Waziri Bashe aache sifa apige marufuku Uuzaji wa Chakula nje

Waziri Bashe aache sifa apige marufuku Uuzaji wa Chakula nje

Huyo bibi hawezi kulijua hili, anayenufaika na bei hizi ni mlanguzi anayejiita mfanyabiashara na madalali wa mazao na labda wakulima wakubwa ambao ni wachache.

Wakulima wadogo ambao ndo wanalisha nchi hii wanaishia kuuza mazao shambani kwa bei chee, wakibahatika kuvuna watapewa bei ndogo na walanguzi ambao pia wanabana mizani au kujaza lumbesa.​
Kweli Kabisa mwaka Jana Wakenya wamenunua mahindindebe sh.8000 around mei nanjuni maeneo ya Manyara.Baadaye walewale waliouza wakaja kununua mahindi ya msaada😁wa Serikali Kwa 17,000/ huku kwenyebsokonikiwa 22,000/ yaani kama mchezo wa Pwagu na Pwaguzi!
 
Acha kutetea ujinga Mzee, ni makosa wakenya kuja kununu chakula mashamban kwetu, inaonekana nchi yetu imekosa mwelekeo, chakula kina nunuliwa kwenye minada Ili kuleta ushindani kwenye bei na sio kumfuta mkulima shamban, hapo lazima bei ishuke
Huu utafuti uliufanyia wapi ukagundua hili... Mbn sisi wakulima tukiona mkenya shambani tunafurahi kwa sababu hawezi kukudalalia na anatoa bei ambayo haina mbambamba.
 
Huu utafuti uliufanyia wapi ukagundua hili... Mbn sisi wakulima tukiona mkenya shambani tunafurahi kwa sababu hawezi kukudalalia na anatoa bei ambayo haina mbambamba.
Ni kweli Kuna maeneo mengi hakuna minada ya kimataifa hivyo kusababisha Taifa kukosa fegha za kigeni wakenya na wafanyabiashara wengine wanje wanatakiwa kununua mazao yetu Kwa us dollar, wakenya wanachofanya Wana exchange Kwa fedha za tz mpakan, na wanafanya hivyo makusudi
 
Back
Top Bottom