Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali la kijinga.Kwa usomali wake Engineer Hersi amepataje Urais wa Yanga yenye mamilioni ya mashabiki Nchini?Hao wamatumbwi walikuwa wapi?Kwa usomali wake Bashe atapataje urais?
Hata kama Sisi ni Wajinga ndo tuongozwe na Msomali?Waziri Bashe anachapa kazi kwelikweli pale Wizara ya Kilimo kiasi cha kuwa tishio Kwa kundi la wasaka urais ndani ya CCM wanapoona anawaovershine
Kwa sasa moja ya mbinu wanazotumia ni kumchafua kwenye mitandao ya kijamii.
Unapoona Kigogo anamchafua Bashe ujue ni sehemu ya mkakati huo.
Huwezi kusema Bashe anaua zao la korosho kule kwenye mikoa ya kusini badala yake ni huyu Bashe ndiye anayewalinda wazalishaji wa zao huku akiwashughulikia kwa vitendo wafanyabiashara wanaowanyonya wakulima.
Maadui wa Bashe hawana hoja na ndio maana wanatumia ubaguzi kumchafua.
Bashe ni Mtanzania mzalendo,ni mwana CCM mahiri,Mbunge wa Nzenga mjini na ni msomi mzuri.
Kukesha mitandaoni kujadili asili ya Bashe ni upuuzi uliopindukia.
Kwasisi tuliosoma anthropology na tunajua vyema historia ya Tanzania na Afrika kwa ujumla tunashangazwa kuona bado kuna watu wana elements za ubaguzi.ukijua haya huwezi kuwa mbaguzi.
Mfano hata hawa wanaomchafua Bashe ni wabantu-Hivi hawajui kuwa hata wabantu ni wahamiaji hapa Tanzania?
Hivi ni nani anaweza kuhoji uzalendo wa Profesa Issa Shivji? je tusema Shivji ni Mhindi? uhindi wake unatusaidia nini?
Shivji ni Mtanzania mzalendo.Period.
Acheni Bashe afanye kazi.anatutoa kimasomaso kutokana na anavyosimamia vyema sekta ya kilimo na program ya BBT
Threat kubwa
1. Biashara ya sukari kuitaka iwe liberal
2. kudhibiti minada ya mazao Kwa kuweka sheria inayozuia directo mmoja kuleta kampuni 10 kwenye dhabuni
3. kudhibiti biashara ya mbolea na viwatilifu
4. minada kuendeshwa kidigitali
5. mtetezi wa falsafa ya local content n.k
Wacha kutukana watu.Rais wa Yanga ni msomali na ina mashabiki mamilioni.Ila umekubali ujinga hivyo huna cha kuchagua.Hata kama Sisi ni Wajinga ndo tuongozwe na Msomali?
Urais wa club unafananisha na urais wa nchi? Kuwa serious basi.Swali la kijinga.Kwa usomali wake Engineer Hersi amepataje Urais wa Yanga yenye mamilioni ya mashabiki Nchini?Hao wamatumbwi walikuwa wapi?
Ngozi nyeusi ikisikia Obama kawa Rais Marekani inashangia hadi inakata mauno. Ila huku akigombea Muhindi ataitwa Gabachori, Mwarabu ataitwa Mwarabu koko, Mzungu Beberu.Yaani MSOMALI awe threat kweli? You could be sick!
Akagombee kwao Somalia period!Ngozi nyeusi ikisikia Obama kawa Rais Marekani inashangia hadi inakata mauno. Ila huku akigombea Muhindi ataitwa Gabachori, Mwarabu ataitwa Mwarabu koko, Mzungu Beberu.
Nikiwaambia hapa duniani Race inayoongoza kwa ubaguzi ni hii nyeusi mnanitolea mapovu. Si mnaona?
Kijana uko nje ya uwezo wako sawa ngoja tukupe hoja bashe hawezi kuwa rais wa tanzani basi akiwa basi TISS watakuwa kichwa cha mwendawazimu sanaWaziri Bashe anachapa kazi kwelikweli pale Wizara ya Kilimo kiasi cha kuwa tishio Kwa kundi la wasaka urais ndani ya CCM wanapoona anawaovershine
Kwa sasa moja ya mbinu wanazotumia ni kumchafua kwenye mitandao ya kijamii.
Unapoona Kigogo anamchafua Bashe ujue ni sehemu ya mkakati huo.
