Waziri Bashe hakutakiwa kuukataa msaada wa mchele kutoka Marekani na kama alikuwa na mashaka yoyote angewatumia TBS

Waziri Bashe hakutakiwa kuukataa msaada wa mchele kutoka Marekani na kama alikuwa na mashaka yoyote angewatumia TBS

Issue wala hata sio Ubora wala TBS.
Issue ni kuwa wameleta kitu ambacho kipo na Kubaki.
Hatuhitaji mchele kutoka nje kwa sasa.
Kama wanahisi mchele wetu hauna virutubisho waje waweke hapahapa.

Kingine ni kuwa Bashe kakataa akiwa anaelewa ni kina nani wapo nyuma ya hiyo NGO.
Akina KARLO MWILAPWA ndio wanufaika na hii misaada
 
Umatumwa!? Nchi hii haijafikia hatua hiyo ya kupokea misaada ya chakula, tuna mahitaji mengi zaidi ya mchele wa maabara so waambie mabwana zako hatuhutaji misaada hatarishi. Wapeleke Congo na Somalia kwenye janga la vita na njaa.
Ila hapohapo mkiambiwa wazazi mchangie 20000 Kila mwezi Kwa ajili ya lishe mashuleni mnalalamika ,mmepewa msaada wa kusaidia lishe mashuleni napo mnalalamika. Sijui watanzania tupoje
 
Mada hii ni kuelezea mashaka makubwa niliyonayo kwa Waziri wetu wa kilimo namna maamuzi yake yanavyoweza kuharibu mahusiano ya kimataifa kama asipojirekebisha.

Kwanza kabisa nianze Kwa 'declare interest' ,Sina mahusiano ya aina yoyote na NGO iliyoleta mchele wa msaada wenye virutubisho kutoka nchini Marekani chini ya kampeni ya wizara ya kilimo ya Marekani inayoitwa "Pamoja tuwalishe" na 'interest' pekee niliyonayo ni Kwa maslahi mapana ya nchi yangu .

Siku zote mjumbe hauawi na hiyo NGO inabaki kuwa ni mjumbe tu wa wizara ya kilimo ya Marekani ,kitendo Cha Waziri kuonesha kukasirishwa na kitendo Cha mjumbe kinaleta picha isiyopendeza.

Kwa mtazamo wangu badala ya Waziri Bashe kuonesha kukasirishwa na kuletwa Kwa mchele na hiyo NGO angetumia nafasi hiyo kufanya "formal communication" na wizara ya kilimo ya Marekani juu ya mambo tunayohitaji.

Kwa kuwa mchele huo ni msaada sikuona ulazima wowote wa Waziri kusema kwamba mchele tunao ,Kwa kuwa lengo la kampeni hiyo ni zuri ,tunatakiwa kuupokea msaada huo na kushukuru na wizara ingetumia TBS kuchunguza ubora wa mchele huo kimya kimya kabla haujaanza kutumika na kama kungekuwa na mashaka yoyote Serikali ingekataa baada ya kufanyika Kwa uchunguzi na ubora na sio Kwa hoja za Waziri.

Mashaka niliyonayo kwa Waziri Bashe ni kuwa:

Kama Waziri hajui athari za kimahusiano zinazoweza kuibuka kutokana na kauli tu. Kitendo Cha Waziri Bashe kudai Kwa nini wasingeleta virutubisho wachanganye tukiwaona ,sio rafiki Kwa afya ya diplomasia. Kitendo hicho kinaweza kufikirika kama tuhuma ya usalama. Kabla ya kauli hiyo alitakiwa kuwatumia TBS kuuchunguza mchele.

Marekani ni Moja ya nchi zinazozalisha nataka ( mchele na mahindi) Kwa wingi duniani na kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa ,nchi yetu inaweza kukumbwa na baa la njaa na tukahitaji msaada wa Chakula kutoka nje. Je, tutapata wapi nguvu za kuomba msaada kutoka Marekani kama tumeamua kukataa msaada Sasa ?

