Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu , mimi nipo mjini kitambo ambako huyo REA hayupo, sasa unanikata hiyo 3% ya REA kwa kigezo gani wakati REA yenywe ni msaada tu wa kutoa bure.Kwa hiyo hizo 3% wanakata za REA wakati wa kununua LUKU, zinaenda wapi? Au na wewe unapewa mshiko
Ni wizi wa kalamu, Kumbe hujawahi kununua luku, una umri gani
Ulikuwa na nguzo ngapi?Nilipata bili 4.5M...kwa ajili ya kuvuta kijijijini.Nikawaza kwa hali hii watu kijijini watu ambao REA haikupita watavuta umeme kweli..??