Wanasiasa hawana kauli za ukweli hata kama ukweli wanujuaStendi ya Magufuli ni Ndogo mbona viongozi wa kisiasa hawa wagumu kuelewa!?
Hivi abood, Alsaedy, Shabiby wakaleta gari zao kwa wakati mmoja si wanajaza stendi yote! Tuwe na busara
Kwa hiyo wanataka watu wote kupandia na kushuka stendi ya Magufuli wakati bus linaelekea mjini mpaka Shekilango au Mbagala likiwa tupu. Halafu wale abiria walioshuka stendi ya Magufuli waanze kuhangaika tena na usafiri wa kwenda Mbagala kwa pesa nyingine tena!!!!Stendi ya Magufuli ni Ndogo mbona viongozi wa kisiasa hawa wagumu kuelewa!?
Hivi abood, Alsaedy, Shabiby wakaleta gari zao kwa wakati mmoja si wanajaza stendi yote! Tuwe na busara
Hiyo stend haiwezi kuhimili mabasi yote Kwa Muda wa Asubhi aache utaniWaziri wa Tamisemi Mhe. Bashungwa leo amesisitiza mabasi yote yaendayo Mikoani pamoja na nchi jirani lazima yapakie na kushushia abiria katika kituo kikuu cha Mabasi cha Magufuli ameyasema hayo leo wakati akizungumza na wadau wa usafirishaji.
Ni vyema waziri kalizungumzia hilo maana hali ilipo kuwa imefikia ilikuwa ni vurugu yaani kama vile hakuna wasimamizi wa sheria au hakuna viongozi maana kila basi illikuwa inaamua ikapakie abiria wapi na ikashushie wapi!! askari wapo! wanaangalia jinsi watu wanavyo vunja sheria!!
Hapana, lazima kituo chetu cha Magufuli kitumiwe kama ilivyo kusudiwa, hivyo ni vyema wenye mamlaka wakasimamia hilo.
===
Waziri Bashungwa atoa siku saba Stendi Kuu ya Magufuli-Dar
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Innocent Bashungwa ametoa siku saba kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla kukutana na LATRA, Wadau na Wamiliki wa Mabasi kuweka uratibu mzuri wa kusimamia maelekezo ya Serikali kwa mabasi yote kushusha na kupakia abiria ndani ya Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli jijini Dar es Salaam.
Bashungwa ametoa maelekezo hayo leo Mei 30, 2022 wakati akikagua mradi wa Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli (Magufuli Bus Terminal) kilichopo Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam.
Amesema, Serikali imetumia kiasi cha shilingi bilioni 50 kujenga kituo hicho, hivyo Serikali haitakubaliana na watu ambao hawazingatii utaratibu uliowekwa katika kituo hicho.
“Ninafahamu kuwa Mkuu wa Mkoa, Amos Makalla ameshapokea changamoto ya Mabasi kutoingia ndani ya kituo hiki cha Magufuli na mimi nimekuta changamoto bado iko pale pale, sasa kwa sababu ameshanza kulifanyia kazi nampa siku saba awe amekutana na LATRA pamoja na wadu wa mabasi (TABOA) kuangalia utaratibu wa mabasi yote kuingia ndani ya kituo kushusha na kupakia abiria,”amesema Bashungwa.
Pia Mheshimiwa Bashungwa amemuagiza Mkuu wa Wilaya Ubungo, Kheri James kuweka utaratibu wa kukutana mara kwa mara na Wadau wa Kituo cha Magufuli, Mawakala na Makalani ili kusikiza na kuweka utaratibu wa kutatua changamoto ambazo zimekuwa zikijitokeza katika kituo hicho na kuzifanyia kazi kwa ushirikiano.
