Nilikuwa ninaitafuta hii comment.
Barabara anazozitaja mtoa mada zipo chini ya TARURA ambayo kimsingi wazara husika ni TAMISEMI ambayo Waziri wake ni Mchengerwa.
NB: Hata kama Bashungwa alitoa ahadi akiwa waziri wa TAMISEMI, bado hastaihili kulaumiwa.