Waziri Bashe aache sifa apige marufuku Uuzaji wa Chakula nje

Waziri Bashe aache sifa apige marufuku Uuzaji wa Chakula nje

India mwezi jana ilipiga marufuku kuuza ngano nje ili kulinda soko la ndani make bei ya ngano kule India ilikuwa imeanza kupanda kwa kasi sana. Kumbuka wale Ngano ndo chakula kikuu na Wali pia.

India ni mzalishaji mkubwa wa Ngano Duniani lakini iliona hatari kwa raia wake kuuziwa ngano bei ya juu akaamua kupiga pini.

Indonesia alipiga ban kuuza mafuta ya kula nje kulinda soko la ndani. Kwa kifupi nchi nyingi kwa sasa zinajihami kwa kuzuia uuzaji wa vyakula vikuu hasa nafaka.

Tanzania tunaishi Dunia ya kutafuta sifa sana, Bashe ukimsikia ni mtu wa kutafuta sifa kwamba nchi ina chakula cha kutosha kwa asilimia zaidi ya 100.Bei ya mahindi kwa sasa inazidi kupaa juu sana na haijulikani itaishia wapi.

Ukweli ni kwamba chakula hasa nafaka kuu Mahindi itapanda sana iliopo chache inauzwa nje kwa kasi ya kutisha.

Hapa kinachofuata ni baadae Serikali iagize mahindi Mexco au Brazili na hao hao wakina Bashe wapige cha juu au wakina Bashe waanze kupiga pesa kwa kutoa vibari vya kuagiza mahindi huko Mexco na Brazili.
Mwandishi umeniwahi nilitaka niandike na mie pia, jamani tuache siasa kwa Mambo ya maana nafaka ina paa baraa mfano mchele simiyu-bariadi ni 2000 kwa kilo,mpunga debe 12000-15000, mahindi ndo hayakamatiki debe kwa Sasa vijjini 15000 hii Bei ya wiki hii tu,mjini 15000-17000,mtama 15000 pia,viazi vitamu 5000kwa debe,ushauri fungeni mipaka nafaka isitoke nje chakula ni kichache Sana watu wanatafuta Ila Bei upo juu kwa sababu nafaka inakusanywa baraa vijiji wanapeleka Kenya baraa, Sasa ni hatari kweli
 
Kuuzwa mazao nje ni faida kwa wakulima.

Mazao yanapanda bei ili wao wafidie kwenye kupanda bei kwenye pembejeo.

Ukipiga marufuku bei itashuka. Incentive ya kuendelea kuzalisha inaondoka.

Mauzo ya nje yaongezeke ili wakulima wapate pesa za kutosha. Watapanua mashamba yao.
 
Upo sahihi sana, lakini wanaokupinga humu ni walanguzi wa mazao ambao wanalenga faida kubwa huku wakisingizia wao ni wakulima. Kuna uzi nimesoma wanalalamika vibali havitoki wamebanana kwenye mpaka wa kenya, sasa unajiuliza kwa nini hawakukamilisha utaratibu wa vibali kabla ya kusafirisha mahindi kwenda kenya. Ila wanachofanya ni kutaka kuishinikiza serikali itoe vibali wakapige pesa ndefu, sasa serikali ikijisahau itakuta wamekausha nafaka yote nchini.​
Wafanyakazi wameongezewa mishahara.
Je wakulima wameongezewa nini kwa mazao waliyolima?
Sometime vichwa si kufugia nywele tu.
Jiulize mkulima amelima kwa taabu halafu umekaa untaka serkali iwabane soko ili bei ishuke. Kwanini usiishauri serkali i top up kwenye bei. Juzi mafuta serkali imeingiza hela ili mafuta yashuke. Huoni kuwa inahitajika kama una nia ya kubalance gharama za uzalishaji serkali isiweke hela kwenye bei ya mahindi pia

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Mwandishi umeniwahi nilitaka niandike na mie pia, jamani tuache siasa kwa Mambo ya maana nafaka ina paa baraa mfano mchele simiyu-bariadi ni 2000 kwa kilo,mpunga debe 12000-15000, mahindi ndo hayakamatiki debe kwa Sasa vijjini 15000 hii Bei ya wiki hii tu,mjini 15000-17000,mtama 15000 pia,viazi vitamu 5000kwa debe,ushauri fungeni mipaka nafaka isitoke nje chakula ni kichache Sana watu wanatafuta Ila Bei upo juu kwa sababu nafaka inakusanywa baraa vijiji wanapeleka Kenya baraa, Sasa ni hatari kweli
Uko simiyu unalalamika njaa. Rudi kijijini. Mshahara ulipopanda maana yake uweze kukabili bei ya chakula kinachopaa. Unajua gharama ya kuitunza heka moja ya mahindi ni sh? Na unajua kiwango gani hupatikana? Kwahiyo unaombea bei ya pamba ishuke au unaongelea mkulima wa mahindi ashushiwe bei.