Abiria wanaopandia Ubungo wanapandia wapi bus linalotoka say Shekilango?Sasa Mabasi yalikuwa yananyoosha, na ushuru haulipwi, ndio hoja ya Waziri
Hawakufikiri kabla ya kujengaIngawa waziri amechelewa kutoa hilo tamko wasiwasi wangu watamtii? Watu wa mabasi ni wakorofi sana. Kuna makampuni kama Dar Express hata Arusha hawaingii stand kuu, Dar wanashusha na kupakia pale Shekilango walinipa shida sana siku moja wakati huo nilitakiwa niunganishe safari kwenda kusini Tunduru kumbuka una mizigo nilipata gharama ya ziada. Hata mabasi yayotoka kusini km Lindi, Mtwara, Masasi, Tnduru, Songea yanaishia Temeke mwisho. Fikiria kesho yake unatakiwa uunge kwenda kaskazini Arusha una mizigo unafikaje stand ya Magufuli. Nawashangaa LATRA ni mpaka waziri awaboost? na Jeshi la Polisi je? Taasisi nyingi za nchi hii zina shida sana.
Sasa kama hakuna ulazima, kwanini mlazimishe zipite?Mkuu, Kuna magari hayaingii kabisa pale. Mfano, tahmeed, Kilimanjaro, bm, etc.
Kifupi gari nyingi za kwenda kaskazini zinazopaki Shekilango hazipiti Mbezi(asubuhi) na haziingii(kwa zinazotoka mkoani).
Well said. Hii serikali inalazimisha kufanya maisha ya wana Dar es Salaam kuwa magumu sana bila sababu ya msingi. Ili mtu atoke Chanika/ Vikindu, Kisarawe II, au Mgeni Nani awahi basi saa 12:00 asubuhi kituo cha Magufuli inabidi alale stendi. Kama atalala nyumbani kwake atalazimika kukodi usafiri ambao utamgharimu fedha nyingi sana. Baadhi ya makampuni ya mabasi yameweka utaratibu wa kuanzia maeneo mbalimbali na abiria, na baadaye ayanapita Stendi ya Magufuli yanachukua abiria wanapandia hapo, hayapitizi kabisa. Vile vile mabasi yanayoanzia Urafiki yanachukua abiria wa maeneo ya karibu na hapo yanaondoka nao hadi stendi ya Magufuli yanalipa ushuru, shida iko wapi?Mtoa mada unafurahia ujinga tu bila kutumia Busara, Basi likianzia Mbagala halafu likaingia hapo Magufuli likalipa ushuru kama kawaida nini kitapungua? Kuna abiria wanatoka mbali sana kumbuka.
Hii ni kutaka kuwatesa abiria tu, Abiria anayetokea mbagala akodishe taxi kutoka mbagala mpaka stendi ya Magufuli atatozwa bei gani ??!! Au waziri amesahau kuwa watu wengi nchi hii hawana magari ya kutembelea !! Na Madaladala asubuhi huwa ni vurugu tu na kuibiana !! Kuna tatizo gani abiria wakipandia sehemu nyingine baadhi yao na kisha Bus lipitie hapo Stendi ya Magufuli ??Mtoa mada unafurahia ujinga tu bila kutumia Busara, Basi likianzia Mbagala halafu likaingia hapo Magufuli likalipa ushuru kama kawaida nini kitapungua? Kuna abiria wanatoka mbali sana kumbuka.
Well said. Hii serikali inalazimisha kufanya maisha ya wana Dar es Salaam kuwa magumu sana bila sababu ya msingi. Ili mtu atoke Chanika/ Vikindu, Kisarawe II, au Mgeni Nani awahi basi saa 12:00 asubuhi kituo cha Magufuli inabidi alale stendi. Kama atalala nyumbani kwake atalazimika kukodi usafiri ambao utamgharimu fedha nyingi sana. Baadhi ya makampuni ya mabasi yameweka utaratibu wa kuanzia maeneo mbalimbali na abiria, na baadaye ayanapita Stendi ya Magufuli yanachukua abiria wanapandia hapo, hayapitizi kabisa. Vile vile mabasi yanayoanzia Urafiki yanachukua abiria wa maeneo ya karibu na hapo yanaondoka nao hadi stendi ya Magufuli yanalipa ushuru, shida iko wapi?
