Pre GE2025 Waziri Bashe ni tishio kwa wasaka Urais 2030

Pre GE2025 Waziri Bashe ni tishio kwa wasaka Urais 2030

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Bashe ni business man,aendelee na biashara zake,uongozi awaachie wengine
 
Kumbe uingereza? Sio Tanzania!! Hao UK, US wamedeveloped sana na wana regulation za kutosha. Sio Sisi Tanzania ambao hata ndugu zetu wanatuibia sasa msomali???
Nendeni kuzimu hamna maana Dunia hii ya Sasa ya Kijiji!!
 
Nendeni kuzimu hamna maana Dunia hii ya Sasa ya Kijiji!!
Isitoshe hana sifa yeyote ya maana zaid ya kumsifia tu. Kuna wizi mkubwa sana kwenye wizara yake hasa, kwenye mradi wa, wa, kilimo cha vijana. Kama kawaida Tanzania ni shamba, la Bibi tu. Hatujui tu nataka nn. Hata Nape ana wadudu na chawa wake wa, kumsifia.
 
kwa nini tusibadilishe Katiba halafu tumlazimishe mama aendelee baada ya 2030?
 
Hii nchi ngumu sana, yani Bashe tishio kwa nani? Yani unamaanisha anapendwa mpaka kawa tishiio?

Hakuna waziri au mwenye cheo chochote cha kuteuliwa ambaye ni tishio, matishio yote yametolewa.

Waliobaki wote ni wafuasi, na lazima wasujudu kwenye cheo cha u rais, hawana tishio lolote, popote.
 
Waziri Bashe anachapa kazi kwelikweli pale Wizara ya Kilimo kiasi cha kuwa tishio Kwa kundi la wasaka urais ndani ya CCM wanapoona anawaovershine

Kwa sasa moja ya mbinu wanazotumia ni kumchafua kwenye mitandao ya kijamii.

Unapoona Kigogo anamchafua Bashe ujue ni sehemu ya mkakati huo.

Huwezi kusema Bashe anaua zao la korosho kule kwenye mikoa ya kusini badala yake ni huyu Bashe ndiye anayewalinda wazalishaji wa zao huku akiwashughulikia kwa vitendo wafanyabiashara wanaowanyonya wakulima.

Maadui wa Bashe hawana hoja na ndio maana wanatumia ubaguzi kumchafua.

Bashe ni Mtanzania mzalendo,ni mwana CCM mahiri,Mbunge wa Nzenga mjini na ni msomi mzuri.

Kukesha mitandaoni kujadili asili ya Bashe ni upuuzi uliopindukia.

Kwasisi tuliosoma anthropology na tunajua vyema historia ya Tanzania na Afrika kwa ujumla tunashangazwa kuona bado kuna watu wana elements za ubaguzi.ukijua haya huwezi kuwa mbaguzi.

Mfano hata hawa wanaomchafua Bashe ni wabantu-Hivi hawajui kuwa hata wabantu ni wahamiaji hapa Tanzania?

Hivi ni nani anaweza kuhoji uzalendo wa Profesa Issa Shivji? je tusema Shivji ni Mhindi? uhindi wake unatusaidia nini?

Shivji ni Mtanzania mzalendo.Period.

Acheni Bashe afanye kazi.anatutoa kimasomaso kutokana na anavyosimamia vyema sekta ya kilimo na program ya BBT

Threat kubwa
1. Biashara ya sukari kuitaka iwe liberal
2. ⁠kudhibiti minada ya mazao Kwa kuweka sheria inayozuia directo mmoja kuleta kampuni 10 kwenye dhabuni
3. ⁠kudhibiti biashara ya mbolea na viwatilifu
4. ⁠minada kuendeshwa kidigitali
5. ⁠mtetezi wa falsafa ya local content n.k
Na ile falsafa ya akitoka muislamu anaingia mkristo itakuwa imeachwa ??!
 
Waziri Bashe anachapa kazi kwelikweli pale Wizara ya Kilimo kiasi cha kuwa tishio Kwa kundi la wasaka urais ndani ya CCM wanapoona anawaovershine

Kwa sasa moja ya mbinu wanazotumia ni kumchafua kwenye mitandao ya kijamii.

Unapoona Kigogo anamchafua Bashe ujue ni sehemu ya mkakati huo.

Huwezi kusema Bashe anaua zao la korosho kule kwenye mikoa ya kusini badala yake ni huyu Bashe ndiye anayewalinda wazalishaji wa zao huku akiwashughulikia kwa vitendo wafanyabiashara wanaowanyonya wakulima.

Maadui wa Bashe hawana hoja na ndio maana wanatumia ubaguzi kumchafua.

Bashe ni Mtanzania mzalendo,ni mwana CCM mahiri,Mbunge wa Nzenga mjini na ni msomi mzuri.

Kukesha mitandaoni kujadili asili ya Bashe ni upuuzi uliopindukia.

Kwasisi tuliosoma anthropology na tunajua vyema historia ya Tanzania na Afrika kwa ujumla tunashangazwa kuona bado kuna watu wana elements za ubaguzi.ukijua haya huwezi kuwa mbaguzi.