Tumia ubongo

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Kwani Bashe au serikali ndo wanao lima?! Sisi wakulima tuna haki ya kuuza mazao yetu popote, hujui mateso na hasara tunazo pata wakulima! Hatuilimii nchi, kila mtu apambane na hali yake, Kwani tukikosa mazao, mtatusaidia mahitaji yetu? Kwa mfano kama Wewe ni mwalimu, utakubali mtoto wangu asome bila Wewe kulipwa mshahara?
Akuna mkulima mwenye uwezo wa kuuza mazao nje ya nchi,kazi ya mkulima inaishia shambani,kinacho fuata hapo ni madalari wa mazao kisha mfanyabiashara,hao wote wanasafirisha mazao akuna mkulima hata mmoja,tena hayo mazao wameyanunua kwa bei che kwa mkulima,kati ya watu wanaonewa sana hapa tanzania ni mkulima,anazidiwa hadi darali wa mazao.
 
Mwandishi umeniwahi nilitaka niandike na mie pia, jamani tuache siasa kwa Mambo ya maana nafaka ina paa baraa mfano mchele simiyu-bariadi ni 2000 kwa kilo,mpunga debe 12000-15000, mahindi ndo hayakamatiki debe kwa Sasa vijjini 15000 hii Bei ya wiki hii tu,mjini 15000-17000,mtama 15000 pia,viazi vitamu 5000kwa debe,ushauri fungeni mipaka nafaka isitoke nje chakula ni kichache Sana watu wanatafuta Ila Bei upo juu kwa sababu nafaka inakusanywa baraa vijiji wanapeleka Kenya baraa, Sasa ni hatari kweli
Hi ni fursa na wewe kalime ukidhi soko la ndani, wenzako wanaingia gharama kubwa kulima alafu unataka uwapangie Bei
Hizo ni akili kweli
Soko huria Kila mtu Ana uhuru was kutafuta soko anakotaka
 
Mawazo ya kimaskini ya ki Soviet Union.
 
Nimetamani nikutukane nimejizuia tu 1.kwani wakulima huwa tunapewa ruzuku na serikali 2. Umewahi kulima na unazijua bei za mazao 3. Ukifunga mipaka inaongeza uzalishaji kweli
Ule wimbo wetu wa miaka yote kwamba Kilimo ni Uti wa mgongo wa Nchi yetu sasa ndio unaenda kutimia !! Wizara ya kilimo ndio iwe wizara nyeti kuliko zote !! Wanasemaga NJAA HAINA BAUNSA !!
 
Upo sahihi sana, lakini wanaokupinga humu ni walanguzi wa mazao ambao wanalenga faida kubwa huku wakisingizia wao ni wakulima. Kuna uzi nimesoma wanalalamika vibali havitoki wamebanana kwenye mpaka wa kenya, sasa unajiuliza kwa nini hawakukamilisha utaratibu wa vibali kabla ya kusafirisha mahindi kwenda kenya. Ila wanachofanya ni kutaka kuishinikiza serikali itoe vibali wakapige pesa ndefu, sasa serikali ikijisahau itakuta wamekausha nafaka yote nchini.​
Hakuna mfanyabiasha wala mchuuzi atakaepingana na hili ni wajinga wasiojua kesho ya nchi na familia aka walanguzi na mazuzu wa praise team.. binafsi nimeuza sana nafaka... mfano mdogo mwezi March bei ya jumla mahindi ilikuwa 650-680/kg bei ambayo ilidumu hadi mwishoni mwa april kwa kawaida kuanzia May mpaka Julay hutegea bei kuanza kushuka mpaka 500 per kg....

Lakini kwa mwaka huu bei haikuwa hivyo badala ya kushuka ikaanza kupanda kwa kasi mwezi April ilifika 700/kg May 750-780 ...ghara la serikali NFRA wakauza 720 toka bei yao ya kawaida 550/kg sasa hivi bei ni 950 mpaka 1000/kg hapo sio unga ni raw bei kubwa sana ambayo bado hujaiwekea usafiri na gharama za usindikaji. Unga umefika 1400 - 1500/kg kitu ambacho hakija shuhudiwa kwa muda mrefu sana. Sababu kuu ya upandaji huu holela unaumiza maisha ya mtanzania wa kawaida mbali na ukame ulioyambuka maeneo mengi ya uzalishaji nafaka hasa kanda ya kati Dodoma, Singida na Mikoa ya kaskazini mwa kanda ya Ziwa Shinyanga na Geita kuna wimbi kubwa sana la raia wa nchi jirani wamezagaa kuanzia Dodoma, Rukwa mpaka Ruvuma wanakusanya nafaka kwa kasi...

