Waziri Bashe masharti ya kupata mbolea yanaashiria mbolea hamna. Nimeanza kukosa imani

Waziri Bashe masharti ya kupata mbolea yanaashiria mbolea hamna. Nimeanza kukosa imani

Ujinga tu,mbona kwenye mafuta hawakuuliza vifaa vingapi vinavyotumia mafuta.Hii ruzuku ilitakiwa iwekwwe kwwnye mbolea yote inayoingia nchini
 
Hapo ndo wanasababisha wananchi wamkumbuke Magufuli. Hapo angekuwa amefanya maamuzi magumu kabla wananchi hawajaumia
 
Huo utaratibu Ni mzuri sana utasaidia mbolea iwafikie walengwa, bila kufanya hvo anaweza akatokea tajir akajumua yote ss wahtaji tukakosa. Kama huna shamba hutakiwi kuuziwa mbolea. Jua kwamba kjjn syo wote wanalima/wanamiliki mashamba.
 
Kijiji cha Ilembo kata ya Mpui wilayani Sumbawanga, nimekutana na kioja kama si kihoja! Ati ukijiandikisha inatakiwa wakapime mashamba yako, wakishayapima ndio upatiwe hiyo mbolea.

Nauliza kijiji kimoja kinawakulima mpaka 10,000' na Kila mkulima ana heka kumi, mtapima mashamba yote ndio mgawe mbolea?

Afisa mtendaji wa kijiji cha Ilembo kasema hawatapewa mbolea mpaka wakayapime hayo mashamba ya kila aliyejiandikisha. Jamani mko siriasi kweli na kilimo cha nchi hii?

Bashe unajua kuongea kwa mbwembwe ila usipokuwa makini hili la mbolea litakuangusha sana!

Msitucheleshe, kama hamna uhakika mseme!
Nilisema huyu bashe anafanya propaganda na siasa ya kujisogeza kwa mama kuwa anafanya kazi kwa kuongea Sana jukwaani lakini ktk mawaziri waliofeli Sana ni huyu bashe muongo sana
 
nipe tafsiri ya ruzuku....unauziwa mbolea ya 150k kwa 70k kisha unaona hiyo 80k hujapewa bure? una elimu gani wewe kiasi huwezi kujua hesabu ndogo kama hiyo?
Hiyo ruzuku ni Kodi yetu. Hv mnavyosemaga tumepewa Bure ni nani anayetoa pesa yake mfukoni
 
Alafu jamaa anapiga sana huko Wizara ya Kilimo. Anavyoongea unaweza jua mtu wa maana kumbe mbabaishaji na mpigaji tu. Kapiga pesa nyingi sana kwenye Pikipiki. Jamaa alipiga 500K kwenye Kila pikipiki. Hapa Wizarani wote wanajua mmbabaishaji sema mama amemkubali.
Zoezi la Pembejeo ni utapeli mtupu. Serikali imeweka 150B kuigawa kwa kiasi cha Pesa zitakazotolewa na serikali kwa mfuko mmoja utakuta wakulima wanufaika ni 1.2M pekee. Sasa nchi hii ina wakulima wangapi? Usanii tupu na ndio maana kuna urasimu mwingi ili mkulima apate hiyo mbolea.

Kimsingi, Walimseti Bi. Tozo kubwa hukubaliki huku mtaani kwa hiyo ili ukubalike lete ruzuku kwa namna hii ila hizi mbolea zitamfanya mama achukiwe zaidi kwani wakulima wengi wamejiandikisha na wanategemea kupata mbolea ila hawatapata. Hapa ndipo atachukiwa zaidi kwani kwenye vikao vyake vya ndani Mikoani aliongea hilo kuwa hakubaliki kwa hiyo anaamini mbolea itasaidia akubalike
 
Nilisema huyu bashe anafanya propaganda na siasa ya kujisogeza kwa mama kuwa anafanya kazi kwa kuongea Sana jukwaani lakini ktk mawaziri waliofeli Sana ni huyu bashe muongo sana
Mzee wa Ilore. Kule Iringa kuna Irole. Usrmacho ni kweli jamaa ni muongeaji tu na hana jipya. Hapa Wizarani wamemchoka. Pikipiki za mabwana shamba zimeishia wapi? Anajua alichofanya na Mo Dewji kulazimisha waziassemble na kuzifunga GPS Dodoma na sio kwenda kufungiwa mikoani.
 
