Subiri tupate njaa ndio tuombe huo misaada,sasa hivi hatuna shida na Michele,na sababu Mh. Bashe alizitoa,kaangalie alichosema maana unakurupukaKwa hiyo tukatae bila sababu? Kwa hiyo tukikumbwa na baa la njaa na ukahitajika msaada wa dharula , Marekani ikawa tayari mtagoma au mtakubali? Wengi nayaona mashaka waliyonayo ni juu ya usalama na sio nia na dhamira ya msaada huo
Sina interest zozoteKama ulitaka kufaidika na huo misaada,pole sana
Safi kabisa ndugu yangu,umeuliza vizuri sanaHivi lini tutajitambua? kwani msaada lazima uupokee, kwanini wasituletee msaada wa technology ya kilimo cha umwagiliaji kama kweli wanatupenda?
Sasa mbona unalazimisha tupokee misaada ambayo hatujaomba?Sina interest zozote
Msaada inasaidiwa Japan ,sembuse Tanzania.Hivi lini tutajitambua? kwani msaada lazima uupokee, kwanini wasituletee msaada wa technology ya kilimo cha umwagiliaji kama kweli wanatupenda?
Waziri huyu amekosea sana kutoa kauli ya namna hii, inaharibu mahusiano mema ya kidiplomasia ya kimataifa.Alipaswa kuziagiza Mamlaka za nchi zinazohusika na masuala ya Uhakiki na Udhibiti ubora na Usalama wa Chakula ili kuchunguza ubora wa mchele huo. Je, huo mchele umeingia hapa nchini kutoka huko ulikotoka nje ya nchi kupitia njia gani? Je, ulipofika mpakani (border post) katika nchi yetu haukukaguliwa ubora wake?????Mada hii ni kuelezea mashaka makubwa niliyonayo kwa Waziri wetu wa kilimo namna maamuzi yake yanavyoweza kuharibu mahusiano ya kimataifa kama asipojirekebisha.
Kwanza kabisa nianze Kwa 'declare interest' ,Sina mahusiano ya aina yoyote na NGO iliyoleta mchele wa msaada wenye virutubisho kutoka nchini Marekani chini ya kampeni ya wizara ya kilimo ya Marekani inayoitwa "Pamoja tuwalishe" na 'interest' pekee niliyonayo ni Kwa maslahi mapana ya nchi yangu .
Siku zote mjumbe hauawi na hiyo NGO inabaki kuwa ni mjumbe tu wa wizara ya kilimo ya Marekani ,kitendo Cha Waziri kuonesha kukasirishwa na kitendo Cha mjumbe kinaleta picha isiyopendeza.
Kwa mtazamo wangu badala ya Waziri Bashe kuonesha kukasirishwa na kuletwa Kwa mchele na hiyo NGO angetumia nafasi hiyo kufanya "formal communication" na wizara ya kilimo ya Marekani juu ya mambo tunayohitaji.
Kwa kuwa mchele huo ni msaada sikuona ulazima wowote wa Waziri kusema kwamba mchele tunao ,Kwa kuwa lengo la kampeni hiyo ni zuri ,tunatakiwa kuupokea msaada huo na kushukuru na wizara ingetumia TBS kuchunguza ubora wa mchele huo kimya kimya kabla haujaanza kutumika na kama kungekuwa na mashaka yoyote Serikali ingekataa baada ya kufanyika Kwa uchunguzi na ubora na sio Kwa hoja za Waziri.
Mashaka niliyonayo kwa Waziri Bashe ni kuwa:
Kama Waziri hajui athari za kimahusiano zinazoweza kuibuka kutokana na kauli tu. Kitendo Cha Waziri Bashe kudai Kwa nini wasingeleta virutubisho wachanganye tukiwaona ,sio rafiki Kwa afya ya diplomasia. Kitendo hicho kinaweza kufikirika kama tuhuma ya usalama. Kabla ya kauli hiyo alitakiwa kuwatumia TBS kuuchunguza mchele.
Marekani ni Moja ya nchi zinazozalisha nataka ( mchele na mahindi) Kwa wingi duniani na kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa ,nchi yetu inaweza kukumbwa na baa la njaa na tukahitaji msaada wa Chakula kutoka nje. Je, tutapata wapi nguvu za kuomba msaada kutoka Marekani kama tumeamua kukataa msaada Sasa ?
Pengine kulikuwa na Cha zaidi ambacho hatukijui lakini kama ni hiki kilichopo ,ni vema Waziri Bashe angeliendea suala Hilo Kwa busara, angejiridhisha kwanza na angejua hatua Kwa busara ili tuendelee kuimarisha mahusiano na nchi nyingine.
Kila siku Rais anasisitiza mifumo kusomana ili kuepusha migogoro , na kama mifumo ingekuwa inasomana kusingekuwa na kauli za namna Ile kutoka Kwa Waziri.
Ahsante
Kuna ulazima wa kupokea misaada huo? Ile ni Japan na hii ni TanzaniaMsaada inasaidiwa Japan ,sembuse Tanzania.
Lengo ,kusudi na nia ya msaada ndio mambo ya kuzingatia. Hoja yako ni ipi ya kukataa?Sasa mbona unalazimisha tupokee misaada ambayo hatujaomba?
Hakuna sehemu Bashe aligusia usalama wa huo Michele,acheni uwongoWaziri huyu amekosea sana kutoa kauli ya namna hii, inaharibu mahusiano mema ya kidiplomasia ya kimataifa.Alipaswa kuziagiza Mamlaka za nchi zinazohusika na masuala ya Uhakiki na Udhibiti ubora na Usalama wa Chakula ili kuchunguza ubora wa mchele huo. Je, huo mchele umeingia hapa nchini kutoka huko ulikotoka nje ya nchi kupitia njia gani? Je, ulipofika mpakani (border post) katika nchi yetu haukukaguliwa ubora wake?????
