Kila mtu anapofariki dunia tunapaswa kusikitika.Ila niseme ukweli wangu,hata siku moja sikuwahi kupenda mawazo ya huyu mama.Mambo yake aliyafanya kama hatakuja kuondoka hapa duniani.Kwa kiasi fulani amechangia kufanya CCM iwe na kichwa ngumu na kwa hiyo kwa njia moja au nyingine amechangia katika umaskini wa Watanzania.Kwa kifo hiki waliobaki CCM wakumbuke kwamba dunia ni mapito tu na ipo siku ambayo kila mmoja wetu atasimama mbele za Mungu na kupokea hukumu kulingana na kila jambo alilolifanya duniani kama ni zuri au baya.Kwa hiyo ni vema tukawa makini na kila jambo tunalolifanya.
Nasikitika Kuwapa taarifa ya kifo cha Waziri wetu, Celina Kombani kilichotokea huko India..
![]()
Celina Ompeshi Kombani (19 June 1959 - 24 September 2015) was a Tanzanian CCM politician and Member of Parliament for Ulanga East constituency since 2005.
She was the Minister of State in the President's Office for Public Service Management.