Waziri Bashe ni mgonjwa sana ashindwa kuhudhuria ziara ya Waziri Mkuu Nzega

Stuka

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
282
Reaction score
906
MBUNGE wa Nzega Mjini na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ni mgonjwa sana na ameshindwa kuhudhuria ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliyoifanya jana Jimbo la Nzega Mjini.

Kwa mujibu wa Majaliwa amewaeleza wananchi hao kuwa Mbunge wao ni mgonjwa na ameshindwa kuhudhuria ziara hiyo ya Waziri Mkuu Nzega.

Ni muhimu taarifa za kuumwa viongozi ziwe zinatolewa mapema ili wananchi waweze kujua kwani wanalipwa kodi za wananchi hivyo ni lazima umma ujulishwe unaowalipa mishahara viongozi hao


View: https://youtu.be/XA4gO6FL94M?si=jM1kUMjS-eik7A3-
 
Asidanganye tu....March 2021 akidanganya umma Tanzania kuhusu JPM.....March 2025.....Bashe ni kweli ? Atapona ??.....PM ana nuksi ??
 
Kuna mambo ni siri mpaka Yesu arudi wagonjwa ni wengi na hakuna wakutangaza kiufupi jambo lakujifunza hili ni Taifa na kila mtu anawajibika kwa Taifa lake madaraka ni koti usiyatamani wala usijipe kwanguvu. Amen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…