Serikali inayojali watu wake haiwezi kuwaachia wafanyabiasha wa nje ya nchi kubeba kila kitu kuanzia mchele,mahindi na mtama vyote viende wakati watu wanapambana kupata nafaka hiyo kwa bei ya kuumiza. Ni kweli tunahitaji kuuza nje nafaka ila hali inapokuwa kama ilivyo ni lazima udhibiti uwepo kunusuru raia wasiendelee kiumia. Bashe anamawazo mazuri ya kufanya mapinduzi ya kisekta kilimo kuwa biashara lakini ajue hali ni mbaya sana mtaani...
HITIMISHO
Hakuna mfanyabiashara wa nafaka Tanzania anefaidika kwa upandaji huu wa bei hayupo kwa sababu kwanza wanatumia mtaji mkubwa kupata malighafi yenye kiwango kile kile cha faida hivyo profit margin imeshuka sana ...alitumia 650 kupata 50 na leo anatumia 1000 kupata 50 hiyohiyo. Bado marejesho na riba za benk ziko palepale.....atafurahije?

Bashe akifanikiwa kuja na scheme za umwagiliaji na kukawa na ziada tuuze tu mpaka Ulaya na Asia. Lakini kwa sasa we need to protect our people.​
 
Mawazo ya hovyo kabisa...alime mtu mwingine kwa jembe lake la mkono mtu mwingine aanze kutoa mawazo sehemu ya kuuza...
 
India mwezi jana ilipiga marufuku kuuza ngano nje ili kulinda soko la ndani make bei ya ngano kule India ilikuwa imeanza kupanda kwa kasi sana. Kumbuka wale Ngano ndo chakula kikuu na Wali pia.

India ni mzalishaji mkubwa wa Ngano Duniani lakini iliona hatari kwa raia wake kuuziwa ngano bei ya juu akaamua kupiga pini.

Indonesia alipiga ban kuuza mafuta ya kula nje kulinda soko la ndani. Kwa kifupi nchi nyingi kwa sasa zinajihami kwa kuzuia uuzaji wa vyakula vikuu hasa nafaka.

Tanzania tunaishi Dunia ya kutafuta sifa sana, Bashe ukimsikia ni mtu wa kutafuta sifa kwamba nchi ina chakula cha kutosha kwa asilimia zaidi ya 100.Bei ya mahindi kwa sasa inazidi kupaa juu sana na haijulikani itaishia wapi.

Ukweli ni kwamba chakula hasa nafaka kuu Mahindi itapanda sana iliopo chache inauzwa nje kwa kasi ya kutisha.

Hapa kinachofuata ni baadae Serikali iagize mahindi Mexco au Brazili na hao hao wakina Bashe wapige cha juu au wakina Bashe waanze kupiga pesa kwa kutoa vibari vya kuagiza mahindi huko Mexco na Brazili.
Waziri usikubali upuuzi huu wa kufukarisha wakulima Ili wazururaji wa mjini wanunue vitu Kwa bei ya chini wakati mkulima aliumia na mbolea kuwa juu..

Mtanunua tuu hata Bei ikiwa milioni madam tuna ziada ya Mazao mbalimbali
 
Hakuna mfanyabiasha wala mchuuzi atakaepingana na hili ni wajinga wasiojua kesho ya nchi na familia aka walanguzi na mazuzu wa praise team.. binafsi nimeuza sana nafaka... mfano mdogo mwezi March bei ya jumla mahindi ilikuwa 650-680/kg bei ambayo ilidumu hadi mwishoni mwa april kwa kawaida kuanzia May mpaka Julay hutegea bei kuanza kushuka mpaka 500 per kg....

Lakini kwa mwaka huu bei haikuwa hivyo badala ya kushuka ikaanza kupanda kwa kasi mwezi April ilifika 700/kg May 750-780 ...ghara la serikali NFRA wakauza 720 toka bei yao ya kawaida 550/kg sasa hivi bei ni 950 mpaka 1000/kg hapo sio unga ni raw bei kubwa sana ambayo bado hujaiwekea usafiri na gharama za usindikaji. Unga umefika 1400 - 1500/kg kitu ambacho hakija shuhudiwa kwa muda mrefu sana. Sababu kuu ya upandaji huu holela unaumiza maisha ya mtanzania wa kawaida mbali na ukame ulioyambuka maeneo mengi ya uzalishaji nafaka hasa kanda ya kati Dodoma, Singida na Mikoa ya kaskazini mwa kanda ya Ziwa Shinyanga na Geita kuna wimbi kubwa sana la raia wa nchi jirani wamezagaa kuanzia Dodoma, Rukwa mpaka Ruvuma wanakusanya nafaka kwa kasi...

