Per Diem
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 2,189
- 3,724
Uzi mzima umelia lia tu, hamia Burundi.Kwanini watu hawataki kujifunza kutokana na Maamyzi yetu, Kuna mwaka Tuliamua kuhusu Koroshi Nini kilitokea kwenye Hilo zao ule mwaka weyu Hadi Leo ni Siri ya wale wakulima wa Kusini, Mwaka Jana tumeamua Tena kuruhusu Mafuta ya kula kutoka nje Kila mkulima wa Alizeti amepata majibu ya huo uamuzi ulivyosadia kushusha Bei ya Alizeti Toka 95000/ Kwa mwezi 9/2022Hadi Bei kufikia 55000/ mwezi wa 12/2022 , Waliolima Alizeti mwaka huu wanaogopa hata kuvuna Bei walizitarajia hazipo watu wote wanakimbilia Mafuta ya korie or Mafuta Safi, Jee mbona watu kuwapigai kilele Wala viongozi hawataki kywasemea Wakulima walizeti? Tuwe na sera zinzoeleweka, ninahisi tunashida kwenye policy making or approach zetu kwenye policy zinashida sana, Kuna wakati huwa namuelewa Sana Mh Msukuma kuhusu Wasomi wetu wanashida sana vichwani mwao, ukitaka kujua Hilo la Elimu zinashida angalia sana pitia JF utajuwa wapi tumekwama kwenye elimu