Waziri balozi Dkt. Pindi Chana akutana na wakuu wa Taasisi za Utalii na Maliasili

Joined
Apr 9, 2022
Posts
66
Reaction score
32



Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt.Pindi Chana, Jijini Dodoma, amekutana na Menenjinenti ya Wizara na Wakuu wa Taasisi za Uhifadhi za Wizara ya Maliasili na Utalii kujadili masuala mbalimbali yanayohusu Uhifadhi na uendelezaji wa Utalii nchini.

 
Tourism attraction sites tumezikuta Ila watalii bado wa kuokota
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…