Simu na mtungi inakuwa nali yako binafsi.Ni kweli, hata vodacom wanakuuzia huduma ya mawasiliano na bado simu unanunua mwenyewe. Vilevile gesi ya kupikia mtungi unaulipia au siyo?
Unaweza kumgawia mwingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simu na mtungi inakuwa nali yako binafsi.Ni kweli, hata vodacom wanakuuzia huduma ya mawasiliano na bado simu unanunua mwenyewe. Vilevile gesi ya kupikia mtungi unaulipia au siyo?
Kwa hiyo hizo 3% wanakata za REA wakati wa kununua LUKU, zinaenda wapi? Au na wewe unapewa mshikoMkuu, Heshima kwako; leo huko vijijini watakwambia aidha awamu ya REA imepita ama nguzo za REA hazipo, zilizopo ni za TANESCO. Si unafahamu wale ni wataalamu?
liShirika linapewa bure hizo nguzo?? Na kama ungependa iwe mali yako kwakuwa unalipia je uko tayari kulipia nguzo mpya kila mara inapotakiwa kubadilishwa?? Vipi kuhusu mita ya umeme nayo si unalipia, uko tayari kulipia kila inapopata hitilafu??
Kwa Nini Kampuni za Simu hazitu charge gharama za kufunga Mimara.Ni kweli, hata vodacom wanakuuzia huduma ya mawasiliano na bado simu unanunua mwenyewe. Vilevile gesi ya kupikia mtungi unaulipia au siyo?
Hapo hajaelewana. Hao vodacom hawakuchaji ghalama za minara yao. Pamoja na kwamba wanatumia ghalama kubwa sana.Ni kweli, hata vodacom wanakuuzia huduma ya mawasiliano na bado simu unanunua mwenyewe. Vilevile gesi ya kupikia mtungi unaulipia au siyo?
Huna akili,bei ya 27000 ililetwa na Samia, na nyie mazuzu mkakosoa sana gharama za kuunganishwa umeme ziliposhushwa, na haswa sababu Samia muislam,maana leo tena mshaanza kulalamika eti samia ndo alipandisha bei yakuunganishiwa umemeYote haya alisababisha mama wakati anarithi kiti chake Kwa kulazimisha Tanesco ipandishe bei kutoka 27000 Hadi 321000 ndani ya mita 30 Kwa madai mfu ya kuwa eti hiyo ndiyo bei halisi.kwa Nchi zinazojitambua kama ujerumani na Norway huduma ya umeme Huwa unaungwa Bure na wanaanza kukata kidogokigogo kwenye matumizi Yako ya umeme.mfano kama matumizi Yako Kwa mwezi ni 20000 watakupa umeme wa 15000 Hadi deni linaisha.Nchi zetu zinaongozwa na washamba sana
Wakati wa shetani jiwe gharama zilikuaje mkuu?Alipokufa Magufuli ulishangilia.
Siku nyingine ujifunze waliotakiwa kushangilia ni hayo mafisadi yanauza nguzo laki 5 badala ya wewe kapuku
Mi nguzo kwangu mwaka 2010 nililipia milioni na laki tano,na baada ya muda tu wakawaunganishia wengine kupitia nguzo yangu, Taaannesco ni wwziMkuu, hawa jamaa watumia hizi nguzo kama moja ya MAOKOTO yao kwa wale wanaokuja kuunganishiwa umeme kwenye nguzo iliyo nunuliwa na mteja wa kwanza wa the. 500,000/=.
Tatizo lako ni uzeee(mzee Makoti) Mimi Samia nampenda lakini kwenye kupandisha bei ya kuunganishwa umeme alitukosea sana watanzaniaHuna akili,bei ya 27000 ililetwa na Samia, na nyie mazuzu mkakosoa sana gharama za kuunganishwa umeme ziliposhushwa, na haswa sababu Samia muislam,maana leo tena mshaanza kulalamika eti samia ndo alipandisha bei yakuunganishiwa umeme
Duh, kweli wabongo mabingwa wa kuhamisha magoli? samia ndiye aliyeleta 27,000? Na kwanini unahisi samia anapingwa kwa dini yake mbona magu kapingwa sana na hao hao wanaompinga samia ndio hao hao wamempiga magu na wengi ni wakristo wale wale. Magu kapingwa hata na wachungaji.Huna akili,bei ya 27000 ililetwa na Samia, na nyie mazuzu mkakosoa sana gharama za kuunganishwa umeme ziliposhushwa, na haswa sababu Samia muislam,maana leo tena mshaanza kulalamika eti samia ndo alipandisha bei yakuunganishiwa umeme
Lete ushaidi kama dikteta ndio alishusha bei ya umemeDuh, kweli wabongo mabingwa wa kuhamisha magoli? samia ndiye aliyeleta 27,000? Na kwanini unahisi samia anapingwa kwa dini yake mbona magu kapingwa sana na hao hao wanaompinga samia ndio hao hao wamempiga magu na wengi ni wakristo wale wale. Magu kapingwa hata na wachungaji.
Duh, kweli wabongo mabingwa wa kuhamisha magoli? samia ndiye aliyeleta 27,000? Na kwanini unahisi samia anapingwa kwa dini yake mbona magu kapingwa sana na hao hao wanaompinga samia ndio hao hao wamempiga magu na wengi ni wakristo wale wale. Magu kapingwa hata na wachungaji.
Tatizo lako ni uzeee(mzee Makoti) Mimi Samia nampenda lakini kwenye kupandisha bei ya kuunganishwa umeme alitukosea sana watanzania
aliyeanzisha huu uzi huenda aliuanzisha too late. mimi najua huu mpango ulikuwepo toka enzi za magu kwa vijiji na nina ushuhudi wa watu ambao nina undugu nao wameweka umeme kwa bei hiyo japo rushwa haikosi lakini gharama nzima hata 80000 haikufika enzi za magu.Gharama za kuwekewa umeme Tsh. 27,000 Tanzania nzima. Je, hii siyo credit kwa Rais Samia suluhu?
Nilikuwa na maombi Tanesco, leo nimenda kuchukua cotrolnumber nimeambiwa nasubiri Kuna marekebisho ya cotrolnumber ili itoke mpya itakayolipiwa kiwango kipya Kweli mkuu, unajua namimi nasubiria kupigiwa simu nikalipie, sijajua Ni iyo ghalama mpya itakuwa au Lawww.google.com
We umeleta ushahidi gani zaidi ya thread ya jf lete ushahidi wa reliable sourceLete ushaidi kama dikteta ndio alishusha bei ya umeme
Sibishani na mtoto mdogoWe umeleta ushahidi gani zaidi ya thread ya jf lete ushahidi wa reliable source
Kwamba nikiweka Bill ya maziwa kwako lazima nimnunue ng'ombe kwanza halafu niendelee kununua maziwa tena?Shirika linapewa bure hizo nguzo?? Na kama ungependa iwe mali yako kwakuwa unalipia je uko tayari kulipia nguzo mpya kila mara inapotakiwa kubadilishwa?? Vipi kuhusu mita ya umeme nayo si unalipia, uko tayari kulipia kila inapopata hitilafu??
We mzalendo wa chama hauna akili. Huu mfano wako hauendani na alichokielezea mleta uziNi kweli, hata vodacom wanakuuzia huduma ya mawasiliano na bado simu unanunua mwenyewe. Vilevile gesi ya kupikia mtungi unaulipia au siyo?