Serikali inayojali watu wake haiwezi kuwaachia wafanyabiasha wa nje ya nchi kubeba kila kitu kuanzia mchele,mahindi na mtama vyote viende wakati watu wanapambana kupata nafaka hiyo kwa bei ya kuumiza. Ni kweli tunahitaji kuuza nje nafaka ila hali inapokuwa kama ilivyo ni lazima udhibiti uwepo kunusuru raia wasiendelee kiumia. Bashe anamawazo mazuri ya kufanya mapinduzi ya kisekta kilimo kuwa biashara lakini ajue hali ni mbaya sana mtaani...
HITIMISHO
Hakuna mfanyabiashara wa nafaka Tanzania anefaidika kwa upandaji huu wa bei hayupo kwa sababu kwanza wanatumia mtaji mkubwa kupata malighafi yenye kiwango kile kile cha faida hivyo profit margin imeshuka sana ...alitumia 650 kupata 50 na leo anatumia 1000 kupata 50 hiyohiyo. Bado marejesho na riba za benk ziko palepale.....atafurahije?

Bashe akifanikiwa kuja na scheme za umwagiliaji na kukawa na ziada tuuze tu mpaka Ulaya na Asia. Lakini kwa sasa we need to protect our people.​
Kalime na wewe baba Ili uuze Kwa bei ya chini.
 
Mimi hata hainihusu ila acheni mkulima auze atakavyo. Mwaka jana nilipoteza 1.5 M. Silaumu ila muacheni mkulima. Ukipoteza hakuna wa kukushika. Ukipata bei nzuri nongwa. Tokeni maofisini mkanunue mbolea 140.000 mlime mvua ikate halafu ndo muongee. Wakati mwingine tumezoea kumuonea mkulima. Acheni maana mishahara haijawahi kuacha kuingia mwisho wa mwezi. Ndio maana mnapayuka tu.
 
Hakuna mfanyabiasha wala mchuuzi atakaepingana na hili ni wajinga wasiojua kesho ya nchi na familia aka walanguzi na mazuzu wa praise team.. binafsi nimeuza sana nafaka... mfano mdogo mwezi March bei ya jumla mahindi ilikuwa 650-680/kg bei ambayo ilidumu hadi mwishoni mwa april kwa kawaida kuanzia May mpaka Julay hutegea bei kuanza kushuka mpaka 500 per kg....

Lakini kwa mwaka huu bei haikuwa hivyo badala ya kushuka ikaanza kupanda kwa kasi mwezi April ilifika 700/kg May 750-780 ...ghara la serikali NFRA wakauza 720 toka bei yao ya kawaida 550/kg sasa hivi bei ni 950 mpaka 1000/kg hapo sio unga ni raw bei kubwa sana ambayo bado hujaiwekea usafiri na gharama za usindikaji. Unga umefika 1400 - 1500/kg kitu ambacho hakija shuhudiwa kwa muda mrefu sana. Sababu kuu ya upandaji huu holela unaumiza maisha ya mtanzania wa kawaida mbali na ukame ulioyambuka maeneo mengi ya uzalishaji nafaka hasa kanda ya kati Dodoma, Singida na Mikoa ya kaskazini mwa kanda ya Ziwa Shinyanga na Geita kuna wimbi kubwa sana la raia wa nchi jirani wamezagaa kuanzia Dodoma, Rukwa mpaka Ruvuma wanakusanya nafaka kwa kasi...

Serikali inayojali watu wake haiwezi kuwaachia wafanyabiasha wa nje ya nchi kubeba kila kitu kuanzia mchele,mahindi na mtama vyote viende wakati watu wanapambana kupata nafaka hiyo kwa bei ya kuumiza. Ni kweli tunahitaji kuuza nje nafaka ila hali inapokuwa kama ilivyo ni lazima udhibiti uwepo kunusuru raia wasiendelee kiumia. Bashe anamawazo mazuri ya kufanya mapinduzi ya kisekta kilimo kuwa biashara lakini ajue hali ni mbaya sana mtaani...
HITIMISHO
Hakuna mfanyabiashara wa nafaka Tanzania anefaidika kwa upandaji huu wa bei hayupo kwa sababu kwanza wanatumia mtaji mkubwa kupata malighafi yenye kiwango kile kile cha faida hivyo profit margin imeshuka sana ...alitumia 650 kupata 50 na leo anatumia 1000 kupata 50 hiyohiyo. Bado marejesho na riba za benk ziko palepale.....atafurahije?

Bashe akifanikiwa kuja na scheme za umwagiliaji na kukawa na ziada tuuze tu mpaka Ulaya na Asia. Lakini kwa sasa we need to protect our people.​
Who is going to protect farmers??

Mkuu nenda na wewe shambani kalime chakula chako mbona simple tuu.
 
kweli kaptula la marx bado linabana mpaka fikira zetu.
 
Back
Top Bottom