Huwezi kusema Bashe anaua zao la korosho kule kwenye mikoa ya kusini badala yake ni huyu Bashe ndiye anayewalinda wazalishaji wa zao huku akiwashughulikia kwa vitendo wafanyabiashara wanaowanyonya wakulima.
Maadui wa Bashe hawana hoja na ndio maana wanatumia ubaguzi kumchafua.
Bashe ni Mtanzania mzalendo,ni mwana CCM mahiri,Mbunge wa Nzenga mjini na ni msomi mzuri.
Kukesha mitandaoni kujadili asili ya Bashe ni upuuzi uliopindukia.
Kwasisi tuliosoma anthropology na tunajua vyema historia ya Tanzania na Afrika kwa ujumla tunashangazwa kuona bado kuna watu wana elements za ubaguzi.ukijua haya huwezi kuwa mbaguzi.
Mfano hata hawa wanaomchafua Bashe ni wabantu-Hivi hawajui kuwa hata wabantu ni wahamiaji hapa Tanzania?
Hivi ni nani anaweza kuhoji uzalendo wa Profesa Issa Shivji? je tusema Shivji ni Mhindi? uhindi wake unatusaidia nini?
Shivji ni Mtanzania mzalendo.Period.
Acheni Bashe afanye kazi.anatutoa kimasomaso kutokana na anavyosimamia vyema sekta ya kilimo na program ya BBT
Threat kubwa
1. Biashara ya sukari kuitaka iwe liberal
2. kudhibiti minada ya mazao Kwa kuweka sheria inayozuia directo mmoja kuleta kampuni 10 kwenye dhabuni
3. kudhibiti biashara ya mbolea na viwatilifu
4. minada kuendeshwa kidigitali
5. mtetezi wa falsafa ya local content n.k
Mmmh vita ya urais Isha Anza??? Mapema.watu hawajui uhai wetu ni kwa neena ya Mungu tu.any way ndoto si mbayaWaziri Bashe anachapa kazi kwelikweli pale Wizara ya Kilimo kiasi cha kuwa tishio Kwa kundi la wasaka urais ndani ya CCM wanapoona anawaovershine
Kwa sasa moja ya mbinu wanazotumia ni kumchafua kwenye mitandao ya kijamii.
Unapoona Kigogo anamchafua Bashe ujue ni sehemu ya mkakati huo.
Huwezi kusema Bashe anaua zao la korosho kule kwenye mikoa ya kusini badala yake ni huyu Bashe ndiye anayewalinda wazalishaji wa zao huku akiwashughulikia kwa vitendo wafanyabiashara wanaowanyonya wakulima.
Maadui wa Bashe hawana hoja na ndio maana wanatumia ubaguzi kumchafua.
Bashe ni Mtanzania mzalendo,ni mwana CCM mahiri,Mbunge wa Nzenga mjini na ni msomi mzuri.
Kukesha mitandaoni kujadili asili ya Bashe ni upuuzi uliopindukia.
Kwasisi tuliosoma anthropology na tunajua vyema historia ya Tanzania na Afrika kwa ujumla tunashangazwa kuona bado kuna watu wana elements za ubaguzi.ukijua haya huwezi kuwa mbaguzi.
Mfano hata hawa wanaomchafua Bashe ni wabantu-Hivi hawajui kuwa hata wabantu ni wahamiaji hapa Tanzania?
Hivi ni nani anaweza kuhoji uzalendo wa Profesa Issa Shivji? je tusema Shivji ni Mhindi? uhindi wake unatusaidia nini?
Shivji ni Mtanzania mzalendo.Period.
Acheni Bashe afanye kazi.anatutoa kimasomaso kutokana na anavyosimamia vyema sekta ya kilimo na program ya BBT
Threat kubwa
1. Biashara ya sukari kuitaka iwe liberal
2. kudhibiti minada ya mazao Kwa kuweka sheria inayozuia directo mmoja kuleta kampuni 10 kwenye dhabuni
3. kudhibiti biashara ya mbolea na viwatilifu
4. minada kuendeshwa kidigitali
5. mtetezi wa falsafa ya local content n.k
Lowasa na bashe ni vijana wa rostamVijana wa mzee Lowasa hawa
Nyota ya dawa zakimasai simba wanayo sana....watanganyika tukizubaa tu tutapishana nae viungani chamwino
Lowasa na bashe ni vijana wa rostamVijana wa mzee Lowasa hawa
Nyota ya dawa zakimasai simba wanayo sana....watanganyika tukizubaa tu tutapishana nae viungani chamwino