Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MBUNGE wa Nzega Mjini na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ni mgonjwa sana na ameshindwa kuhudhuria ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliyoifanya jana Jimbo la Nzega Mjini.
Kwa mujibu wa Majaliwa amewaeleza wananchi hao kuwa Mbunge wao ni mgonjwa na ameshindwa kuhudhuria ziara hiyo ya Waziri Mkuu Nzega.
Ni muhimu taarifa za kuumwa viongozi ziwe zinatolewa mapema ili wananchi waweze kujua kwani wanalipwa kodi za wananchi hivyo ni lazima umma ujulishwe unaowalipa mishahara viongozi hao
View: https://youtu.be/XA4gO6FL94M?si=jM1kUMjS-eik7A3-
Mawaziri wote ni wezi mbonanasikia ana hali mbaya sana jimboni ile kashfa ya sukari, mbolea, pembejeo na magumashi mbalimbali kwenye pamba yamemchafua sana ukiwauliza madiwani wa nzega watakupa abc za bashe utashangaa
Au Wakulima wa Miwa bonde la Kilombero wamechanga safari ya Sumbawanga?!
Wanasema sukari ya ndani imeshuka bei baada ya Bashe kuingiza sukari nyingi kutoka nje ya nchi.Kwani aliwafantia nini kibaya?
MBUNGE wa Nzega Mjini na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ni mgonjwa sana na ameshindwa kuhudhuria ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliyoifanya jana Jimbo la Nzega Mjini.
Kwa mujibu wa Majaliwa amewaeleza wananchi hao kuwa Mbunge wao ni mgonjwa na ameshindwa kuhudhuria ziara hiyo ya Waziri Mkuu Nzega.
Ni muhimu taarifa za kuumwa viongozi ziwe zinatolewa mapema ili wananchi waweze kujua kwani wanalipwa kodi za wananchi hivyo ni lazima umma ujulishwe unaowalipa mishahara viongozi hao
View: https://youtu.be/XA4gO6FL94M?si=jM1kUMjS-eik7A3-
Ni kweli hata VP alipoumwa walificha sanaNi muhimu taarifa za kuumwa viongozi ziwe zinatolewa mapema ili wananchi waweze kujua kwani wanalipwa kodi za wananchi hivyo ni lazima umma ujulishwe unaowalipa mishahara viongozi hao
Watu kiboko mna tunza matukioAsidanganye tu....March 2021 akidanganya umma Tanzania kuhusu JPM.....March 2025.....Bashe ni kweli ? Atapona ??.....PM ana nuksi ??
MBUNGE wa Nzega Mjini na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ni mgonjwa sana na ameshindwa kuhudhuria ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliyoifanya jana Jimbo la Nzega Mjini.
Kwa mujibu wa Majaliwa amewaeleza wananchi hao kuwa Mbunge wao ni mgonjwa na ameshindwa kuhudhuria ziara hiyo ya Waziri Mkuu Nzega.
Ni muhimu taarifa za kuumwa viongozi ziwe zinatolewa mapema ili wananchi waweze kujua kwani wanalipwa kodi za wananchi hivyo ni lazima umma ujulishwe unaowalipa mishahara viongozi hao
View: https://youtu.be/XA4gO6FL94M?si=jM1kUMjS-eik7A3-
Magonjwa ya nyakati za uchaguzi.tayari si wali sema nae ana utaka
Ila now hawajafa jafa kabisa tofauti na 2020Magonjwa ya nyakati za uchaguzi.
Mzee wake alikua fundi,akikosa ubani basi alikua na uwezo mchanga ukawa ubani,mzee katangulia,naona yule chinga ambaye kawa tajiri na ana bakery,kishafanya mambo ya kisukuma,na kaleta pikipiki 500 awagawie CCM,nakutakia afya njema school mate wangu msomaliCCM wanalogana sn itakuwa wamempiga kitu huyu msomali
Mtakie afya njema basi ndiyo ubinaadamuFisadi hilo
Wameanza peana juju, unaweza kuta early juju is good for survival At SI SI EMU than late JujuWashaanza kupigana majuju veggies bhana 😹