KERO Waziri Biteko, kwanini nguzo moja ya umeme ilipiwe Tsh 515,000/ wakati ni mali ya shirika? Huu unyanyasaji mpaka lini?

KERO Waziri Biteko, kwanini nguzo moja ya umeme ilipiwe Tsh 515,000/ wakati ni mali ya shirika? Huu unyanyasaji mpaka lini?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Vipi kuhusu mabomba ya maji yanayoleta maji nyumbani kwako na mita ya maji, hua ni bure pia eeh?? Au unaruhusiwa kuviuza kwakua ulivilipia?
ndio sasa uone tatizo la umonopoly. taasisi za serikali zinatumia mwanya wa kuwa monopoly kuwanyonya wananchi. Ingelikuwa kuna kampuni binafsi zinatoa huduma same, bila shaka miundombinu wangekufungia bure maana inabaki kuwa ya kwao.
Ntakupa mfano, nimefunga fiber ya tigo mimi nimelipia kifurushi tu, wao wameniletea waya, rooter wakafunga kwa gharama zao maana vinabaki kuwa vya kwao. Sasa uliza ttcl inakuaje ndo utaelewa.
 
ndio sasa uone tatizo la umonopoly. taasisi za serikali zinatumia mwanya wa kuwa monopoly kuwanyonya wananchi. Ingelikuwa kuna kampuni binafsi zinatoa huduma same, bila shaka miundombinu wangekufungia bure maana inabaki kuwa ya kwao.
Ntakupa mfano, nimefunga fiber ya tigo mimi nimelipia kifurushi tu, wao wameniletea waya, rooter wakafunga kwa gharama zao maana vinabaki kuwa vya kwao. Sasa uliza ttcl inakuaje ndo utaelewa.
Out of point (ulitumia taratibu zipi kufungiwa fiber ya tigo)
 
Out of point (ulitumia taratibu zipi kufungiwa fiber ya tigo)
Wamesambaza nguzo zao za nyaya za fiber dar es salaam, wakitoka wanaenda dodoma. kuna nguzo zinapita nje hapa kwangu, hivyo wana ma sales wanapitapita mtaani nyumba kwa nyumba wakitangaza huduma, yao so nilichukua namba, akanitumia lipa namba nikalipa, baada ya siku 2 wakaja masurveyor, na leo wakaja kunifungia yani mchakato mzima umekuwa ndani ya siku 5.
 
Out of point (ulitumia taratibu zipi kufungiwa fiber ya tigo)
Wamesambaza nguzo zao za nyaya za fiber dar es salaam, wakitoka wanaenda dodoma. kuna nguzo zinapita nje hapa kwangu, hivyo wana ma sales wanapitapita mtaani nyumba kwa nyumba wakitangaza huduma, yao so nilichukua namba, akanitumia lipa namba nikalipa, baada ya siku 2 wakaja masurveyor, na leo wakaja kunifungia yani mchakato mzima umekuwa ndani ya siku 5.
 
Out of point (ulitumia taratibu zipi kufungiwa fiber ya tigo)
Wamesambaza nguzo zao za nyaya za fiber dar es salaam, wakitoka wanaenda dodoma. kuna nguzo zinapita nje hapa kwangu, hivyo wana ma sales wanapitapita mtaani nyumba kwa nyumba wakitangaza huduma, yao so nilichukua namba, akanitumia lipa namba nikalipa, baada ya siku 2 wakaja masurveyor, na leo wakaja kunifungia yani mchakato mzima umekuwa ndani ya siku 5.
 
Shirika linapewa bure hizo nguzo?? Na kama ungependa iwe mali yako kwakuwa unalipia je uko tayari kulipia nguzo mpya kila mara inapotakiwa kubadilishwa?? Vipi kuhusu mita ya umeme nayo si unalipia, uko tayari kulipia kila inapopata hitilafu??
Sawa niko tayari
 
Kinachofanyika ni uhuni tu, wapo wananchi wanahitaji nguzo 1 au 2 apate umeme lkn waliomba hawapewi huo umeme bali wanaambiwa wasubiri umeme wa REA upite tena.
 
Tanesco kama Shirika la Umma tumelipa ridhaa ya kutoa huduma kutuuzia nguzo ni WRONG!
 
Shirika linapewa bure hizo nguzo?? Na kama ungependa iwe mali yako kwakuwa unalipia je uko tayari kulipia nguzo mpya kila mara inapotakiwa kubadilishwa?? Vipi kuhusu mita ya umeme nayo si unalipia, uko tayari kulipia kila inapopata hitilafu??
Wewe unaishi Tz kweli?

Mimi niliwaambia wabadirishe nguzo na waweke pembeni na uwanj yaani mpakani maana ipo katikati ya kiwanja wakaniambia 430k Hadi Leo ipo naitafuta hiyo 430k ! Kwahiyo kubadirishiwa nguzo ni Hela vilevile
 
Ni mali ya shirika au ni mali ya umma sema gharama zipungizwe sio kutokua na gharama maana hizo nguzo upatikanaji wake shirika inangia gharama
 
Yote haya alisababisha mama wakati anarithi kiti chake Kwa kulazimisha Tanesco ipandishe bei kutoka 27000 Hadi 321000 ndani ya mita 30 Kwa madai mfu ya kuwa eti hiyo ndiyo bei halisi.kwa Nchi zinazojitambua kama ujerumani na Norway huduma ya umeme Huwa unaungwa Bure na wanaanza kukata kidogokigogo kwenye matumizi Yako ya umeme.mfano kama matumizi Yako Kwa mwezi ni 20000 watakupa umeme wa 15000 Hadi deni linaisha.Nchi zetu zinaongozwa na washamba sana
Mkuu, hawa jamaa watumia hizi nguzo kama moja ya MAOKOTO yao kwa wale wanaokuja kuunganishiwa umeme kwenye nguzo iliyo nunuliwa na mteja wa kwanza wa the. 500,000/=.
 
Watu wa Iringa..kwa mfano...msitu mkubwa uko...nguzo uuze laki 5? Ni wizi mchana kweupe

Hata ukitreat...na dawa, haifiki laki moja
 
Back
Top Bottom