Lengo, nia na kusudi la msaada huo ni zuri ndio maana Kuna sababu za kupokea ,hatuwezi kujitia ufahari ambao hatuna. Zinasaidiwa nchi tajiri sana na zinapokeaKuna unazima wa kupokea misaada huo? Ile ni Japan na hii ni Tanzania
Issue wala hata sio Ubora wala TBS.Kuomba kupewa msaada au kupewa msaada bila kuomba yote hayaondoi maana halisi ya neno msaada. Ni jukumu la msaidiwa kuangalia ubora wa msaada na hapa kwenye suala la mchele, tungewatumia TBS
Lengo la huo msaada ni nini?Lengo, nia na kusudi la msaada huo ni zuri ndio maana Kuna sababu za kupokea ,hatuwezi kujitia ufahari ambao hatuna. Zinasaidiwa nchi tajiri sana na zinapokea
Hoja iliyotolewa na waziri ni kwamba Tanzania tuna Mchele wa kutosha,kama wanataka kutupa misaada,walete pesa tununue Kwa wakulima Watanzania tugawe mashuleni.Lengo ,kusudi na nia ya msaada ndio mambo ya kuzingatia. Hoja yako ni ipi ya kukataa?
Tatizo lako umejazwa upofu wa kutokusoma katikati ya mstari. Bashe amesema kama ni virutubisho Kwa nini visingeletwa hapa vichanganywe tukiona. Hiyo kauli kwako unamaanisha nini?Hakuna sehemu Bashe aligusia usalama wa huo Michele,acheni uwongo
Umatumwa!? Nchi hii haijafikia hatua hiyo ya kupokea misaada ya chakula, tuna mahitaji mengi zaidi ya mchele wa maabara so waambie mabwana zako hatuhutaji misaada hatarishi. Wapeleke Congo na Somalia kwenye janga la vita na njaa.Mada hii ni kuelezea mashaka makubwa niliyonayo kwa Waziri wetu wa kilimo namna maamuzi yake yanavyoweza kuharibu mahusiano ya kimataifa kama asipojirekebisha.
Kwanza kabisa nianze Kwa 'declare interest' ,Sina mahusiano ya aina yoyote na NGO iliyoleta mchele wa msaada wenye virutubisho kutoka nchini Marekani chini ya kampeni ya wizara ya kilimo ya Marekani inayoitwa "Pamoja tuwalishe" na 'interest' pekee niliyonayo ni Kwa maslahi mapana ya nchi yangu .
Siku zote mjumbe hauawi na hiyo NGO inabaki kuwa ni mjumbe tu wa wizara ya kilimo ya Marekani ,kitendo Cha Waziri kuonesha kukasirishwa na kitendo Cha mjumbe kinaleta picha isiyopendeza.
Kwa mtazamo wangu badala ya Waziri Bashe kuonesha kukasirishwa na kuletwa Kwa mchele na hiyo NGO angetumia nafasi hiyo kufanya "formal communication" na wizara ya kilimo ya Marekani juu ya mambo tunayohitaji.
Kwa kuwa mchele huo ni msaada sikuona ulazima wowote wa Waziri kusema kwamba mchele tunao ,Kwa kuwa lengo la kampeni hiyo ni zuri ,tunatakiwa kuupokea msaada huo na kushukuru na wizara ingetumia TBS kuchunguza ubora wa mchele huo kimya kimya kabla haujaanza kutumika na kama kungekuwa na mashaka yoyote Serikali ingekataa baada ya kufanyika Kwa uchunguzi na ubora na sio Kwa hoja za Waziri.
Mashaka niliyonayo kwa Waziri Bashe ni kuwa:
Kama Waziri hajui athari za kimahusiano zinazoweza kuibuka kutokana na kauli tu. Kitendo Cha Waziri Bashe kudai Kwa nini wasingeleta virutubisho wachanganye tukiwaona ,sio rafiki Kwa afya ya diplomasia. Kitendo hicho kinaweza kufikirika kama tuhuma ya usalama. Kabla ya kauli hiyo alitakiwa kuwatumia TBS kuuchunguza mchele.
Marekani ni Moja ya nchi zinazozalisha nataka ( mchele na mahindi) Kwa wingi duniani na kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa ,nchi yetu inaweza kukumbwa na baa la njaa na tukahitaji msaada wa Chakula kutoka nje. Je, tutapata wapi nguvu za kuomba msaada kutoka Marekani kama tumeamua kukataa msaada Sasa ?
Pengine kulikuwa na Cha zaidi ambacho hatukijui lakini kama ni hiki kilichopo ,ni vema Waziri Bashe angeliendea suala Hilo Kwa busara, angejiridhisha kwanza na angejua hatua Kwa busara ili tuendelee kuimarisha mahusiano na nchi nyingine.
Kila siku Rais anasisitiza mifumo kusomana ili kuepusha migogoro , na kama mifumo ingekuwa inasomana kusingekuwa na kauli za namna Ile kutoka Kwa Waziri.
Ahsante
Kusaidia lishe bora mashuleniLengo la huo msaada ni nini?
Nani kakwambia hizo shule zinahitaji huo mchele na maharage!?Bashe apewe hizo shule 300 ahakikishe zinapata mchele na maharage anavyosema vipo tele.