Mfano hata hawa wanaomchafua Bashe ni wabantu-Hivi hawajui kuwa hata wabantu ni wahamiaji hapa Tanzania?

Hivi ni nani anaweza kuhoji uzalendo wa Profesa Issa Shivji? je tusema Shivji ni Mhindi? uhindi wake unatusaidia nini?

Shivji ni Mtanzania mzalendo.Period.

Acheni Bashe afanye kazi.anatutoa kimasomaso kutokana na anavyosimamia vyema sekta ya kilimo na program ya BBT

Threat kubwa
1. Biashara ya sukari kuitaka iwe liberal
2. ⁠kudhibiti minada ya mazao Kwa kuweka sheria inayozuia directo mmoja kuleta kampuni 10 kwenye dhabuni
3. ⁠kudhibiti biashara ya mbolea na viwatilifu
4. ⁠minada kuendeshwa kidigitali
5. ⁠mtetezi wa falsafa ya local content n.k
Kampeni za 2030 naona tayari zimeanza
 
Waziri Bashe anachapa kazi kwelikweli pale Wizara ya Kilimo kiasi cha kuwa tishio Kwa kundi la wasaka urais ndani ya CCM wanapoona anawaovershine

Kwa sasa moja ya mbinu wanazotumia ni kumchafua kwenye mitandao ya kijamii.

Unapoona Kigogo anamchafua Bashe ujue ni sehemu ya mkakati huo.

Huwezi kusema Bashe anaua zao la korosho kule kwenye mikoa ya kusini badala yake ni huyu Bashe ndiye anayewalinda wazalishaji wa zao huku akiwashughulikia kwa vitendo wafanyabiashara wanaowanyonya wakulima.

Maadui wa Bashe hawana hoja na ndio maana wanatumia ubaguzi kumchafua.

Bashe ni Mtanzania mzalendo,ni mwana CCM mahiri,Mbunge wa Nzenga mjini na ni msomi mzuri.

Kukesha mitandaoni kujadili asili ya Bashe ni upuuzi uliopindukia.

Kwasisi tuliosoma anthropology na tunajua vyema historia ya Tanzania na Afrika kwa ujumla tunashangazwa kuona bado kuna watu wana elements za ubaguzi.ukijua haya huwezi kuwa mbaguzi.

Mfano hata hawa wanaomchafua Bashe ni wabantu-Hivi hawajui kuwa hata wabantu ni wahamiaji hapa Tanzania?

Hivi ni nani anaweza kuhoji uzalendo wa Profesa Issa Shivji? je tusema Shivji ni Mhindi? uhindi wake unatusaidia nini?

Shivji ni Mtanzania mzalendo.Period.

Acheni Bashe afanye kazi.anatutoa kimasomaso kutokana na anavyosimamia vyema sekta ya kilimo na program ya BBT

Threat kubwa
1. Biashara ya sukari kuitaka iwe liberal
2. ⁠kudhibiti minada ya mazao Kwa kuweka sheria inayozuia directo mmoja kuleta kampuni 10 kwenye dhabuni
3. ⁠kudhibiti biashara ya mbolea na viwatilifu
4. ⁠minada kuendeshwa kidigitali
5. ⁠mtetezi wa falsafa ya local content n.k
Sheria inakataza,labda tuzibadili.
 
Isitoshe hana sifa yeyote ya maana zaid ya kumsifia tu. Kuna wizi mkubwa sana kwenye wizara yake hasa, kwenye mradi wa, wa, kilimo cha vijana. Kama kawaida Tanzania ni shamba, la Bibi tu. Hatujui tu nataka nn. Hata Nape ana wadudu na chawa wake wa, kumsifia.
Pitia kwenye miradi ya umwagiliaji na mingine utapata picha halisi
 
Sikweli

Bashe na rostam vijana wa lowasa
Rostam akiwakilisha wafanyabiashara,mtu wao wa kumuweka ikulu alikua mlafi Lowasa, Nyerere akamtia laana 1995,wakaona wam-back up jakaya,walijua jakaya mpaka atoke madarakani Nyerere hatokuwepo,2015 ile pale,hela zile Lowasa alitoa wapi!?
 
Rostam akiwakilisha wafanyabiashara,mtu wao wa kumuweka ikulu alikua mlafi Lowasa, Nyerere akamtia laana 1995,wakaona wam-back up jakaya,walijua jakaya mpaka atoke madarakani Nyerere hatokuwepo,2015 ile pale,hela zile Lowasa alitoa wapi!?
mkuu,watu hawataki kufatilia maswala
 
Bashe ni mwizi hafai, ameleta utapeli wake unaitwa TMX kazi kubwa ni kuwaibia wakulima. Bashe kaua korosho hilo halina shaka, na Bashe sasa anaelekea kuua Ufuta ambao kila kukicha bei inaporomoka na yupo mbioni kuua mbaazi..

Huyo msomali kupitia TMX ameunda cartel yake na kampuni zake tu na za wapigaji wenzie ndizo zinakibali cha kununua mazao Tanzania hii. Wengine amewanyooshe vidole kuwaita wezi wakati mwizi mkuu ni yeye.
 
Back
Top Bottom