Tena club yenyewe Mwakarobo JrUrais wa club unafananisha na urais wa nchi? Kuwa serious basi.
Msomali Bashe kamwe hawezi kuwa rais.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena club yenyewe Mwakarobo JrUrais wa club unafananisha na urais wa nchi? Kuwa serious basi.
Msomali Bashe kamwe hawezi kuwa rais.
Nendeni kuzimu hamna maana Dunia hii ya Sasa ya Kijiji!!Kumbe uingereza? Sio Tanzania!! Hao UK, US wamedeveloped sana na wana regulation za kutosha. Sio Sisi Tanzania ambao hata ndugu zetu wanatuibia sasa msomali???
Isitoshe hana sifa yeyote ya maana zaid ya kumsifia tu. Kuna wizi mkubwa sana kwenye wizara yake hasa, kwenye mradi wa, wa, kilimo cha vijana. Kama kawaida Tanzania ni shamba, la Bibi tu. Hatujui tu nataka nn. Hata Nape ana wadudu na chawa wake wa, kumsifia.Nendeni kuzimu hamna maana Dunia hii ya Sasa ya Kijiji!!
Na ile falsafa ya akitoka muislamu anaingia mkristo itakuwa imeachwa ??!Waziri Bashe anachapa kazi kwelikweli pale Wizara ya Kilimo kiasi cha kuwa tishio Kwa kundi la wasaka urais ndani ya CCM wanapoona anawaovershine
Kwa sasa moja ya mbinu wanazotumia ni kumchafua kwenye mitandao ya kijamii.
Unapoona Kigogo anamchafua Bashe ujue ni sehemu ya mkakati huo.
Huwezi kusema Bashe anaua zao la korosho kule kwenye mikoa ya kusini badala yake ni huyu Bashe ndiye anayewalinda wazalishaji wa zao huku akiwashughulikia kwa vitendo wafanyabiashara wanaowanyonya wakulima.
Maadui wa Bashe hawana hoja na ndio maana wanatumia ubaguzi kumchafua.
Bashe ni Mtanzania mzalendo,ni mwana CCM mahiri,Mbunge wa Nzenga mjini na ni msomi mzuri.
Kukesha mitandaoni kujadili asili ya Bashe ni upuuzi uliopindukia.
Kwasisi tuliosoma anthropology na tunajua vyema historia ya Tanzania na Afrika kwa ujumla tunashangazwa kuona bado kuna watu wana elements za ubaguzi.ukijua haya huwezi kuwa mbaguzi.
Mfano hata hawa wanaomchafua Bashe ni wabantu-Hivi hawajui kuwa hata wabantu ni wahamiaji hapa Tanzania?
Hivi ni nani anaweza kuhoji uzalendo wa Profesa Issa Shivji? je tusema Shivji ni Mhindi? uhindi wake unatusaidia nini?
Shivji ni Mtanzania mzalendo.Period.
Acheni Bashe afanye kazi.anatutoa kimasomaso kutokana na anavyosimamia vyema sekta ya kilimo na program ya BBT
Threat kubwa
1. Biashara ya sukari kuitaka iwe liberal
2. kudhibiti minada ya mazao Kwa kuweka sheria inayozuia directo mmoja kuleta kampuni 10 kwenye dhabuni
3. kudhibiti biashara ya mbolea na viwatilifu
4. minada kuendeshwa kidigitali
5. mtetezi wa falsafa ya local content n.k
Kampeni za 2030 naona tayari zimeanzaWaziri Bashe anachapa kazi kwelikweli pale Wizara ya Kilimo kiasi cha kuwa tishio Kwa kundi la wasaka urais ndani ya CCM wanapoona anawaovershine
Kwa sasa moja ya mbinu wanazotumia ni kumchafua kwenye mitandao ya kijamii.
Unapoona Kigogo anamchafua Bashe ujue ni sehemu ya mkakati huo.
Huwezi kusema Bashe anaua zao la korosho kule kwenye mikoa ya kusini badala yake ni huyu Bashe ndiye anayewalinda wazalishaji wa zao huku akiwashughulikia kwa vitendo wafanyabiashara wanaowanyonya wakulima.
Maadui wa Bashe hawana hoja na ndio maana wanatumia ubaguzi kumchafua.
Bashe ni Mtanzania mzalendo,ni mwana CCM mahiri,Mbunge wa Nzenga mjini na ni msomi mzuri.
Kukesha mitandaoni kujadili asili ya Bashe ni upuuzi uliopindukia.
