Waziri Bashe ni mgonjwa sana ashindwa kuhudhuria ziara ya Waziri Mkuu Nzega

Waziri Bashe ni mgonjwa sana ashindwa kuhudhuria ziara ya Waziri Mkuu Nzega

kuna wabunge huwa hawana aibu, utakuta wanatembea na waganga wao wa kienyeji mithili ya wale mabodigadi. Si bora watembee na mabaunsa waliojazia miili yao kuliko kutembea na wachawi hao wachafuchafu
Wengi wanaamini bila tunguli watakuwa hatarini !
Fear of the unknown !
 
Asome hii Novena ya Mt. Ritha wa Kashia, aisee ndani ya siku 10 majibu atayapata na huo ugonjwa utapona kwa namna ya ajabu.

Mimi nimeshuhudia hili mpaka ikabidi ninunue hichi kitabu kipo home.

Asipuuze hili.

Mt. Ritha wa Kashia, UtuombeeView attachment 3270278
mkuu mimi ni mluther vipi kitanifaa namimi pls naomba namna ya kukisoma nbox
 
Bashe ni mwizi kama walivyo waizi wengine refer swala la sukari
Nasikia alitumika kama daraja tu. Tatizo la kuumwa lilianza pale alipowaambia Wahusika kila mmoja awajibike kwenye nafasi yake. Na yeye alikuwa tayari kuachia ngazi.
 
Kuna mambo ni siri mpaka Yesu arudi wagonjwa ni wengi na hakuna wakutangaza kiufupi jambo lakujifunza hili ni Taifa na kila mtu anawajibika kwa Taifa lake madaraka ni koti usiyatamani wala usijipe kwanguvu. Amen
Je ndilo ulilokuwa umelitabiri 2025??
 
MBUNGE wa Nzega Mjini na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ni mgonjwa sana na ameshindwa kuhudhuria ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliyoifanya jana Jimbo la Nzega Mjini.

Kwa mujibu wa Majaliwa amewaeleza wananchi hao kuwa Mbunge wao ni mgonjwa na ameshindwa kuhudhuria ziara hiyo ya Waziri Mkuu Nzega.

Ni muhimu taarifa za kuumwa viongozi ziwe zinatolewa mapema ili wananchi waweze kujua kwani wanalipwa kodi za wananchi hivyo ni lazima umma ujulishwe unaowalipa mishahara viongozi hao


View: https://youtu.be/XA4gO6FL94M?si=jM1kUMjS-eik7A3-

RIp
 
MBUNGE wa Nzega Mjini na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ni mgonjwa sana na ameshindwa kuhudhuria ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliyoifanya jana Jimbo la Nzega Mjini.

Kwa mujibu wa Majaliwa amewaeleza wananchi hao kuwa Mbunge wao ni mgonjwa na ameshindwa kuhudhuria ziara hiyo ya Waziri Mkuu Nzega.

Ni muhimu taarifa za kuumwa viongozi ziwe zinatolewa mapema ili wananchi waweze kujua kwani wanalipwa kodi za wananchi hivyo ni lazima umma ujulishwe unaowalipa mishahara viongozi hao


View: https://youtu.be/XA4gO6FL94M?si=jM1kUMjS-eik7A3-

NAawaza tuu kwa mfano akifa hivi ile ranchi yake ya ng'ombe kule bagamoyo nduguze wanaijua kweli?
 
20241119_173826.jpg
Masufuria tunatenga lini?
 
Mnaongea ni fisadi, mwananchi gani wa kawaida anaujua ufisadi wake? Mwananchi wa kawaida hajui ufisadi ukoje kwa sababu ye mwenyewe kipato chake ni cha chini sana na hakikidhi mahitaji yake ya msingi
Funguka mkuu naona kama una hoja
 
nasikia ana hali mbaya sana jimboni ile kashfa ya sukari, mbolea, pembejeo na magumashi mbalimbali kwenye pamba yamemchafua sana ukiwauliza madiwani wa nzega watakupa abc za bashe utashangaa
Nani kakuuliza hayo kama siyo kihelehele??
 
Back
Top Bottom