Waziri Bashe ni mgonjwa sana ashindwa kuhudhuria ziara ya Waziri Mkuu Nzega

Waziri Bashe ni mgonjwa sana ashindwa kuhudhuria ziara ya Waziri Mkuu Nzega

MBUNGE wa Nzega Mjini na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ni mgonjwa sana na ameshindwa kuhudhuria ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliyoifanya jana Jimbo la Nzega Mjini.

Kwa mujibu wa Majaliwa amewaeleza wananchi hao kuwa Mbunge wao ni mgonjwa na ameshindwa kuhudhuria ziara hiyo ya Waziri Mkuu Nzega.

Ni muhimu taarifa za kuumwa viongozi ziwe zinatolewa mapema ili wananchi waweze kujua kwani wanalipwa kodi za wananchi hivyo ni lazima umma ujulishwe unaowalipa mishahara viongozi hao


View: https://youtu.be/XA4gO6FL94M?si=jM1kUMjS-eik7A3-

Sometimes let's be serious!!!!
Mambo binafsi hayo waachie familia wewe utatangaziwa msiba Tu.
 
MBUNGE wa Nzega Mjini na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ni mgonjwa sana na ameshindwa kuhudhuria ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliyoifanya jana Jimbo la Nzega Mjini.

Kwa mujibu wa Majaliwa amewaeleza wananchi hao kuwa Mbunge wao ni mgonjwa na ameshindwa kuhudhuria ziara hiyo ya Waziri Mkuu Nzega.

Ni muhimu taarifa za kuumwa viongozi ziwe zinatolewa mapema ili wananchi waweze kujua kwani wanalipwa kodi za wananchi hivyo ni lazima umma ujulishwe unaowalipa mishahara viongozi hao


View: https://youtu.be/XA4gO6FL94M?si=jM1kUMjS-eik7A3-

Mungu amsaidie apone na kuendelea na majukumu yake, Amina
 
Ni muhimu taarifa za kuumwa viongozi ziwe zinatolewa mapema ili wananchi waweze kujua kwani wanalipwa kodi za wananchi hivyo ni lazima umma ujulishwe unaowalipa mishahara viongozi hao
Ni kweli hata VP alipoumwa walificha sana
 
MBUNGE wa Nzega Mjini na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ni mgonjwa sana na ameshindwa kuhudhuria ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliyoifanya jana Jimbo la Nzega Mjini.

Kwa mujibu wa Majaliwa amewaeleza wananchi hao kuwa Mbunge wao ni mgonjwa na ameshindwa kuhudhuria ziara hiyo ya Waziri Mkuu Nzega.

Ni muhimu taarifa za kuumwa viongozi ziwe zinatolewa mapema ili wananchi waweze kujua kwani wanalipwa kodi za wananchi hivyo ni lazima umma ujulishwe unaowalipa mishahara viongozi hao


View: https://youtu.be/XA4gO6FL94M?si=jM1kUMjS-eik7A3-

Atajiju
 
CCM wanalogana sn itakuwa wamempiga kitu huyu msomali
Mzee wake alikua fundi,akikosa ubani basi alikua na uwezo mchanga ukawa ubani,mzee katangulia,naona yule chinga ambaye kawa tajiri na ana bakery,kishafanya mambo ya kisukuma,na kaleta pikipiki 500 awagawie CCM,nakutakia afya njema school mate wangu msomali
 
Asome hii Novena ya Mt. Ritha wa Kashia, aisee ndani ya siku 10 majibu atayapata na huo ugonjwa utapona kwa namna ya ajabu.

Mimi nimeshuhudia hili mpaka ikabidi ninunue hichi kitabu kipo home.

Asipuuze hili.

Mt. Ritha wa Kashia, Utuombee
20250314_173830.jpg
 
Back
Top Bottom