Amesema kushusha na kupakia. Sio kupaki na kulaza.Stendi ya Magufuli ni Ndogo mbona viongoz wa kisiasa hawa wagumu kuelewa!? hivi abood, alsaedy, shabiby wakaleta gari zao kwa wakati mmoja si wanajaza stendi yote! tuwe na busara
Kuna Daraja la Kuvukia Juu labda kama halijaanza kutumika..Tatizo moja la stendi ya Magufuli ni kwamba haliko accesible kwa mabasi madogo yanayoleta na kupokea wasafiri.
Magufuli alisema anatambua ile ni stendi ya wanyonge na akataka iwahudumie accordingy. Sasa watu wanaosafiri na mabasi ya mikoani hawaletwi pale au kupokelewa pale na ma landcruisers binafsi. Lakini stendi kuu ya daladala, Mbezi Louis, iko opposite side of the highway. Wengi watapondwa na magari.
Tatizo la nchi yetu, watu wanao design miundombinu na mifumo mbali mbali ya umma, wao hawaitumii, kwa hiyo hawajui inavyofanya na isivyofanya kazi.
Disastrously poor designing.
Waziri wa Tamisemi mh Bashungwa ametoa siku 7 mabasi yote yanayotoka mikoani yawe yanaingia Magufuli bus terminal
Lengo ni kuiongezea serikali mapato amesisitiza
Source ITV habari
Jisaidie kabisa nyumbani kwakoHapo ambapo hakuna choo?
Waweke outlets za kukusanya ushuru wa stand. Sio lazima wakalipie huko stand.Sasa Mabasi yalikua yananyoosha, na ushuru haulipwi, ndo hoja ya Waziri
Stand zinakwenda kujengwa nje ya mji unategemea nini, gharama ya mtu kutoka mbagala,chanika,kigamboni or ukongaetc mpaka kufika stand ya mbezi gharama yake asubuhi inaweza shinda nauli ya mkoanii, hivyo kampuni nyingi zimeona zifuate wananchi walipo which is very fair, na mara nyingi unakuta basi likifika stand ya magufuli limeshajaa, hapo wanapandia watu wa maeneo ya huko tu.so mi naafiki hoja ya waziri ya kupita pale ila iwe kwa wanaopandia hapo sawa ila wakishashusha abiria wa hapo waendelee kuwapeleka abiria wengine mpaka mwisho wa basi kama ni chanika ama mbagala ama popote basi linapoishia.hii imerahisisha sana usafiri na kupunguza makali ya nauli kwa abiriaMkuu, Kuna magari hayaingii kabisa pale. Mfano, tahmeed, Kilimanjaro, bm, etc. Kifupi gari nyingi za kwenda kaskazini zinazopaki shekilango hazipiti mbezi(asubuhi) na haziingii(kwa zinazotoka mkoani).
Ushuri wa nini na hayajatumia huduma za hapo?Sasa Mabasi yalikua yananyoosha, na ushuru haulipwi, ndo hoja ya Waziri
Anatafuta jinsi ya kula kwa kamba yake huyo. Siku zitaisha na shekilango kitaendelea kuwa kituo holela cha mabasi. Usicheze na kitu inaitwa fweza.Waziri wa Tamisemi Mhe. Bashungwa leo amesisitiza mabasi yote yaendayo Mikoani pamoja na nchi jirani lazima yapakie na kushushia abiria katika kituo kikuu cha Mabasi cha Magufuli ameyasema hayo leo wakati akizungumza na wadau wa usafirishaji.
Ni vyema waziri kalizungumzia hilo maana hali ilipo kuwa imefikia ilikuwa ni vurugu yaani kama vile hakuna wasimamizi wa sheria au hakuna viongozi maana kila basi illikuwa inaamua ikapakie abiria wapi na ikashushie wapi!! askari wapo! wanaangalia jinsi watu wanavyo vunja sheria!!
Hapana, lazima kituo chetu cha Magufuli kitumiwe kama ilivyo kusudiwa, hivyo ni vyema wenye mamlaka wakasimamia hilo.