Mbolea Ni tenda ya mstaafu utaongea nini
Mizengwe iliyopo sekta ya Kilimo ni mingi sana,inatakiwa iundwe tume ya Rais ili tuchunguze kwa kina nini hasa tatizo la Kilimo chetu na tuanzie wapi.Lakini hizi strategies za kisanii sanii hazitaleta tija yoyote
 
Jana mie nilisema kama kuna wazri mzigo basi Hyu mwamba na kuhakikishieni hili la mbolea ya RUZUKU LINAKWENDA KUMUWEKA WAZI
Anasumbua tu. Hao VODACOM waliopewa kazi ya kusajili wakulima kwa Finger Print hata hawajajipanga na sijui kigezo kipi kimetumika kumpata Vodacom kusajili wakulima hao. Yule Mkurugenzi wa Mamlaka ya Mbolea naye anakitembeza kipara tu hakuna ajuacho. Leo mnampa One Acre Fund uwakala ili afidie Milioni 600 alizochangia kwenye kununua pikipiki hewa na mbovu kwa maafisa ugani ilhali kila sehemu hao One Acre Wanalalamikiwa na Wizara inajua. Muda si mrefu Mnafiki Bashe anakuwa uchi.
 
Alafu jamaa anapiga sana huko Wizara ya Kilimo. Anavyoongea unaweza jua mtu wa maana kumbe mbabaishaji na mpigaji tu. Kapiga pesa nyingi sana kwenye Pikipiki. Jamaa alipiga 500K kwenye Kila pikipiki. Hapa Wizarani wote wanajua mmbabaishaji sema mama amemkubali.
Zoezi la Pembejeo ni utapeli mtupu. Serikali imeweka 150B kuigawa kwa kiasi cha Pesa zitakazotolewa na serikali kwa mfuko mmoja utakuta wakulima wanufaika ni 1.2M pekee. Sasa nchi hii ina wakulima wangapi? Usanii tupu na ndio maana kuna urasimu mwingi ili mkulima apate hiyo mbolea.

Kimsingi, Walimseti Bi. Tozo kubwa hukubaliki huku mtaani kwa hiyo ili ukubalike lete ruzuku kwa namna hii ila hizi mbolea zitamfanya mama achukiwe zaidi kwani wakulima wengi wamejiandikisha na wanategemea kupata mbolea ila hawatapata. Hapa ndipo atachukiwa zaidi kwani kwenye vikao vyake vya ndani Mikoani aliongea hilo kuwa hakubaliki kwa hiyo anaamini mbolea itasaidia akubalike
Ushahidi wa hizo pesa alizopiga unao?
 
Wewe Lofa najua nisemalo nipo jikoni mkuu. Endelea kutetea ujinga huku JF ukiwa umelala sebuleni kwa shemeji yako
Hyo inatokana na mfumo mzima wa maisha anayopitia hyu mtu,sio elimu,makuzi na mngne mengi.

yaani na kupigwa kote huku anatokea mtu anakuomba evidence za kile unachojaribu kumuelekeza aelewe![emoji848][emoji848][emoji848]
Kinengunengu usipende kuwastua watu waliolala,
utakuja kupewa kesi ya kuuwa

acha wafu wawazike...
 
  • Je ulitarajia ukisoma una heka 20 upewe mbolea kisa tu umesema?
  • Hata bila ya ruzuku ya pembejeo, serikali inapaswa kujua kuelekea msimu mpya WA kilimo ni mazao gani yanatarajiwa kulimwa, na ukubwa gani WA shamba.
  • N.B: Mh. Mwigulu leta tozo za mashamba! Kama 50,000/- kwa heka kwa msimu wa kilimo itapendeza. Nyumba haizalishi, na inalipiwa. Pia Kodi za maguta, mikokoteni n.k kwani inaingiza hela na inaleta ushindani kwa magari madogo ya mizigo. Yapewe stika maalumu kwa mwaka. Leta tooooozo!!!
 
Hyo inatokana na mfumo mzima wa maisha anayopitia hyu mtu,sio elimu,makuzi na mngne mengi.

yaani na kupigwa kote huku anatokea mtu anakuomba evidence za kile unachojaribu kumuelekeza aelewe![emoji848][emoji848][emoji848]
Kinengunengu usipende kuwastua watu waliolala,
utakuja kupewa kesi ya kuuwa

acha wafu wawazike...
Sasa si kila mtu atakua anakurupuka na kutoa tuhuma
 
Back
Top Bottom