Waziri Bashungwa simamia na kukamilisha miradi ya barabara za Dar au ujiuzulu na kumpisha anayeweza

Jiji linatakiwa kuweza kujigharamia miundombinu yake. Sasa nini maana ya jiji kama haliwezi kujigharamia?
 
Kwa maneno machache sana, Mtoa mada hajielewi na hajui anataka nini, huyu ndiyo wale wanaamini mbunge analeta maendeleo na siyo serikali inayoweka mazingira mazuri wananchi kujikwamua.
Kama hujui uendako huwezi kupotea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…