Teknocrat
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 4,967
- 11,056
Lugha sahihi ni "Tozo za Mashamba zinaandaliwa."Kodi za Mashamba zinaandaliwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lugha sahihi ni "Tozo za Mashamba zinaandaliwa."Kodi za Mashamba zinaandaliwa.
Hivi kwani hiyo mbolea ni bure, kwa maana maeneo mengine wanasema watatoa kwa bei pungufuKijiji cha Ilembo kata ya Mpui wilayani Sumbawanga, nimekutana na kioja kama si kihoja! Ati ukijiandikisha inatakiwa wakapime mashamba yako, wakishayapima ndio upatiwe hiyo mbolea.
Nauliza kijiji kimoja kinawakulima mpaka 10,000' na Kila mkulima ana heka kumi, mtapima mashamba yote ndio mgawe mbolea?
Afisa mtendaji wa kijiji cha Ilembo kasema hawatapewa mbolea mpaka wakayapime hayo mashamba ya kila aliyejiandikisha. Jamani mko siriasi kweli na kilimo cha nchi hii?
Bashe unajua kuongea kwa mbwembwe ila usipokuwa makini hili la mbolea litakuangusha sana!
Msitucheleshe, kama hamna uhakika mseme!
Maeneo mengine wananchi wanaambiwa wawe na laini ya voda,kitambulisho na kupigwa picha.Mh waziri aseme haya ndiyo aliyoelekeza?Kijiji cha Ilembo kata ya Mpui wilayani Sumbawanga, nimekutana na kioja kama si kihoja! Ati ukijiandikisha inatakiwa wakapime mashamba yako, wakishayapima ndio upatiwe hiyo mbolea.
Nauliza kijiji kimoja kinawakulima mpaka 10,000' na Kila mkulima ana heka kumi, mtapima mashamba yote ndio mgawe mbolea?
Afisa mtendaji wa kijiji cha Ilembo kasema hawatapewa mbolea mpaka wakayapime hayo mashamba ya kila aliyejiandikisha. Jamani mko siriasi kweli na kilimo cha nchi hii?
Bashe unajua kuongea kwa mbwembwe ila usipokuwa makini hili la mbolea litakuangusha sana!
Msitucheleshe, kama hamna uhakika mseme!
Tupa cm huyo we jamaaxxx k kk v m mhhh
x
Na kusoms kwenu, hamkufikia kujifunza kutukanana kistaarabu?Hadi hapa ushaishiwa cha kusema. Sio kazi yangu kukuondolea ujinga ulionao
Tusi lipo wapi hapo?Na kusoms kwenu, hamkufikia kujifunza kutukanana kistaarabu?