadikini ni sifa
 
Reactions: Tsh
Elimu ni nini? Ametatua tatizo gani na hiyo elimu?
 
Piga kitabu hatari ila mtaani patupu mtu km huyu akisema bora angezaliwa paka ulaya msikilize mara 2 usimpuuze
Kabisa mzeya wala huwezi mlaumu kwa hali ilivyo. Akikumbuka alivyokuwa analoweka miguu kwenye beseni asime alafu mtaa i anaambulia patupu...inauma.
Bora mie back bencha nilikuwa naenjoy life zaidi ya masomo sasa nafukuza upepo na boxer ya gu na kula wake wa watu na watoto wa fomu fooo B maisha yanaenda
 
Eliimu gani aliyonayo ya kururingishia,huku kwetu Bukoba mimi nina Phd saba na mastets kumi ,Yeye kadigrii kamoja anajiita nshomile stupid iwe bojo
🤣 🤣 🤣
 
Rizwani,Makamba,Mbowe watoto wa kishua ila huwa hawajisifu,sasa huyu mtoto wa mama nntilie kadigree kamoja kelele mlimani city yote,utafikiri umadikini ni sifa
🤣 🤣 🤣
 
Umasikini sio sifa ya kujivunia. Hakuna Nobility kwenye umasikini. Na usitumie umasikini kutafuta hururma.
 
Haka kajamaa tangu kapo udsm na kudahiliwa Makirikiri kana Nyodo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…