Stendi ya Magufuli ni Ndogo mbona viongozi wa kisiasa hawa wagumu kuelewa!?
Hivi abood, Alsaedy, Shabiby wakaleta gari zao kwa wakati mmoja si wanajaza stendi yote! Tuwe na busara
Wamiliki wa mabasi pamoja na wananchi hawapendi jina la kituo hicho, hawakutaka kiitwe magufuli, wanamchukia sanaWaziri wa Tamisemi Mhe. Bashungwa leo amesisitiza mabasi yote yaendayo Mikoani pamoja na nchi jirani lazima yapakie na kushushia abiria katika kituo kikuu cha Mabasi cha Magufuli ameyasema hayo leo wakati akizungumza na wadau wa usafirishaji.
Ni vyema waziri kalizungumzia hilo maana hali ilipo kuwa imefikia ilikuwa ni vurugu yaani kama vile hakuna wasimamizi wa sheria au hakuna viongozi maana kila basi illikuwa inaamua ikapakie abiria wapi na ikashushie wapi!! askari wapo! wanaangalia jinsi watu wanavyo vunja sheria!!
Hapana, lazima kituo chetu cha Magufuli kitumiwe kama ilivyo kusudiwa, hivyo ni vyema wenye mamlaka wakasimamia hilo.
===
Waziri Bashungwa atoa siku saba Stendi Kuu ya Magufuli-Dar
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Innocent Bashungwa ametoa siku saba kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla kukutana na LATRA, Wadau na Wamiliki wa Mabasi kuweka uratibu mzuri wa kusimamia maelekezo ya Serikali kwa mabasi yote kushusha na kupakia abiria ndani ya Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli jijini Dar es Salaam.
Bashungwa ametoa maelekezo hayo leo Mei 30, 2022 wakati akikagua mradi wa Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli (Magufuli Bus Terminal) kilichopo Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam.
Amesema, Serikali imetumia kiasi cha shilingi bilioni 50 kujenga kituo hicho, hivyo Serikali haitakubaliana na watu ambao hawazingatii utaratibu uliowekwa katika kituo hicho.
“Ninafahamu kuwa Mkuu wa Mkoa, Amos Makalla ameshapokea changamoto ya Mabasi kutoingia ndani ya kituo hiki cha Magufuli na mimi nimekuta changamoto bado iko pale pale, sasa kwa sababu ameshanza kulifanyia kazi nampa siku saba awe amekutana na LATRA pamoja na wadu wa mabasi (TABOA) kuangalia utaratibu wa mabasi yote kuingia ndani ya kituo kushusha na kupakia abiria,”amesema Bashungwa.
Pia Mheshimiwa Bashungwa amemuagiza Mkuu wa Wilaya Ubungo, Kheri James kuweka utaratibu wa kukutana mara kwa mara na Wadau wa Kituo cha Magufuli, Mawakala na Makalani ili kusikiza na kuweka utaratibu wa kutatua changamoto ambazo zimekuwa zikijitokeza katika kituo hicho na kuzifanyia kazi kwa ushirikiano.
CAG akikagua hiyo bilioni 50, tutarudi hapa tumeshikana masharti, bilioni 50 na bado stendi haijaishaNaamini Jeshi la Polisi ndio jukumu lao kusimamia utekelezaji wa sheria na taratibu, hivyo watakuwa imara zaidi.
ni aibu kuona sheria zinavunjwa wakati wasimamizi wapo, viongozi wapo!
Stendi ya Kimataifa ya Magufuli imekuwa Gumzo ktk nchi zingine kwa kuwa kituo kikubwa na cha kisasa, hivyo ni muhimu viongozi wetu wakaelewa kuwa STENDI YA MABASI YA MAGUFULI ni UCHUMI wa NCHI.
SERIKALI imewekeza 50Billion sasa tunaanza kufanya mzaha na kupuuza kwa nini? Hapana hii haikubaliki.
