nashicha
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 279
- 524
Hawa mawaziri wetu wamekuwa kama yule mpuliza filimbi wa Hamelin I kelele nyingi sana; wanashindana na MITANDAO leo nimeona kwenye tangazo moja mchele supaa kabisa kilo 1500 kutoka mikoani , akini kwa madukani na rejareja hapa Dsm Mchele unaofaa kula Sasa hivi ni 2800 na 3000.
Kwaninj tumefikia huko kama vyakula vipo. Je, nini kimesababisha bei kupanda mara mbili tatizo hapa lipo kwa wanasiasa sijui kwasababu wao wananunuliwa vyakula wanavikuta nyumbani gari wanawekewa mafuta kwa kodi zetu huku wakitulimbikizia tozo ili waweze kujigawawia?
Kwanini Mchele na unga vimepanda bei kiasi hiki SIWAONI wakijitokeza na kuwaukiza wauzaji namuomba Mh Bashe aache siasa kwenye maisha ya watu ajitokeze atoe tamko; je Kuna njaa au upungufu wa vyakula?
Kwaninj tumefikia huko kama vyakula vipo. Je, nini kimesababisha bei kupanda mara mbili tatizo hapa lipo kwa wanasiasa sijui kwasababu wao wananunuliwa vyakula wanavikuta nyumbani gari wanawekewa mafuta kwa kodi zetu huku wakitulimbikizia tozo ili waweze kujigawawia?
Kwanini Mchele na unga vimepanda bei kiasi hiki SIWAONI wakijitokeza na kuwaukiza wauzaji namuomba Mh Bashe aache siasa kwenye maisha ya watu ajitokeze atoe tamko; je Kuna njaa au upungufu wa vyakula?