Kwasisi tuliosoma anthropology na tunajua vyema historia ya Tanzania na Afrika kwa ujumla tunashangazwa kuona bado kuna watu wana elements za ubaguzi.ukijua haya huwezi kuwa mbaguzi.
Mfano hata hawa wanaomchafua Bashe ni wabantu-Hivi hawajui kuwa hata wabantu ni wahamiaji hapa Tanzania?
Hivi ni nani anaweza kuhoji uzalendo wa Profesa Issa Shivji? je tusema Shivji ni Mhindi? uhindi wake unatusaidia nini?
Shivji ni Mtanzania mzalendo.Period.
Acheni Bashe afanye kazi.anatutoa kimasomaso kutokana na anavyosimamia vyema sekta ya kilimo na program ya BBT
Threat kubwa
1. Biashara ya sukari kuitaka iwe liberal
2. kudhibiti minada ya mazao Kwa kuweka sheria inayozuia directo mmoja kuleta kampuni 10 kwenye dhabuni
3. kudhibiti biashara ya mbolea na viwatilifu
4. minada kuendeshwa kidigitali
5. mtetezi wa falsafa ya local content n.k
SikweliLowasa na bashe ni vijana wa rostam
Sheria inakataza,labda tuzibadili.Waziri Bashe anachapa kazi kwelikweli pale Wizara ya Kilimo kiasi cha kuwa tishio Kwa kundi la wasaka urais ndani ya CCM wanapoona anawaovershine
Kwa sasa moja ya mbinu wanazotumia ni kumchafua kwenye mitandao ya kijamii.
Unapoona Kigogo anamchafua Bashe ujue ni sehemu ya mkakati huo.
Huwezi kusema Bashe anaua zao la korosho kule kwenye mikoa ya kusini badala yake ni huyu Bashe ndiye anayewalinda wazalishaji wa zao huku akiwashughulikia kwa vitendo wafanyabiashara wanaowanyonya wakulima.
Maadui wa Bashe hawana hoja na ndio maana wanatumia ubaguzi kumchafua.
Bashe ni Mtanzania mzalendo,ni mwana CCM mahiri,Mbunge wa Nzenga mjini na ni msomi mzuri.
Kukesha mitandaoni kujadili asili ya Bashe ni upuuzi uliopindukia.
Kwasisi tuliosoma anthropology na tunajua vyema historia ya Tanzania na Afrika kwa ujumla tunashangazwa kuona bado kuna watu wana elements za ubaguzi.ukijua haya huwezi kuwa mbaguzi.
Mfano hata hawa wanaomchafua Bashe ni wabantu-Hivi hawajui kuwa hata wabantu ni wahamiaji hapa Tanzania?
Hivi ni nani anaweza kuhoji uzalendo wa Profesa Issa Shivji? je tusema Shivji ni Mhindi? uhindi wake unatusaidia nini?
Shivji ni Mtanzania mzalendo.Period.
Acheni Bashe afanye kazi.anatutoa kimasomaso kutokana na anavyosimamia vyema sekta ya kilimo na program ya BBT
Threat kubwa
1. Biashara ya sukari kuitaka iwe liberal
2. kudhibiti minada ya mazao Kwa kuweka sheria inayozuia directo mmoja kuleta kampuni 10 kwenye dhabuni
3. kudhibiti biashara ya mbolea na viwatilifu
4. minada kuendeshwa kidigitali
5. mtetezi wa falsafa ya local content n.k
Pitia kwenye miradi ya umwagiliaji na mingine utapata picha halisiIsitoshe hana sifa yeyote ya maana zaid ya kumsifia tu. Kuna wizi mkubwa sana kwenye wizara yake hasa, kwenye mradi wa, wa, kilimo cha vijana. Kama kawaida Tanzania ni shamba, la Bibi tu. Hatujui tu nataka nn. Hata Nape ana wadudu na chawa wake wa, kumsifia.
Rostam akiwakilisha wafanyabiashara,mtu wao wa kumuweka ikulu alikua mlafi Lowasa, Nyerere akamtia laana 1995,wakaona wam-back up jakaya,walijua jakaya mpaka atoke madarakani Nyerere hatokuwepo,2015 ile pale,hela zile Lowasa alitoa wapi!?Sikweli
Bashe na rostam vijana wa lowasa
mkuu,watu hawataki kufatilia maswalaRostam akiwakilisha wafanyabiashara,mtu wao wa kumuweka ikulu alikua mlafi Lowasa, Nyerere akamtia laana 1995,wakaona wam-back up jakaya,walijua jakaya mpaka atoke madarakani Nyerere hatokuwepo,2015 ile pale,hela zile Lowasa alitoa wapi!?