Wewe mleta mada aliyekuleta mjini nani wakati unajijua huna hela? Wenzako wanaishi bila shida kabisa.
Yaani unataka mkulima aingie hasara kwasabb yako wewe unashinda ukibeti?
Nenda kalime mahindi yako ndiyo usiyauze nje. Sisi tuliojiajiri kwenye kilimo tunalima kilimo biashara na tunauza popote ikiwemo nje ya nchi.
Yaani unataka mkulima aingie hasara kwasabb yako wewe unashinda ukibeti?
Nenda kalime mahindi yako ndiyo usiyauze nje. Sisi tuliojiajiri kwenye kilimo tunalima kilimo biashara na tunauza popote ikiwemo nje ya nchi.