nasikia ana hali mbaya sana jimboni ile kashfa ya sukari, mbolea, pembejeo na magumashi mbalimbali kwenye pamba yamemchafua sana ukiwauliza madiwani wa nzega watakupa abc za bashe utashangaaCCM wanalogana sn itakuwa wamempiga kitu huyu msomali
Magonjwa ni sehemu ya maisha.CCM wanalogana sn itakuwa wamempiga kitu huyu msomali
anautaka nini URAHISI?tayari si wali sema nae ana utaka
Safi snnasikia ana hali mbaya sana jimboni ile kashfa ya sukari, mbolea, pembejeo na magumashi mbalimbali kwenye pamba yamemchafua sana ukiwauliza madiwani wa nzega watakupa abc za bashe utashangaa
We jamaa bana, na maoni yako ya haraka haraka!CCM wanalogana sn itakuwa wamempiga kitu huyu msomali
Sahivi waganga wa jadi wanasoko kubwa sn mbele ya CCMMagonjwa ni sehemu ya maisha.
KaribuWe jamaa bana, na maoni yako ya haraka haraka!
Nipo kitambo mbona, ila ni msoma comments tuKaribu
INABIDI AOMBEWE DUA NYINGI MAANA KUNA KUNDI KUBWA LA WATU WANAISHI KWA KUTEGEMEA MADILI YA BASHE WAKO VIONGOZI WA WILAYA NA MIKOA WAKO WABUNGE WAKO VIJANA WA TK MOVEMENT NCHI NZIMA WANALISHWA NA BASHEmsomali karogwa tena.
Duh hatari tupu!!CCM wanalogana sn itakuwa wamempiga kitu huyu msomali
Asidanganye tu....March 2021 akidanganya umma Tanzania kuhusu JPM.....March 2025.....Bashe ni kweli ? Atapona ??.....PM ana nuksi ??MBUNGE wa Nzega Mjini na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ni mgonjwa sana na ameshindwa kuhudhuria ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliyoifanya jana Jimbo la Nzega Mjini.
Kwa mujibu wa Majaliwa amewaeleza wananchi hao kuwa Mbunge wao ni mgonjwa na ameshindwa kuhudhuria ziara hiyo ya Waziri Mkuu Nzega.
Ni muhimu taarifa za kuumwa viongozi ziwe zinatolewa mapema ili wananchi waweze kujua kwani wanalipwa kodi za wananchi hivyo ni lazima umma ujulishwe unaowalipa mishahara viongozi hao
View: https://youtu.be/XA4gO6FL94M?si=jM1kUMjS-eik7A3-
Kuna mambo ni siri mpaka Yesu arudi wagonjwa ni wengi na hakuna wakutangaza kiufupi jambo lakujifunza hili ni Taifa na kila mtu anawajibika kwa Taifa lake madaraka ni koti usiyatamani wala usijipe kwanguvu. AmenMBUNGE wa Nzega Mjini na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ni mgonjwa sana na ameshindwa kuhudhuria ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliyoifanya jana Jimbo la Nzega Mjini.
Kwa mujibu wa Majaliwa amewaeleza wananchi hao kuwa Mbunge wao ni mgonjwa na ameshindwa kuhudhuria ziara hiyo ya Waziri Mkuu Nzega.
Ni muhimu taarifa za kuumwa viongozi ziwe zinatolewa mapema ili wananchi waweze kujua kwani wanalipwa kodi za wananchi hivyo ni lazima umma ujulishwe unaowalipa mishahara viongozi hao
View: https://youtu.be/XA4gO6FL94M?si=jM1kUMjS-eik7A3-