Pengine kulikuwa na Cha zaidi ambacho hatukijui lakini kama ni hiki kilichopo ,ni vema Waziri Bashe angeliendea suala Hilo Kwa busara, angejiridhisha kwanza na angejua hatua Kwa busara ili tuendelee kuimarisha mahusiano na nchi nyingine.

Kila siku Rais anasisitiza mifumo kusomana ili kuepusha migogoro , na kama mifumo ingekuwa inasomana kusingekuwa na kauli za namna Ile kutoka Kwa Waziri.

Ahsante
Kwa hiyo unajiona una akili kuliko Bashe? Kumiliki Tecno na kuwa na bando basi na wewe umekuwa advisor wa waziri wa kilimo
 
Hauna uhakika kama msaada haujaombwa na hizo shule, ni uhakika Wamarekani hawajatulazimisha kuukubali huo mchele.
Hata leo hii mkisema hamuutaki hawatakosa nchi nyingine nyingine za kuupeleka.
Huo mchele umeshapigwa vita nchi kibao, ni wa maabara na si rafiki kwa afya ya mtumiaji. Huko kwao wenyewe wanaupiga vita ila waswahili wenzangu wa kingugi wanautetea! Tuna chakula fresh from shamba, hebu tuache kujitia ufukara uliopitiliza kwa kupokea hata misaada tusiyohitaji. Kama kweli hao wamarekani wana huruma na sisi basi watoe hizo hela mchele ununuliwe hapa nchini na kusambazwa mashuleni. Zingatia kuwa huo mchele umeongezwa "virutubisho"
 
Tatizo lako umejazwa upofu wa kutokusoma katikati ya mstari. Bashe amesema kama ni virutubisho Kwa nini visingeletwa hapa vichanganywe tukiona. Hiyo kauli kwako unamaanisha nini?
Kwa hiyo unaogopa kwamba Marekani hapaswi kuhojiwa hata Akita kuleta sumu Kwa wa watanzania? Ukweli ni kwamba Bashe amekukatizia ulaji Mzee,pole.
 
Yeye ni waziri hivyo tunaamini hajakurupuka giving him a benefit of doubt is equally your responsibility. Inapotokea serikali ikatoa kauli kwa umma namna hio there might be a clear signal of something wrong with chabure
 
Kwa hiyo unajiona una akili kuliko Bashe? Kumiliki Tecno na kuwa na bando basi na wewe umekuwa advisor wa waziri wa kilimo
Kama Kuna sehemu mtu anateleza anaambiwa , watu tumetofautiana kuona mambo Kwa mbali. Mimi nimeona kauli za Bashe zinaweza kuharibu hali ya uhusiano kama zisipodhibitwa. Anachoona Bashe ni kwamba anaijibu NGO Kwa sababu ndio iliyoleta msaada huo lakini nyuma ya pazia iliyojibiwa ni Serikali ya Marekani
 
Huo mchele wa Tanzania ungetolewa kama msaada au ungenunuliwa ? Unajua ugumu wa wazazi kuchangia lishe mashuleni ulivyo? Tuacheni siasa, ni jambo la heri tuwapongeze wamarekani
Kwani huo mchele uliotoka Marekani haujanunuliwa kutoka kwa wakulima wa Marekani?
Walilima ili waigawie Tanzania.
 
Mada hii ni kuelezea mashaka makubwa niliyonayo kwa Waziri wetu wa kilimo namna maamuzi yake yanavyoweza kuharibu mahusiano ya kimataifa kama asipojirekebisha.

Kwanza kabisa nianze Kwa 'declare interest' ,Sina mahusiano ya aina yoyote na NGO iliyoleta mchele wa msaada wenye virutubisho kutoka nchini Marekani chini ya kampeni ya wizara ya kilimo ya Marekani inayoitwa "Pamoja tuwalishe" na 'interest' pekee niliyonayo ni Kwa maslahi mapana ya nchi yangu .

