TANZIA Waziri Celina Ompeshi Kombani afariki dunia

Inside10

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2011
Posts
29,909
Reaction score
32,414
Nasikitika Kuwapa taarifa ya kifo cha Waziri wetu, Celina Kombani kilichotokea huko India..



Celina Ompeshi Kombani (19 June 1959 - 24 September 2015) was a Tanzanian CCM politician and Member of Parliament for Ulanga East constituency since 2005.

She was the Minister of State in the President's Office for Public Service Management.

============================

Nyongeza kutoka Magazeti ya leo 25 Sept 2015


Chanzo: Mwananchi

 
Tehhh ..basi sawa pumuzikaaa mamamaaaaa kombaniaaa
 
Alikuwa anaumwa?
Kama ni kweli, poleni wafiwa..
 
Ni dakika chache zilizopita, amefariki akiwa kwenye matibabu India.

Marehemu alizaliwa mwaka mwaka 19, Juni, 1959
 
hivi ndiye aliyekuwa mwenyekiti wa Bunge sometimes back?sijawahi kumsikia akitukana lakini
 
Mh! Kama kweli Mola awape nguvu wanafamilia katika kipindi hiki kigumu.
 
Duh..... poleni sana wanandugu na jamaa wa karibu na Marehemu.

Mungu amlaze mahali pema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…