===
Waziri Bashungwa atoa siku saba Stendi Kuu ya Magufuli-Dar
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Innocent Bashungwa ametoa siku saba kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla kukutana na LATRA, Wadau na Wamiliki wa Mabasi kuweka uratibu mzuri wa kusimamia maelekezo ya Serikali kwa mabasi yote kushusha na kupakia abiria ndani ya Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli jijini Dar es salaam.
Bashungwa ametoa maelekezo hayo leo Mei 30, 2022 wakati akikagua mradi wa Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli (Magufuli Bus Terminal) kilichopo Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam.
Amesema, Serikali imetumia kiasi cha shilingi bilioni 50 kujenga kituo hicho, hivyo Serikali haitakubaliana na watu ambao hawazingatii utaratibu uliowekwa katika kituo hicho.
“Ninafahamu kuwa Mkuu wa Mkoa, Amos Makalla ameshapokea changamoto ya Mabasi kutoingia ndani ya kituo hiki cha Magufuli na mimi nimekuta changamoto bado iko pale pale, sasa kwa sababu ameshanza kulifanyia kazi nampa siku saba awe amekutana na LATRA pamoja na wadu wa mabasi (TABOA) kuangalia utaratibu wa mabasi yote kuingia ndani ya kituo kushusha na kupakia abiria,”amesema Bashungwa.
Pia Mheshimiwa Bashungwa amemuagiza Mkuu wa Wilaya Ubungo, Kheri James kuweka utaratibu wa kukutana mara kwa mara na Wadau wa Kituo cha Magufuli, Mawakala na Makalani ili kusikiza na kuweka utaratibu wa kutatua changamoto ambazo zimekuwa zikijitokeza katika kituo hicho na kuzifanyia kazi kwa ushirikiano.
Daraja la kuvusha watu lipoTatizo moja la stendi ya Magufuli ni kwamba haliko accesible kwa mabasi madogo yanayoleta na kupokea wasafiri.
Magufuli alisema anatambua ile ni stendi ya wanyonge na akataka iwahudumie accordingy.
Sasa watu wanaosafiri na mabasi ya mikoani hawaletwi pale au kupokelewa pale na ma landcruisers binafsi.
Lakini stendi kuu ya daladala, Mbezi Louis, iko opposite side of the highway. Wengi watapondwa na magari.
Tatizo la nchi yetu, watu wanao design miundombinu na mifumo mbali mbali ya umma, wao hawaitumii, kwa hiyo hawajui inavyofanya na isivyofanya kazi.
Disastrously poor designing.
Kuna magari hawana abiria wa stand ya mbezi, huwa wanaenda kulipa uhuru na kuondoka. Mfano gari toka Tanga kwenda Mtwara zinapita stand mbezi wanalipa ushuru na kwenda mbagala, sasa abiria wengi wanashuka shekilango. Sasa mnataka hayo mabasi yasishushe na kupakia abiria shekilango?Mkuu, Kuna magari hayaingii kabisa pale. Mfano, tahmeed, Kilimanjaro, bm, etc. Kifupi gari nyingi za kwenda kaskazini zinazopaki shekilango hazipiti mbezi(asubuhi) na haziingii(kwa zinazotoka mkoani).
Mamiradi yote ya Mwendazake ni useless na liability mpaka watu walazimishwe kutatumia..Waziri wa Tamisemi Mhe. Bashungwa leo amesisitiza mabasi yote yaendayo Mikoani pamoja na nchi jirani lazima yapakie na kushushia abiria katika kituo kikuu cha Mabasi cha Magufuli ameyasema hayo leo wakati akizungumza na wadau wa usafirishaji.
Ni vyema waziri kalizungumzia hilo maana hali ilipo kuwa imefikia ilikuwa ni vurugu yaani kama vile hakuna wasimamizi wa sheria au hakuna viongozi maana kila basi illikuwa inaamua ikapakie abiria wapi na ikashushie wapi!! askari wapo! wanaangalia jinsi watu wanavyo vunja sheria!!
