Kitu usichokijua Option waliyoweka ulikuwa ukichagua Arts Somo la Mathematics ulioni, ukichagua Science unaliona.Kuna combination inaitwa EGM,hiyo n ya arts ndo mn unaona mathematics ipo kwenye arts lkn pia mathematics itahesabika kama sayans ikiwa kwenye pcm PCB na PGM
Sidhani Kama Kuna vyeti feki anaye omba ajiraWee acha hiyo kawapa joto wale wenye vyeti feki kuwa wanakaguwa alafu unakuta mtu alikua amepata asee kwani iyo system ipo jaman tuwape moyo hawa watu
Wapo wengi tu wengine wameramba hizi kazi kwasababu wanawatu tayar.Sidhani Kama Kuna vyeti feki anaye omba ajira
Kweli?Kuna combination inaitwa EGM,hiyo n ya arts ndo mn unaona mathematics ipo kwenye arts lkn pia mathematics itahesabika kama sayans ikiwa kwenye pcm PCB na PGM
Ushaidi?Wapo wengi tu wengine wameramba hizi kazi kwasababu wanawatu tayar.
Na wakubali tu ukweli, serikali ya ccm haina uwezo wa kuajiri wahitimu wote! Maana ilishafanya makosa huko nyuma. Hivyo kilichobakia kwa sasa kwa upande wao, ni kujiajiri tu!Waombaji 123,000 wakachukuliwa 9800.
Na wakitangaza tena nafasi 11,000 watakuwepo wale 121,000 ongeza kontena la 2022 ambalo wengi wamo wa diploma za phz.
Hata mwakani watachukuliwa madogo wa 2022.
Lazima vijana muambiwe ukweli kuwa kuna ambao hamtaajiliwa kamwe na serikali.
Shida iko hivi waziri wa TAMISEMI ana Fanya kazi za wizara ya Afya na elimu wakati mmoja hivyo anakuwa na majukumu mengi yanayomzidi mfano kutangaza matokeo na selection za form five hizo ni za waziri wa elimu kwa maoni yangu.Sijui kwa nini sasa tuna waziri wa afya na elimu.Kwa maoni yangu kama TAMISEMI inafanya majukumu Yao basi wasiwepo badala yake tuwe na katibu mkuu TAMISEMI afya na katibu mkuu TAMISEMI elimuMheshimiwa raise pole na majukumu na hongera kwa kuupiga mwingi
Kuna changamoto kwenye timu yako ambayo lazima ufanye mabadiriko ya lazima.
Waziri wa tamisemi bashungwa hawezi nafasi uliyompa ni kubwa mno.
Kuna kilio mtaani juu ya ajira za walimu zilizotoka hii sitaki kulizungumzia
Kuna selection mbovu sana za kidato Cha Tano sijui kama anajua
Kuna ongezeko la upigaji mwingi halimashauri yeye hatambui
Anafuatilia yanga kuliko wizara yake ndo kipaji chake
Ila Kabashungwa kapoleSioni kosa la Bashungwa.