Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kuhusu Msaaada Wa USAID Wa Chakula Lishe.
📌Ni kweli kuna ukosefu mkubwa wa chakula lishe chenye virutubisho kwa wanafunzi wengi maana vyakula vingi wanavyokula ni kuzuia njaa tu na sio kuleta afya ya mwili na akili hivyo udumavu unaongezeka.
📌USAID kwa mahaba makubwa kama ambavyo wanawajengea vyoo vya kujisaidia wameamua kuwaletea msaada wa vyakula vyenye virutubisho vizuri zaidi maana wahusika si mmejisahau ngoja wao wawakumbushe vizuri
📌Sisi tuko bize sana na mambo ya umbeya na umepigwa mwingi ila kuwa makini sana kuhusu afya za watoto wetu kwa mwili na akili wengi bado wako nyuma sana ila inapotokea mambo kama haya ndo tunaanza kupaza sauti ya kushituka eti huenda wana nia mbaya .
📌Nendeni mashuleni huko muone kuanzia asubuhi mpaka saa tisa watoto wenu wanakula vyakula vya aina gani je vina ongeza tija katika afya ya mwili na akil ? kisha muanze Kulalamika.
📌Huwa nasema wazazi na walezi wengi ni wabinafsi sana kwa watoto wao licha ya kujifanya wanapenda watoto wao mfano wakisikia semina za mizagamuo hata 50k Wanaenda ila semina zinazohusu watoto wao hata bure hawaendi huo ni UNAFIKI
Kitabu changu cha MZAZI ACHA UZEMBE; MAMBO 10 YA MSINGI KUZINGATIA KUHUSU ELIMU YA MTOTO WAKO.kingekuwa kinaongelea kuifinyia kwa ndani au kusimamia muda mrefu ungeona sharing zake kuwa nyingi na maswali kibao ila kwa vile ni kuhusu elimu ya watoto wao huwaoni sababu ya UNAFIKI wa kujifanya wanawapenda watoto wao kumbe hawawapendi kiuhalisia .
NB ; Msiache Kuweka Oda Kwa Namba 0718821168.
Ndugu yenu Magoda Jr 📌
Ujamaa Ni Imani
Haya Maoni ni mazuri sana
📌Ni kweli kuna ukosefu mkubwa wa chakula lishe chenye virutubisho kwa wanafunzi wengi maana vyakula vingi wanavyokula ni kuzuia njaa tu na sio kuleta afya ya mwili na akili hivyo udumavu unaongezeka.
📌USAID kwa mahaba makubwa kama ambavyo wanawajengea vyoo vya kujisaidia wameamua kuwaletea msaada wa vyakula vyenye virutubisho vizuri zaidi maana wahusika si mmejisahau ngoja wao wawakumbushe vizuri
📌Sisi tuko bize sana na mambo ya umbeya na umepigwa mwingi ila kuwa makini sana kuhusu afya za watoto wetu kwa mwili na akili wengi bado wako nyuma sana ila inapotokea mambo kama haya ndo tunaanza kupaza sauti ya kushituka eti huenda wana nia mbaya .
📌Nendeni mashuleni huko muone kuanzia asubuhi mpaka saa tisa watoto wenu wanakula vyakula vya aina gani je vina ongeza tija katika afya ya mwili na akil ? kisha muanze Kulalamika.
📌Huwa nasema wazazi na walezi wengi ni wabinafsi sana kwa watoto wao licha ya kujifanya wanapenda watoto wao mfano wakisikia semina za mizagamuo hata 50k Wanaenda ila semina zinazohusu watoto wao hata bure hawaendi huo ni UNAFIKI
Kitabu changu cha MZAZI ACHA UZEMBE; MAMBO 10 YA MSINGI KUZINGATIA KUHUSU ELIMU YA MTOTO WAKO.kingekuwa kinaongelea kuifinyia kwa ndani au kusimamia muda mrefu ungeona sharing zake kuwa nyingi na maswali kibao ila kwa vile ni kuhusu elimu ya watoto wao huwaoni sababu ya UNAFIKI wa kujifanya wanawapenda watoto wao kumbe hawawapendi kiuhalisia .
NB ; Msiache Kuweka Oda Kwa Namba 0718821168.
Ndugu yenu Magoda Jr 📌
Ujamaa Ni Imani
Haya Maoni ni mazuri sana