Siku zote mjumbe hauawi na hiyo NGO inabaki kuwa ni mjumbe tu wa wizara ya kilimo ya Marekani ,kitendo Cha Waziri kuonesha kukasirishwa na kitendo Cha mjumbe kinaleta picha isiyopendeza.

Kwa mtazamo wangu badala ya Waziri Bashe kuonesha kukasirishwa na kuletwa Kwa mchele na hiyo NGO angetumia nafasi hiyo kufanya "formal communication" na wizara ya kilimo ya Marekani juu ya mambo tunayohitaji.

Kwa kuwa mchele huo ni msaada sikuona ulazima wowote wa Waziri kusema kwamba mchele tunao ,Kwa kuwa lengo la kampeni hiyo ni zuri ,tunatakiwa kuupokea msaada huo na kushukuru na wizara ingetumia TBS kuchunguza ubora wa mchele huo kimya kimya kabla haujaanza kutumika na kama kungekuwa na mashaka yoyote Serikali ingekataa baada ya kufanyika Kwa uchunguzi na ubora na sio Kwa hoja za Waziri.

Mashaka niliyonayo kwa Waziri Bashe ni kuwa:

Kama Waziri hajui athari za kimahusiano zinazoweza kuibuka kutokana na kauli tu. Kitendo Cha Waziri Bashe kudai Kwa nini wasingeleta virutubisho wachanganye tukiwaona ,sio rafiki Kwa afya ya diplomasia. Kitendo hicho kinaweza kufikirika kama tuhuma ya usalama. Kabla ya kauli hiyo alitakiwa kuwatumia TBS kuuchunguza mchele.

Marekani ni Moja ya nchi zinazozalisha nataka ( mchele na mahindi) Kwa wingi duniani na kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa ,nchi yetu inaweza kukumbwa na baa la njaa na tukahitaji msaada wa Chakula kutoka nje. Je, tutapata wapi nguvu za kuomba msaada kutoka Marekani kama tumeamua kukataa msaada Sasa ?

Pengine kulikuwa na Cha zaidi ambacho hatukijui lakini kama ni hiki kilichopo ,ni vema Waziri Bashe angeliendea suala Hilo Kwa busara, angejiridhisha kwanza na angejua hatua Kwa busara ili tuendelee kuimarisha mahusiano na nchi nyingine.

Kila siku Rais anasisitiza mifumo kusomana ili kuepusha migogoro , na kama mifumo ingekuwa inasomana kusingekuwa na kauli za namna Ile kutoka Kwa Waziri.

Ahsante
AISEE MLETA MADA UNAKERA. NILITAMANI NIENDELEE KUKUSOMA ILA NIMESHINDWA. MTU ANAKUTIA DOLE UNASEMA LIACHE HAPOHAPO TUKAULIZE KAMA NI HALALI AU LA KUPIGWA DOLE. AISEE
 
Mada hii ni kuelezea mashaka makubwa niliyonayo kwa Waziri wetu wa kilimo namna maamuzi yake yanavyoweza kuharibu mahusiano ya kimataifa kama asipojirekebisha.

Kwanza kabisa nianze Kwa 'declare interest' ,Sina mahusiano ya aina yoyote na NGO iliyoleta mchele wa msaada wenye virutubisho kutoka nchini Marekani chini ya kampeni ya wizara ya kilimo ya Marekani inayoitwa "Pamoja tuwalishe" na 'interest' pekee niliyonayo ni Kwa maslahi mapana ya nchi yangu .

Siku zote mjumbe hauawi na hiyo NGO inabaki kuwa ni mjumbe tu wa wizara ya kilimo ya Marekani ,kitendo Cha Waziri kuonesha kukasirishwa na kitendo Cha mjumbe kinaleta picha isiyopendeza.

Kwa mtazamo wangu badala ya Waziri Bashe kuonesha kukasirishwa na kuletwa Kwa mchele na hiyo NGO angetumia nafasi hiyo kufanya "formal communication" na wizara ya kilimo ya Marekani juu ya mambo tunayohitaji.

