Waziri Bashe masharti ya kupata mbolea yanaashiria mbolea hamna. Nimeanza kukosa imani

Waziri Bashe masharti ya kupata mbolea yanaashiria mbolea hamna. Nimeanza kukosa imani

Mbolea ya ruzuku ni Biashara haramu kayi ya Mawakala na Serikali. Kuna usumbufu sana kuipata. Wajanja wataipata then watauza kwa bei ya soko. Uliza Mbeya Ntokela wanako Lima Viazi kuna usumbufu balaa..
 
Kijiji cha Ilembo kata ya Mpui wilayani Sumbawanga, nimekutana na kioja kama si kihoja! Ati ukijiandikisha inatakiwa wakapime mashamba yako, wakishayapima ndio upatiwe hiyo mbolea.

Nauliza kijiji kimoja kinawakulima mpaka 10,000' na Kila mkulima ana heka kumi, mtapima mashamba yote ndio mgawe mbolea?

Afisa mtendaji wa kijiji cha Ilembo kasema hawatapewa mbolea mpaka wakayapime hayo mashamba ya kila aliyejiandikisha. Jamani mko siriasi kweli na kilimo cha nchi hii?

Bashe unajua kuongea kwa mbwembwe ila usipokuwa makini hili la mbolea litakuangusha sana!

Msitucheleshe, kama hamna uhakika mseme!
Hivi kwani hiyo mbolea ni bure, kwa maana maeneo mengine wanasema watatoa kwa bei pungufu
 
Kijiji cha Ilembo kata ya Mpui wilayani Sumbawanga, nimekutana na kioja kama si kihoja! Ati ukijiandikisha inatakiwa wakapime mashamba yako, wakishayapima ndio upatiwe hiyo mbolea.

Nauliza kijiji kimoja kinawakulima mpaka 10,000' na Kila mkulima ana heka kumi, mtapima mashamba yote ndio mgawe mbolea?

Afisa mtendaji wa kijiji cha Ilembo kasema hawatapewa mbolea mpaka wakayapime hayo mashamba ya kila aliyejiandikisha. Jamani mko siriasi kweli na kilimo cha nchi hii?

Bashe unajua kuongea kwa mbwembwe ila usipokuwa makini hili la mbolea litakuangusha sana!

Msitucheleshe, kama hamna uhakika mseme!
Maeneo mengine wananchi wanaambiwa wawe na laini ya voda,kitambulisho na kupigwa picha.Mh waziri aseme haya ndiyo aliyoelekeza?
 
Amepiga dili Sana na ni mwizi aliyekubuhu Sana mbinafsi Sana huyu msomali ndio maana jk miaka kumi yote alimkataa hata kumpa ubunge kumbe alikuwa anamjua
 
Back
Top Bottom