Waziri Biteko awaasa wapambe wake kuacha ushamba

Waziri Biteko awaasa wapambe wake kuacha ushamba

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Alikuwa anaongea kana,anasema watu wengine katika wizara yake wanamonopolize gari,hawataki mtu mwingine alitumie,kwa hiyo wakati mwingine kazi hazifanyiki wakati gari ziko idle. Huo ni ushamba,amesema.

Sawa,labda ni ushamba. Lakini ushamba ndio unaoliokoa Taifa. Watu washamba ndio wanaotunza maadili mema ya Taifa,siyo hao watu wanaotaka kufanya mambo ya "kisasa".

Fikiria inakuwaje, kwa mfano,kama umeiweka simu yako pahali, halafu ghafla imetoweka,na Ina mashaka kwamba imeibwa.

Unasikiliza kwa makini kusikia kama kuna mtu ataongea kuhusu washamba.

Ndivyo kama ilivyo kwa huyu Waziri Biteko. Kuongea kwake kuhusu washamba kunaleta mashaka. Hizi ni ambiguous statements at best ambazo zinaharibu morals za watu
 
Nidhamu katika matumizi ya rasilimali ni pamoja na kila ofisi au idara kutumia gari zao wenyewe, hii italeta uwajibikaji wa kuyafanya yadumu kwa kufanyiwa matengenezo yanapohitajika. Huwezi kuharibu gari lako ukataka kudandia ya wengine.
 
wewe nawe ni mshamba
Yule waziri alikuwa implicated,directly or indirectly kwenye kashfa kubwa. Ni sawa kwa yule waziri kuongea kuhusu washamba? He must stop it. Period. We are not playing games.
 
Mambo ya ajabu kabisa haya Waziri wa Nchi maskini toka dunia ya tatu inayoongoza kwa mikopo akililia gari.
 
Biteko tangu aitukane Chuo Kikuu Mzumbe ambako alisoma Mama Samia nilishamdharau
 
Alikuwa anaongea kana,anasema watu wengine katika wizara yake wanamonopolize gari,hawataki mtu mwingine alitumie,kwa hiyo wakati mwingine kazi hazifanyiki wakati gari ziko idle. Huo ni ushamba,amesema.

Sawa,labda ni ushamba. Lakini ushamba ndio unaoliokoa Taifa. Watu washamba ndio wanaotunza maadili mema ya Taifa,siyo hao watu wanaotaka kufanya mambo ya "kisasa".

Fikiria inakuwaje, kwa mfano,kama umeiweka simu yako pahali, halafu ghafla imetoweka,na Ina mashaka kwamba imeibwa.

Unasikiliza kwa makini kusikia kama kuna mtu ataongea kuhusu washamba.

Ndivyo kama ilivyo kwa huyu Waziri Biteko. Kuongea kwake kuhusu washamba kunaleta mashaka. Hizi ni ambiguous statements at best ambazo zinaharibu morals za watu
Nyani
 
Alikuwa anaongea kana,anasema watu wengine katika wizara yake wanamonopolize gari,hawataki mtu mwingine alitumie,kwa hiyo wakati mwingine kazi hazifanyiki wakati gari ziko idle. Huo ni ushamba,amesema.

Sawa,labda ni ushamba. Lakini ushamba ndio unaoliokoa Taifa. Watu washamba ndio wanaotunza maadili mema ya Taifa,siyo hao watu wanaotaka kufanya mambo ya "kisasa".

Fikiria inakuwaje, kwa mfano,kama umeiweka simu yako pahali, halafu ghafla imetoweka,na Ina mashaka kwamba imeibwa.

Unasikiliza kwa makini kusikia kama kuna mtu ataongea kuhusu washamba.

Ndivyo kama ilivyo kwa huyu Waziri Biteko. Kuongea kwake kuhusu washamba kunaleta mashaka. Hizi ni ambiguous statements at best ambazo zinaharibu morals za watu
Na wewe inaonekana ni mshamba
 
We Mroma,unapenda kusoma Tantra?
Ngoja nikutafsirie Tantra usome kidogo,

Akitaka mafanikio ya juu kabisa anatoa taa yenye mafuta ya binadamu. Anatoa nyama ya [151 binadamu, punda [16], ngamia, mbwa, mbweha, nyati, tembo, ng'ombe, kondoo dume, kulungu na nguruwe. Pia anatoa nyama ya tai, bundi, kunguru, mwewe, korongo, bata, korongo, tausi, ndege wa mwituni, mina na tai .
 
Back
Top Bottom