Nchi ya matamkoWaziri wa Tamisemi Mhe. Bashungwa leo amesisitiza mabasi yote yaendayo Mikoani pamoja na nchi jirani lazima yapakie na kushushia abiria katika kituo kikuu cha Mabasi cha Magufuli ameyasema hayo leo wakati akizungumza na wadau wa usafirishaji.
Ni vyema waziri kalizungumzia hilo maana hali ilipo kuwa imefikia ilikuwa ni vurugu yaani kama vile hakuna wasimamizi wa sheria au hakuna viongozi maana kila basi illikuwa inaamua ikapakie abiria wapi na ikashushie wapi!! askari wapo! wanaangalia jinsi watu wanavyo vunja sheria!!
Hapana, lazima kituo chetu cha Magufuli kitumiwe kama ilivyo kusudiwa, hivyo ni vyema wenye mamlaka wakasimamia hilo.
===
Waziri Bashungwa atoa siku saba Stendi Kuu ya Magufuli-Dar
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Innocent Bashungwa ametoa siku saba kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla kukutana na LATRA, Wadau na Wamiliki wa Mabasi kuweka uratibu mzuri wa kusimamia maelekezo ya Serikali kwa mabasi yote kushusha na kupakia abiria ndani ya Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli jijini Dar es Salaam.
Bashungwa ametoa maelekezo hayo leo Mei 30, 2022 wakati akikagua mradi wa Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli (Magufuli Bus Terminal) kilichopo Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam.
Amesema, Serikali imetumia kiasi cha shilingi bilioni 50 kujenga kituo hicho, hivyo Serikali haitakubaliana na watu ambao hawazingatii utaratibu uliowekwa katika kituo hicho.
“Ninafahamu kuwa Mkuu wa Mkoa, Amos Makalla ameshapokea changamoto ya Mabasi kutoingia ndani ya kituo hiki cha Magufuli na mimi nimekuta changamoto bado iko pale pale, sasa kwa sababu ameshanza kulifanyia kazi nampa siku saba awe amekutana na LATRA pamoja na wadu wa mabasi (TABOA) kuangalia utaratibu wa mabasi yote kuingia ndani ya kituo kushusha na kupakia abiria,”amesema Bashungwa.
Pia Mheshimiwa Bashungwa amemuagiza Mkuu wa Wilaya Ubungo, Kheri James kuweka utaratibu wa kukutana mara kwa mara na Wadau wa Kituo cha Magufuli, Mawakala na Makalani ili kusikiza na kuweka utaratibu wa kutatua changamoto ambazo zimekuwa zikijitokeza katika kituo hicho na kuzifanyia kazi kwa ushirikiano.
Wenye kupambana na Hali Yao wanatamani Mabasi yawachukue karibia na wanakoishi, ila wanasiasa wasiojua ukubwa WA dar, na ambao wanawachanganya wenye mabasi waliotoa huruma kuwasaidia wananchi wao wapo dodoma wanasababishia Dar matatizo, huyu Waziri sijui anatafakari vipi!?Stendi ya Magufuli ni Ndogo mbona viongozi wa kisiasa hawa wagumu kuelewa!?
Hivi abood, Alsaedy, Shabiby wakaleta gari zao kwa wakati mmoja si wanajaza stendi yote! Tuwe na busara
Sijui huyu Waziri anamfurahisha nani watu wanaamka saa Tisa hawajui watafikaje huko Magufuli!? Yeye ana vx anajifanyisha kuwatetea!?Stendi ile haina miundombinu accessible. Ingetakiwa eneo liwe na accessible train au dalalala za kuelekea mjini.
Hajui analolifanya Kwa kweli sijui kinamuwasha nini huyu Mtu, alizuia boda boda kuwekewa utaratibu na kuvuruga Jiji lote na Bado anazidi kufanya mambo yake ya kuchefua watuHuyu Waziri hajui kwamba anazipunguza kwa wingi kura za CCM mwaka 2025 kwa amri anazotoa.