Kwa kuwa mchele huo ni msaada sikuona ulazima wowote wa Waziri kusema kwamba mchele tunao ,Kwa kuwa lengo la kampeni hiyo ni zuri ,tunatakiwa kuupokea msaada huo na kushukuru na wizara ingetumia TBS kuchunguza ubora wa mchele huo kimya kimya kabla haujaanza kutumika na kama kungekuwa na mashaka yoyote Serikali ingekataa baada ya kufanyika Kwa uchunguzi na ubora na sio Kwa hoja za Waziri.

Mashaka niliyonayo kwa Waziri Bashe ni kuwa:

Kama Waziri hajui athari za kimahusiano zinazoweza kuibuka kutokana na kauli tu. Kitendo Cha Waziri Bashe kudai Kwa nini wasingeleta virutubisho wachanganye tukiwaona ,sio rafiki Kwa afya ya diplomasia. Kitendo hicho kinaweza kufikirika kama tuhuma ya usalama. Kabla ya kauli hiyo alitakiwa kuwatumia TBS kuuchunguza mchele.

Marekani ni Moja ya nchi zinazozalisha nataka ( mchele na mahindi) Kwa wingi duniani na kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa ,nchi yetu inaweza kukumbwa na baa la njaa na tukahitaji msaada wa Chakula kutoka nje. Je, tutapata wapi nguvu za kuomba msaada kutoka Marekani kama tumeamua kukataa msaada Sasa ?

Pengine kulikuwa na Cha zaidi ambacho hatukijui lakini kama ni hiki kilichopo ,ni vema Waziri Bashe angeliendea suala Hilo Kwa busara, angejiridhisha kwanza na angejua hatua Kwa busara ili tuendelee kuimarisha mahusiano na nchi nyingine.

Kila siku Rais anasisitiza mifumo kusomana ili kuepusha migogoro , na kama mifumo ingekuwa inasomana kusingekuwa na kauli za namna Ile kutoka Kwa Waziri.

Ahsante
Huwa mnaelewa mnachokisikia?

Wapi Bashe kakataa msaada? Bashe mbona kasema wazi kabisa, kuwa huo msaada wa mchele hauhusiani na serikali. Huo ni msaada unaohusu NGO na yeye kawaambia NGO waambieni waliowapa msaada, hatuna shida ya mchele wa maharage Tanzania. Kama wanawasaidia wawape pesa mnunue hapahapa. Kama ni virutunisho waje kuviwekea hapahapa wakati Watanzania tupo tunatazama kinawekwa nini.

Kamsikilize upya.
 
Bashe yupo sahihi kwamba,badala ya kuleta Michele,walete hizo pesa wanunue Kwa wakulima watanzania hizo shule zipewe,mm nashangaa,kwanini wasitupe teknolojia na ujuzi wa kuzalisha huo Michele maana ardhi tunayo kama kweli Wana ni ya kutusaidia?,je,hao wamarekani watatulisha hafi lini?
Pesa wanapiga hao na kununua V8.

Beggars can’t be choosers
 
Mada hii ni kuelezea mashaka makubwa niliyonayo kwa Waziri wetu wa kilimo namna maamuzi yake yanavyoweza kuharibu mahusiano ya kimataifa kama asipojirekebisha.

Kwanza kabisa nianze Kwa 'declare interest' ,Sina mahusiano ya aina yoyote na NGO iliyoleta mchele wa msaada wenye virutubisho kutoka nchini Marekani chini ya kampeni ya wizara ya kilimo ya Marekani inayoitwa "Pamoja tuwalishe" na 'interest' pekee niliyonayo ni Kwa maslahi mapana ya nchi yangu .

Siku zote mjumbe hauawi na hiyo NGO inabaki kuwa ni mjumbe tu wa wizara ya kilimo ya Marekani ,kitendo Cha Waziri kuonesha kukasirishwa na kitendo Cha mjumbe kinaleta picha isiyopendeza.

