Wakati unataka kuunganishiwa huduma ya umeme kama nyumba iko mbali kila nguzo moja ni sh. 515,000/, nguzo ni mali ya shirika, mwananchi ni mteja wa huduma ya umeme kwanini alipie nguzo?
Huu ni uonevu mkubwa sana. Kwanini mwananchi anunue kitu ambacho si mali yake? Mlitegemea bila nguzo mngesambazqje hiyo bidhaa yenu, yaani umeme?
Hii haina logic kabisa. Huku Arumeru hakuna cha kijiji kila eneo hiyo ndiyo bei yake. Serikali ituletee kampuni zingine za kusambaza umeme kuwe na ushindani
Huu ni uonevu mkubwa sana. Kwanini mwananchi anunue kitu ambacho si mali yake? Mlitegemea bila nguzo mngesambazqje hiyo bidhaa yenu, yaani umeme?
Hii haina logic kabisa. Huku Arumeru hakuna cha kijiji kila eneo hiyo ndiyo bei yake. Serikali ituletee kampuni zingine za kusambaza umeme kuwe na ushindani