Tetesi: Waziri Bashe kujiuzulu muda wowote kumfuata Kinana

Tetesi: Waziri Bashe kujiuzulu muda wowote kumfuata Kinana

Stuka

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
282
Reaction score
906
Ziko taarifa kuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe anatajia kujiuzulu wadhifa wake wakati wowote kuanzia sasa kumfuata mjomba wake Kinana aliyejiuzulu jana.

Sababu zinazotajwa ni kutokana na kuandamwa na kashfa ya sukari ambayo imeshindikana kuzimika licha ya kutumia fedha nyingi kununua magazeti yasiandike kashfa hiyo.

Pia Bashe anatuhumiwa kuwanunua viongozi wa AMCOS ya wakulima wa miwa kilombero wakanushe madai ya wakulima wa miwa kwamba madai hayo ni ya uongo baada ya Bashe kusikia kuwa Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kutembelea Kiwanda cha Sukari Kilombero siku chache zijazo.

"Baada ya kusikia rais anakuja Kilombero bashe ametumia hela nyingi kuwanunua baadhi ya viongozi wa amcos ili waseme wakulima wa miwa hawana changamoto zozote na kwamba hata sheria mpya ya sukari haina tatizo lolote ili kumfichia aibu bashe mbele ya mheshimiwa rais akija Kilombero"

Tunasubiri tuone

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
 
Ziko taarifa kuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe anatajia kujiuzulu wadhifa wake wakati wowote kuanzia sasa kumfuata mjomba wake Kinana aliyejiuzulu jana.

sababu zinazotajwa ni kutokana na kuandamwa na kashfa ya sukari ambayo imeshindikana kuzimika licha ya kutumia fedha nyingi kununua magazeti yasiandike kashfa hiyo.
tunasubiri tuone
Waende wakashirikiane kuvuna pembe za ndovu
 
Ziko taarifa kuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe anatajia kujiuzulu wadhifa wake wakati wowote kuanzia sasa kumfuata mjomba wake Kinana aliyejiuzulu jana.

sababu zinazotajwa ni kutokana na kuandamwa na kashfa ya sukari ambayo imeshindikana kuzimika licha ya kutumia fedha nyingi kununua magazeti yasiandike kashfa hiyo.
tunasubiri tuone
Sasa sababu ni Sukari au ni Mjomba?
 
Ziko taarifa kuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe anatajia kujiuzulu wadhifa wake wakati wowote kuanzia sasa kumfuata mjomba wake Kinana aliyejiuzulu jana.

sababu zinazotajwa ni kutokana na kuandamwa na kashfa ya sukari ambayo imeshindikana kuzimika licha ya kutumia fedha nyingi kununua magazeti yasiandike kashfa hiyo.
tunasubiri tuone
Ni Bora awajibike kujiudhuru, Ili asiendelee kukitia aibu chama chake, kutokana na hii kashfa kubwa ya ufisadi
 
Ziko taarifa kuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe anatajia kujiuzulu wadhifa wake wakati wowote kuanzia sasa kumfuata mjomba wake Kinana aliyejiuzulu jana.

sababu zinazotajwa ni kutokana na kuandamwa na kashfa ya sukari ambayo imeshindikana kuzimika licha ya kutumia fedha nyingi kununua magazeti yasiandike kashfa hiyo.
tunasubiri tuone
Kwani hata akijiuzulu kasfa ndio huisha? Mb. Mpina kasema anaenda kufungua case so hata akijiuzulu watakutana mahakamani na issue itaendelea kusikika tu. Ila ni vyema kama itakuwa kweli ili kujenga taifa la uwajibikaji pale mambo yanapokuwa hayapo sawa
 
Ziko taarifa kuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe anatajia kujiuzulu wadhifa wake wakati wowote kuanzia sasa kumfuata mjomba wake Kinana aliyejiuzulu jana.

sababu zinazotajwa ni kutokana na kuandamwa na kashfa ya sukari ambayo imeshindikana kuzimika licha ya kutumia fedha nyingi kununua magazeti yasiandike kashfa hiyo.
tunasubiri tuone
Bange mbaya
 
Ziko taarifa kuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe anatajia kujiuzulu wadhifa wake wakati wowote kuanzia sasa kumfuata mjomba wake Kinana aliyejiuzulu jana.

Sababu zinazotajwa ni kutokana na kuandamwa na kashfa ya sukari ambayo imeshindikana kuzimika licha ya kutumia fedha nyingi kununua magazeti yasiandike kashfa hiyo.

Tunasubiri tuone
Inakuwaje "taarifa" ikiwa ni tetesi?

Uongo mtupu.
 
Ziko taarifa kuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe anatajia kujiuzulu wadhifa wake wakati wowote kuanzia sasa kumfuata mjomba wake Kinana aliyejiuzulu jana.

Sababu zinazotajwa ni kutokana na kuandamwa na kashfa ya sukari ambayo imeshindikana kuzimika licha ya kutumia fedha nyingi kununua magazeti yasiandike kashfa hiyo.

Tunasubiri tuone

NIPO NIMEKAA PALE- Hajiuzulu mtu
 
Back
Top Bottom