Kwa mtazamo wangu badala ya Waziri Bashe kuonesha kukasirishwa na kuletwa Kwa mchele na hiyo NGO angetumia nafasi hiyo kufanya "formal communication" na wizara ya kilimo ya Marekani juu ya mambo tunayohitaji.

Kwa kuwa mchele huo ni msaada sikuona ulazima wowote wa Waziri kusema kwamba mchele tunao ,Kwa kuwa lengo la kampeni hiyo ni zuri ,tunatakiwa kuupokea msaada huo na kushukuru na wizara ingetumia TBS kuchunguza ubora wa mchele huo kimya kimya kabla haujaanza kutumika na kama kungekuwa na mashaka yoyote Serikali ingekataa baada ya kufanyika Kwa uchunguzi na ubora na sio Kwa hoja za Waziri.

Mashaka niliyonayo kwa Waziri Bashe ni kuwa:

Kama Waziri hajui athari za kimahusiano zinazoweza kuibuka kutokana na kauli tu. Kitendo Cha Waziri Bashe kudai Kwa nini wasingeleta virutubisho wachanganye tukiwaona ,sio rafiki Kwa afya ya diplomasia. Kitendo hicho kinaweza kufikirika kama tuhuma ya usalama. Kabla ya kauli hiyo alitakiwa kuwatumia TBS kuuchunguza mchele.

Marekani ni Moja ya nchi zinazozalisha nataka ( mchele na mahindi) Kwa wingi duniani na kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa ,nchi yetu inaweza kukumbwa na baa la njaa na tukahitaji msaada wa Chakula kutoka nje. Je, tutapata wapi nguvu za kuomba msaada kutoka Marekani kama tumeamua kukataa msaada Sasa ?

Pengine kulikuwa na Cha zaidi ambacho hatukijui lakini kama ni hiki kilichopo ,ni vema Waziri Bashe angeliendea suala Hilo Kwa busara, angejiridhisha kwanza na angejua hatua Kwa busara ili tuendelee kuimarisha mahusiano na nchi nyingine.

Kila siku Rais anasisitiza mifumo kusomana ili kuepusha migogoro , na kama mifumo ingekuwa inasomana kusingekuwa na kauli za namna Ile kutoka Kwa Waziri.

Ahsante
Nyie ndio mnakubali ushoga wao eti kisa mahusiano ya kimataifa.

Kama kitu ni kibovu kipigwe STOP straight.
 
Kama Kuna sehemu mtu anateleza anaambiwa , watu tumetofautiana kuona mambo Kwa mbali. Mimi nimeona kauli za Bashe zinaweza kuharibu hali ya uhusiano kama zisipodhibitwa. Anachoona Bashe ni kwamba anaijibu NGO Kwa sababu ndio iliyoleta msaada huo lakini nyuma ya pazia iliyojibiwa ni Serikali ya Marekani
Hakuna sehemu serikali ya Marekani imejibiwa,hata kama ingekuwa serikali ya Marekani ingejibiwa Moja Kwa Moja Bado waziri yupo sahihi kwenye nchi iliyo huru kukubali,au kukataa misaada. Alafu mbona unalazimisha tukubali misaada wa Marekani bro,vipi????
 
AISEE MLETA MADA UNAKERA. NILITAMANI NIENDELEE KUKUSOMA ILA NIMESHINDWA. MTU ANAKUTIA DOLE UNASEMA LIACHE HAPOHAPO TUKAULIZE KAMA NI HALALI AU LA KUPIGWA DOLE. AISEE
Kupewa msaada hakukupunguzii heshima uliyonayo ila inakuongezea ushujaa. Kiongozi bora anatakiwa kuangalia mambo Kwa angle zote . Kesho ufaulu ukiongezeka mashuleni , tutafurahi na kama tutafurahi maana msaada ni mzuri umesaidia ufaulu
 
Back
Top Bottom