Hapana, lazima kituo chetu cha Magufuli kitumiwe kama ilivyo kusudiwa, hivyo ni vyema wenye mamlaka wakasimamia hilo.
===
Waziri Bashungwa atoa siku saba Stendi Kuu ya Magufuli-Dar
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Innocent Bashungwa ametoa siku saba kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla kukutana na LATRA, Wadau na Wamiliki wa Mabasi kuweka uratibu mzuri wa kusimamia maelekezo ya Serikali kwa mabasi yote kushusha na kupakia abiria ndani ya Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli jijini Dar es salaam.
Bashungwa ametoa maelekezo hayo leo Mei 30, 2022 wakati akikagua mradi wa Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli (Magufuli Bus Terminal) kilichopo Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam.
Amesema, Serikali imetumia kiasi cha shilingi bilioni 50 kujenga kituo hicho, hivyo Serikali haitakubaliana na watu ambao hawazingatii utaratibu uliowekwa katika kituo hicho.
“Ninafahamu kuwa Mkuu wa Mkoa, Amos Makalla ameshapokea changamoto ya Mabasi kutoingia ndani ya kituo hiki cha Magufuli na mimi nimekuta changamoto bado iko pale pale, sasa kwa sababu ameshanza kulifanyia kazi nampa siku saba awe amekutana na LATRA pamoja na wadu wa mabasi (TABOA) kuangalia utaratibu wa mabasi yote kuingia ndani ya kituo kushusha na kupakia abiria,”amesema Bashungwa.
Pia Mheshimiwa Bashungwa amemuagiza Mkuu wa Wilaya Ubungo, Kheri James kuweka utaratibu wa kukutana mara kwa mara na Wadau wa Kituo cha Magufuli, Mawakala na Makalani ili kusikiza na kuweka utaratibu wa kutatua changamoto ambazo zimekuwa zikijitokeza katika kituo hicho na kuzifanyia kazi kwa ushirikiano.
Stand zinakwenda kujengwa nje ya mji unategemea nini, gharama ya mtu kutoka mbagala,chanika,kigamboni or ukongaetc mpaka kufika stand ya mbezi gharama yake asubuhi inaweza shinda nauli ya mkoanii, hivyo kampuni nyingi zimeona zifuate wananchi walipo which is very fair, na mara nyingi unakuta basi likifika stand ya magufuli limeshajaa, hapo wanapandia watu wa maeneo ya huko tu.so mi naafiki hoja ya waziri ya kupita pale ila iwe kwa wanaopandia hapo sawa ila wakishashusha abiria wa hapo waendelee kuwapeleka abiria wengine mpaka mwisho wa basi kama ni chanika ama mbagala ama popote basi linapoishia.hii imerahisisha sana usafiri na kupunguza makali ya nauli kwa abiria
Ni kweli. Kuna siku nieshuka Mbezi saa 6 usiku kutoka Mwanza, nilipata shida sana kuvuka kuja kupata magari ya Gongolamboto. Kwanza, lile daraja la kuvukia lilikuwa limejaa wahuni. Huwezi kuvukia huko kwa usalama. Pili kuvuka barabara kuu ni risk. Wakati huo magari yanakuwa hayajali, yankimbia kasi sana. Hatari ya kugongwa ni kubwaTatizo moja la stendi ya Magufuli ni kwamba haliko accesible kwa mabasi madogo yanayoleta na kupokea wasafiri.
Magufuli alisema anatambua ile ni stendi ya wanyonge na akataka iwahudumie accordingy.
Sasa watu wanaosafiri na mabasi ya mikoani hawaletwi pale au kupokelewa pale na ma landcruisers binafsi.
Lakini stendi kuu ya daladala, Mbezi Louis, iko opposite side of the highway. Wengi watapondwa na magari.
Tatizo la nchi yetu, watu wanao design miundombinu na mifumo mbali mbali ya umma, wao hawaitumii, kwa hiyo hawajui inavyofanya na isivyofanya kazi.
Disastrously poor designing.
Sio abaki na mav. Yake!!?!Jisaidie kabisa nyumbani kwako