Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Kwa walioko dar mtaani kwako kuna maji??
Wilaya ya ubungo kwetu Hali tete jamani tusaidieni
Wilaya ya ubungo kwetu Hali tete jamani tusaidieni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya kujenga na kuhamia Wilaya hii (ninaishi 4km kutoka ofisi ya DC, Mkurugenzi wa Ubungo, na DAWASA Kibamba), nilijifunza kutunza maji. Siku 2 hizi kweli maji hakuna. Ila huwa hayazidi siku 3, yanatoka. Kwangu hata yakatike wiki, bado maji nitakuwa nayo. Changamoto ukiwa na familia kubwa.Kwa walioko dar mtaani kwako kuna maji??
Wilaya ya ubungo kwetu Hali tete jamani tusaidieni
@Miss Natafuta Vp ushaama Dom? Na uhaba huu wa maji papuchi inalika kweli? 😀Kwa walioko dar mtaani kwako kuna maji??
Wilaya ya ubungo kwetu Hali tete jamani tusaidieni
Acha Tu mkuu .papuchi inajiosha automatic sema Hali tete aisee tumezoea maji kama bata@Miss Natafuta Vp ushaama Dom? Na uhaba huu wa maji papuchi inalika kweli? 😀
Hawakutoa taarifa yaani .heri yakoBaada ya kujenga na kuhamia Wilaya hii (ninaishi 4km kutoka ofisi ya DC, Mkurugenzi wa Ubungo, na DAWASA Kibamba), nilijifunza kutunza maji. Siku 2 hizi kweli maji hakuna. Ila huwa hayazidi siku 3, yanatoka. Kwangu hata yakatike wiki, bado maji nitakuwa nayo. Changamoto ukiwa na familia kubwa.
Kabla ya hapo yalikatika siku 1 asbh ila yalirudi mchana. Yakakatika around saa 1 usiku. Hayajarudi hadi leo.Hawakutoa taarifa yaani .heri yako
Mbezi Makabe Mpakani mtaa ninaokaa tangu kuumbwa misingi ya ulimwengu hakuna maji, tunanunua tu... elfu 15 kwa tank la lita 1,000Kwa walioko dar mtaani kwako kuna maji??
Wilaya ya ubungo kwetu Hali tete jamani tusaidieni
😁😁😁Acha Tu mkuu .papuchi inajiosha automatic sema Hali tete aisee tumezoea maji kama bata
Naomba namba za wauza maji mkuuMbezi Makabe Mpakani mtaa ninaokaa tangu kuumbwa misingi ya ulimwengu hakuna maji, tunanunua tu... elfu 15 kwa tank la lita 1,000
Luguruni huwa 20,000/- kwa lita 2000.Mbezi Makabe Mpakani mtaa ninaokaa tangu kuumbwa misingi ya ulimwengu hakuna maji, tunanunua tu... elfu 15 kwa tank la lita 1,000
Hongereni, labda kwa vile nyie mpo karibu na Tank kubwa. Sisi lita 2000 ni buku 30, na wanaleta kwa kuringa kweli kweli.... unaweza ukaagiza leo ukaletewa wiki ijayo...Luguruni huwa 20,000/- kwa lita 2000.
Nnazo za wauza maji wa Mbezi Louis tu..Naomba namba za wauza maji mkuu
Hamna maji wakati mradi wa treni ya kisasa ya umeme SRG imegharimu zaidi ya trillion 17?Kwa walioko dar mtaani kwako kuna maji??
Wilaya ya ubungo kwetu Hali tete jamani tusaidieni
Inahuzunisha mambo yanayoendelea nchiniSisi em ina miaka 60 madarakani ilikuaje nyie hamkupata maji🤔
Nipe Tu mkuu.biashara maelewano .Nnazo za wauza maji wa Mbezi Louis tu..
0713602812 Gari ya majiNipe Tu mkuu.biashara maelewano .
Ni siku ya 4 sasa maji hakuna bombani ila bill inaongezeka kila kukichaKwa walioko dar mtaani kwako kuna maji??
Wilaya ya ubungo kwetu Hali tete jamani tusaidieni